Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima

    Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima

    Apr 19, 2026 10:51

    Mwandishi wa kituo cha Aljazeera huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.

  • Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka

    Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka

    Apr 19, 2026 10:39

    Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.

  • Iravani: Silaha zilizotumiwa katika uvamizi dhidi ya Iran zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za Kiarabu

    Iravani: Silaha zilizotumiwa katika uvamizi dhidi ya Iran zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za Kiarabu

    Apr 15, 2026 08:08

    Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amepinga madai ya Bahrain, akisema: Mabaki yaliyopatikana kutoka kwenye silaha zilizotumiwa katika mashambulizi ya miji ya Iran yanathibitisha kuwa silaha hizo zilitoka kwenye maghala ya baadhi ya nchi za kiarabu za Ghuba ya Uajemi.

  • Pezeshkian: Taifa la Iran limemfanya adui akate tamaa kwa mapambano yake ya siku 40

    Pezeshkian: Taifa la Iran limemfanya adui akate tamaa kwa mapambano yake ya siku 40

    Apr 12, 2026 09:32

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya Muqawama na mapambano ya kitaifa katika kuvuka kipindi na hali ya vita na kusema: "Taifa la Iran, limemfanya adui akate tamaa na kukosa matumaini kwa Muqawama na mapambano yake ya siku 40."

  • Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran

    Ansarullah Yemen: Lobi ya Wazayuni imezuia makubaliano kati ya Marekani na Iran

    Apr 12, 2026 09:15

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa lobi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Marekani imezuia kufikiwa makubaliano katika mazungumzo kati ya Marekani na Iran.

  • Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi

    Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi

    Apr 06, 2026 04:50

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4.

  • Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa

    Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa

    Apr 04, 2026 07:28

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.

  • IRGC yashambulia kampuni ya Kimarekani ya Oracle nchini Imarati

    IRGC yashambulia kampuni ya Kimarekani ya Oracle nchini Imarati

    Apr 03, 2026 05:24

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kuwa: Limetoa kipigo kikali kwa Kampuni ya Kimarekani ya Oracle kufuatia mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mkewe.

  • Pezeshkian alishukuru taifa la Iraq kwa kuwa bega kwa bega na Iran katika mapambano dhidi ya Marekani, Israel

    Pezeshkian alishukuru taifa la Iraq kwa kuwa bega kwa bega na Iran katika mapambano dhidi ya Marekani, Israel

    Mar 31, 2026 06:17

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesifu na kupongeza ujasiri wa taifa la Iraq wa kusimama bega kwa bega na watu wa Iran katika kipindi hiki cha uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4; ulipizaji kisasi dhidi ya maeneo ya viwanda ya adui

    Awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4; ulipizaji kisasi dhidi ya maeneo ya viwanda ya adui

    Mar 30, 2026 07:20

    Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetoa taarifa ikitangaza kuwa jeshi hilo limetekeleza awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kitongoji cha viwanda cha Neot Hovav huko Beersheba kusini mwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS