Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Sultan wa Oman akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

    Sultan wa Oman akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

    Apr 26, 2026 11:29

    Mfalme wa Oman Haitham bin Tariq amemkaribisha Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika Kasri la Al-Barakah mjini Muscat, mapema Jumapili.

  • Iran yamkamata jasusi mkongwe wa Mossad na magaidi katika operesheni za kitaifa

    Iran yamkamata jasusi mkongwe wa Mossad na magaidi katika operesheni za kitaifa

    Apr 26, 2026 11:19

    Wizara ya Usalama wa Taifa Iran imetangaza kukamatwa kwa jasusi “mzoefu” aliyekuwa akifanya kazi kwa niaba ya utawala wa Kizayuni wa Israel, pamoja na wanachama 15 wa makundi ya kigaidi ya makundi ya wanaotaka kujitenga, kufuatia operesheni zilizofanyika katika mikoa mbalimbali nchini

  • Rais Pezeshkian: Iran haitaingia katika mazungumzo chini ya mashinikizo, vitisho na mzingiro

    Rais Pezeshkian: Iran haitaingia katika mazungumzo chini ya mashinikizo, vitisho na mzingiro

    Apr 26, 2026 09:34

    Rais Masoud Pezeshkian amekosoa utata na mgongano unaoshuhudiwa kati ya mbinu za mashinikizo zinazotumiwa na Marekani dhidi ya Iran na kile kinachotajwa kuwa ni nia yake ya kushiriki katika mchakato wa kidiplomasia na Jamhuri ya Kiislamu.

  • Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano

    Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano

    Apr 26, 2026 09:23

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amemtaja Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, kuwa ni nembo mapambano, imani na kusimama kidete.

  • Saudi Arabia yatarajia kuwapokea kwa ukarimu Wairani wanaoshiriki ibada Hija

    Saudi Arabia yatarajia kuwapokea kwa ukarimu Wairani wanaoshiriki ibada Hija

    Apr 25, 2026 09:34

    Saudi Arabia imetangaza kuwa imejiandaa kikamilifu kwa msimu wa Hija na inasubiri kwa shauku kuwasili kwa waumini wa Iran wanaoshiriki katika ibada ya Hija Iran, baada ya kufanya maandalizi yote muhimu ili kuhakikisha wanatekeleza ibada zao kwa usalama na faraja.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na viongozi wa Pakistan jijini Islamabad

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na viongozi wa Pakistan jijini Islamabad

    Apr 25, 2026 09:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Abbas Araqchi, amefika katika mji wa Islamabad, Pakistan na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu nchini humo.

  • Kiongozi Muadhamu: Umoja wa Wairani umetoa pigo kubwa kwa safu za adui

    Kiongozi Muadhamu: Umoja wa Wairani umetoa pigo kubwa kwa safu za adui

    Apr 25, 2026 06:03

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amepongeza athari kubwa ya umoja wa kitaifa, akisema mshikamano wa wananchi wa Iran umevuruga kwa kiasi kikubwa safu za maadui.

  • Viongozi wa Iran wamwambia Trump: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi

    Viongozi wa Iran wamwambia Trump: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi

    Apr 25, 2026 05:53

    Wakuu wa Mihimili Mitatu ya Iran wamejibu madai ya uongo ya Rais Donald Trump Marekani kwamba kuna mgawanyiko ndani ya nchi na kusema: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi.

  • Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Apr 25, 2026 05:15

    Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara nyingine amekemea vita na mashambulizi ya nchi hiyo ikishirikiana na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Utafiti wa IRIB: Wairani wengi wanaunga mkono msimamo wa mapambano dhidi ya Marekani na Israel

    Utafiti wa IRIB: Wairani wengi wanaunga mkono msimamo wa mapambano dhidi ya Marekani na Israel

    Apr 25, 2026 04:34

    Baada ya vita vya siku 40 vya muungano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, utafiti wa kitaifa uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) umeonyesha kuendelea kusimama kidete kwa wananchi katika kuunga mkono vikosi vya ulinzi, mshikamano wa kitaifa na azma madhubuti ya kulinda uwezo wa nchi wa makombora na miundombinu ya kiulinzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS