-
Tamko la Marekani baada ya Mahakama ya Kenya kusitisha ujenzi wa kituo cha Ebola
May 30, 2026 11:32Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha kwa muda kuanzishwa kituo cha karantini kwa wagonjwa wa Ebola raia wa Marekani, kilichotarajiwa kujengwa nchini humo. Kufuatia uamuzi huo, wakuu wa Marekani wamedai kuwa watashughulikia hofu ya Wakenya kuhusiana na kituo hicho.
-
Iran yalaani ukiukaji wa Marekani wa makubaliano ya amani, yahimiza UN kuingilia kati
May 29, 2026 03:18Iran imelaani vikali vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyosimamisha vita haramu vya hivi karibun, ikiuhimiza Umoja wa Mataifa kuingilia kati.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ahimiza kulinda 'neema kubwa' ya umoja wa kitaifa
May 28, 2026 12:46Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani na Israel, ambazo zimeshindwa katika uvamizi wao wa kijeshi dhidi ya Iran, zinapanga njama ya kupandikiza mzozo na fitina ndani ya Iran.
-
IRGC: Iran imepata uwezo mpya wa kukabiliana na maadui
May 28, 2026 04:49Afisa mmoja mwandamizi wa kijeshi ameonya kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utasababisha jibu la aina tofauti na lenye nguvu zaidi, “lisilofanana na chochote walichowahi kukiona hapo kabla.”
-
Ayatullah Khatami: Trump ana jeni ya kusema uongo
May 27, 2026 15:17Imamu wa Swala ya Idul Adh'ha iliyofanyika mapema leo mjini Tehran amesema: "Maadui wanatamani taifa la Iran lichoke, lakini kwa neema ya Mungu, wataingia kaburi na matarajio hayo."
-
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa: Iran haitasalimu amri wala kurudi nyuma
May 26, 2026 11:17Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu "haitarudi nyuma" huku kukiwa na ripoti juu ya uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Tehran na Washington.
-
MEE: Misri iliishinikiza Al-Azhar 'kuunga mkono UAE' katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
May 23, 2026 02:43Ripoti zinasema kwamba Ofisi ya Rais wa Misri iliishinikiza taasisi ya Al-Azhar, ambayo ni mamlaka ya juu zaidi ya Waislamu wa madhehebu ya Suni, kuunga mkono hadharani Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na mataifa mengine ya Kiarabu ya Ghuba ya Uajemi katika vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
-
Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran
May 23, 2026 02:38Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, anasema kwamba mgogoro unaoendelezwa na Marekani kuhusu suala la nyuklia la Iran unaweza tu kutatuliwa kwa njia za kidiplomasia na kwa kutilia maanani maslahi ya Iran.
-
Picha za satalaiti zaonyesha uharibifu mkubwa kwenye kambi za kijeshi za Israel kutokana na mashambulizi ya Iran
May 22, 2026 14:53Picha mpya za satalaiti zilizochambuliwa zimefichua uharibifu na hasara kubwa iliyotokea katika vituo vingi vya kijeshi vya Israel kufuatia mashambulizi na operesheni za kujihami za Iran na harakati ya Lebanon Hizbullah na hivyo kuzusha maswali kuhusu ukubwa wa uharibifu ambao Tel Aviv inauficha mbele ya umma.
-
Pezeshkian: Serikali imejitolea kikamilifu kuboresha uwezo wa Jeshi la Iran
May 22, 2026 06:55Rais Masoud Pezeshkian amesema serikali yake itatumia “nguvu na rasilimali zote zilizopo” kuimarisha majeshi ya ulinzi huku akisifu majibu ya kijeshi ya Iran kuwa “makini, madhubuti na yanayozuia uchokozi” kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na tawala za Marekani na Israel.