Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Makundi ya Ulaya yanayopinga ubeberu yawasili Iran kwa mazishi ya Kiongozi Shahidi

    Makundi ya Ulaya yanayopinga ubeberu yawasili Iran kwa mazishi ya Kiongozi Shahidi

    Jul 03, 2026 03:53

    Misafara ya wanaharakati wanaopinga ubeberu, wasomi, waandishi wa habari na wawakilishi wa vituo vya Kiislamu kutoka kote barani Ulaya inaendelea kuwasili Tehran kushiriki katika mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kushtukiza la Marekani na Israel.

  • Pezeshkian: Mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi Shahidi ni ‘jibu madhubuti’ kwa ubeberu na ugaidi

    Pezeshkian: Mahudhurio makubwa katika mazishi ya Kiongozi Shahidi ni ‘jibu madhubuti’ kwa ubeberu na ugaidi

    Jul 03, 2026 03:51

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa umati mkubwa wa wananchi utakaojitokeza katika shughuli ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, utakuwa “jibu madhubuti” dhidi ya vitendo vya kigaidi, ukatili na mbinu za kibeberu. Amesema kuwa tukio hilo litakuwa dhihirisho la wazi la umoja wa taifa la Iran na dhamira yake isiyotetereka katika kulinda uhuru na heshima ya nchi.

  • Wasomi wanawake wa Iran wataka Marekani na Israel ziwajibishwe kwa jinai zao

    Wasomi wanawake wa Iran wataka Marekani na Israel ziwajibishwe kwa jinai zao

    Jun 30, 2026 03:27

    Kundi la wanazuoni wanawake wa Iran, wasomi wa taaluma mbalimbali na wataalamu wa masuala ya utamaduni, limesambaza barua ya wazi likirekodi ukiukaji wa kimfumo uliofanywa na Marekani na Israel wakati wa vita vya hivi karibuni dhidi ya Iran, na limetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura za uwajibikaji.

  • Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi

    Kinyume na propaganda za adui, sekta ya ulinzi ya Iran inaendelea kupata mafanikio: Naibu Mkuu wa Jeshi

    Jun 29, 2026 12:29

    Kamanda wa Jeshi la Iran amesema Jamhuri ya Kislamu imepata mafanikio endelevu katika teknolojia ya ulinzi wa ndege zisizo na rubani na anga licha ya madai ya uhasama ya vyombo vya habari.

  • Iran na Oman zazindua kamati ya pamoja ya Hormuz kujadili usimamizi wa baadaye wa lango hilo

    Iran na Oman zazindua kamati ya pamoja ya Hormuz kujadili usimamizi wa baadaye wa lango hilo

    Jun 29, 2026 12:27

    Iran na Oman zimefanya mkutano wa kwanza wa kamati mpya ya pamoja ya Hormuz, unaojadili usimamizi wa baadaye wa Lango-Bahari la Hormuz.

  • Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Katika ujumbe wa Wiki ya Mahakama, Kiongozi aamuru kufuatiliwa kisheria uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Jun 28, 2026 13:02

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei ametoa wito kwa Mahakama ya Iran kufuatilia na kurejesha haki za taifa ambazo zimekiukwa kutokana na vita vya uchokozi vya Marekani na Israel tangu mwaka jana.

  • Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

    Iran yalaani taarifa ya kichochezi ya nchi za Ghuba ya Uajemi na Marekani

    Jun 27, 2026 02:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali taarifa ya pamoja ya Marekani na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P-GCC), ikiitaja kuwa ni “ya kuingilia mambo ya wengine, isiyo ya kuwajibika, na ya kichochezi,” huku ikizionya nchi za eneo hilo dhidi ya kuendelea kushirikiana kwa misimamo ya uadui na Washington.

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura

    Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura

    Jun 24, 2026 11:04

    Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo mchana wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ta'asua na jioni hii wanashiriki katika hafla za mkesha wa Ashura ambayo ni kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).

  • Pezeshkian: Iran haitazungumzia uwezo wake wa kjeshi, asema makombora yameiepusha Iran na hatima ya Gaza

    Pezeshkian: Iran haitazungumzia uwezo wake wa kjeshi, asema makombora yameiepusha Iran na hatima ya Gaza

    Jun 24, 2026 10:59

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Tehran haitawahi kamwe kufanya mazungumzo yoyote kuhusu uwezo wake wa ulinzi na kuzuia uchokozi (deterrence), akibainisha kuwa ghala la makombora la nchi hii ndilo limeiweka Iran salama dhidi ya kukumbwa na hatima ya Gaza.

  • Seneti yapitisha azimio la kuondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vitani na Iran

    Seneti yapitisha azimio la kuondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vitani na Iran

    Jun 24, 2026 03:55

    Seneti ya Marekani imepiga kura ya kuidhinisha azimio la kuwaondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vita na Iran, katika hatua ambayo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni kielelezo cha pigo la kisiasa kwa Rais Donald Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS