Mahojiano na Balozi Joshua I Gatimu wa Kenya mjini Tehran + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i77998-mahojiano_na_balozi_joshua_i_gatimu_wa_kenya_mjini_tehran_sauti
Jumapili ya jana ya Disemba 12, 2021, Wakenya waliadhimisha siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa mkoloni Muingereza.
(last modified 2026-02-25T03:34:48+00:00 )
Dec 13, 2021 13:20 UTC

Jumapili ya jana ya Disemba 12, 2021, Wakenya waliadhimisha siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa mkoloni Muingereza.

Mzee Joko Kenyatta ndiye aliyeongoza taifa la Kenya kupata uhuru wake. Siku hiyo inajulikana kwa jina la jamhuri Day yaani Siku ya Jamhuri. Kwa hapa mjini Tehran, ubalozi wa Kenya uliungana na Wakenya wengine kuadhimisha sherehe hizo. Salumu Bendera alipata fursa ya kuzungumza na Balozi Joshua I. Gatimu wa Kenya Tehran wakati sherehe hizo zikiendelea na hapa tumekuwekeeni mahojiano hayo.