Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Qalibaf asema enzi ya ndege za Marekani aina ya F-35 “kuwindwa” imeanza

    Qalibaf asema enzi ya ndege za Marekani aina ya F-35 “kuwindwa” imeanza

    Sep 19, 2026 11:59

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema enzi ambayo ndege za kisasa kabisa za kivita za Marekani aina ya F-35 na F-15 zinafuatiliwa na kulengwa tayari imeanza, wakati ripoti zikionyesha kuongezeka kwa shinikizo na uharibifu kwa jeshi la Marekani, miezi saba baada ya Washington kuanzisha vita haramu dhidi ya Iran.

  • “Machozi ya kinafiki”: Araghchi amjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusu madai ya haki za binadamu

    “Machozi ya kinafiki”: Araghchi amjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusu madai ya haki za binadamu

    Sep 19, 2026 11:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejibu madai ya hivi karibuni yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noël Barrot, aliyeshutumu Iran kwa ukiukaji wa haki za binadamu, huku akiikosoa Paris kwa ukimya wake kuhusu mauaji ya watoto wa shule wa Iran yaliyosababishwa na Marekani.

  • Iran yamnyonga jasusi wa utawala wa Israel aliyetoa taarifa za maeneo ya kijeshi

    Iran yamnyonga jasusi wa utawala wa Israel aliyetoa taarifa za maeneo ya kijeshi

    Sep 19, 2026 11:51

    Idara ya Mahakama ya Iran imetangaza kutekelezwa kwa hukumu ya kifo kwa kunyongwa Hossein Pedaran, ambaye alitiwa hatiani kwa makosa ya ujasusi na kutoa taarifa nyeti kuhusu vituo vya kijeshi vya Isfahan kwa shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni, Mossad.

  • CPJ yalaani utekaji wa mwandishi wa Press TV na utawala wa Kizayuni, yadai aachiwe huru mara moja

    CPJ yalaani utekaji wa mwandishi wa Press TV na utawala wa Kizayuni, yadai aachiwe huru mara moja

    Sep 19, 2026 11:47

    Kamati ya Kimataifa ya Kulinda Wanahabari (CPJ) imelaani vikali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kumteka mwandishi wa habari wa Press TV, Bi. Naqaa Hamed, na imedai aachiwe huru mara moja.

  • Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Sep 18, 2026 03:54

    Tume ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa imetangaza kwamba, baada ya kufanya uchunguzi na kuchambua ushahidi, imefikia hitimisho kwamba mashambulizi ya Marekani dhidi ya Minab na Lamerd yalikuwa ni uhalifu wa kivita.

  • Baghaei ajibu madai ya Saudi Arabia kuhusu kushambuliwa mji mtakatifu wa Makka

    Baghaei ajibu madai ya Saudi Arabia kuhusu kushambuliwa mji mtakatifu wa Makka

    Sep 18, 2026 03:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya kuzuia ndege isiyo na rubani iliyokuwa ikielekea katika mji mtakatifu wa Makka hayawezi kuwa msingi wa kuutuhumu upande wowote.

  • Iran yajibu mapigo, yamtimua mwanadiplomasia wa Sweden

    Iran yajibu mapigo, yamtimua mwanadiplomasia wa Sweden

    Sep 18, 2026 03:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, sanjari na kukanusha madai ya Sweden dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, imempa mwanadiplomasia wa nchi hiyo aliyeko Tehran muda wa saa 48 kuondoka nchini, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi kwa uamuzi wa Stockholm wa kukataa kumruhusu mwanadiplomasia wa Iran kuendelea na shughuli zake.

  •  Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China

    Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China

    Sep 17, 2026 12:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameelezea mashauriano yake mjini Beijing kama “yaliyofanikiwa,” akizungumzia maudhui ya safari yake katika mji mkuu huo wa China, ambapo alikutana na mwenzake, Wang Yi.

  • Iran yashika nafasi ya tatu duniani katika kutibu ugumba, yakamilisha mpango wa chanjo

    Iran yashika nafasi ya tatu duniani katika kutibu ugumba, yakamilisha mpango wa chanjo

    Sep 16, 2026 02:56

    Mkuu wa Shirika la Madaktari la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imeshika nafasi ya kwanza duniani katika utoaji wa chanjo na nafasi ya tatu duniani katika kutibuu tatizo la ugumba.

  • Meli kubwa ya mafuta yalipuka baada ya kukanyaga mabomu ya majini kwenye njia haramu kusini mwa Hormuz

    Meli kubwa ya mafuta yalipuka baada ya kukanyaga mabomu ya majini kwenye njia haramu kusini mwa Hormuz

    Sep 15, 2026 04:15

    Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli kubwa ya kubeba mafuta ghafi (supertanker) iliyojaribu kupita bila idhini katika eneo lililopigwa marufuku kusini mwa Lango Bahari la Hormuz imelipuka baada ya kukanyaga mabomu ya kutega majini, huku chombo hicho chote kikiwa kimeteketea na kufunikwa na miali mikubwa ya moto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS