Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mkuu wa Idara ya Mahakama amwambia Trump: Iran ndiyo mmiliki na mtawala wa Lango la Hormuz

    Mkuu wa Idara ya Mahakama amwambia Trump: Iran ndiyo mmiliki na mtawala wa Lango la Hormuz

    Aug 16, 2026 05:56

    Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholam-Hossein Mohseni-Eje’i, amezitaja kauli za hivi karibuni za Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu umiliki wa Lango Bahari la Hormuz kuwa ni "upuuzi," akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ndiyo mmiliki na mtawala halisi wa lango hilo.

  • Qalibaf: Nilisitisha mazungumzo baada ya shambulio la Israel dhidi ya Dahiyeh huko Beirut

    Qalibaf: Nilisitisha mazungumzo baada ya shambulio la Israel dhidi ya Dahiyeh huko Beirut

    Aug 16, 2026 03:05

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa alisitisha mazungumzo kufuatia shambulio la Israel dhidi ya eneo la Dahiyeh mjini Beirut nchini Lebanon, na kusema kuwa Iran itaushambulia utawala huo haraka iwezekanavyo.

  • Iran yaonyesha mabaki ya ndege za kivita za Marekani na Israel ilizozitungua +Video

    Iran yaonyesha mabaki ya ndege za kivita za Marekani na Israel ilizozitungua +Video

    Aug 15, 2026 03:54

    Iran imeonyesha sehemu za vifaa vilivyopatikana kutoka ndege za kivita zisizo na rubani (droni) za Marekani na Israel, pamoja na ndege ya kivita ya F-15 ambazo zilitunguliwa kwa mifumo ya ulinzi ya Iran wakati wa vita. Mifumo ya ulinzi iliyotumika kutungua ndege hizo za adui imeundwa hapa nchini.

  • Jerusalem Post: Israel imeshtushwa na kasi ya Iran ya kujiimarisha upya kijeshi

    Jerusalem Post: Israel imeshtushwa na kasi ya Iran ya kujiimarisha upya kijeshi

    Aug 15, 2026 03:53

    Gazeti la kizayuni la Jerusalem Post limefichua kuwa, maafisa wa ulinzi wa Israel wameshtushwa na namna Iran ilivyojenga upya na kwa kasi uwezo wake wa kijeshi tangu baada ya mashambulizi makali ya Marekani na utawala huo wa kizayuni wakati wa kipindi cha mwanzoni mwa vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na tawala mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mwanadiplomasia wa kizayuni: Baadhi ya Wademocrat wanaipendelea Iran kuliko serikali ya Marekani

    Mwanadiplomasia wa kizayuni: Baadhi ya Wademocrat wanaipendelea Iran kuliko serikali ya Marekani

    Aug 12, 2026 03:36

    Mwanadiplomasia mmoja mwandamizi wa utawala wa kizayuni wa Israel amesema, ametiwa wasiwasi mkubwa na alichokiita "mabadiliko ya mwelekeo" katika sera ya Marekani, akisisitiza kwamba Tel Aviv inajiandaa kwa zama za kupunguza utegemezi kwa Washington na kujitegemea zaidi, ikiwa ni pamoja na "kuanzisha muungano na nchi zingine."

  • Kwa nini Marekani imeshindwa na Iran

    Kwa nini Marekani imeshindwa na Iran

    Aug 11, 2026 11:38

    Hujambo mpenzi msikiilizaji. Je, matukio nyeti katika kanda ya Asia ya Magharibi yanaweza kueleweka vyema zaidi kwa mtazamo wa mwanadiplomasia wa Kijapani? Katika kipindi hiki, tunatupia jicho kitabu kilichopewa jina "Why America Was Defeated by Iran" (Kwa Nini Marekani Imeshindwa na Iran) kilichoandikwa na Mitsugu Saito, balozi wa zamani wa Japan nchini Iran.

  • Araqchi: Mazungumzo na Oman kuhusu Lango-Bahari la Hormuz yako katika hatua za mwisho

    Araqchi: Mazungumzo na Oman kuhusu Lango-Bahari la Hormuz yako katika hatua za mwisho

    Aug 09, 2026 11:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema leo kwamba mazungumzo na Oman kuhusu Lango Bahari la Hormuz yako katika hatua za mwisho na kuongeza: "Bila shaka, hii haina maana kwamba Lango la Hormuz litafunguliwa. Ufunguzi wa Lango la Hormuz unategemea masharti mengine."

  • Iran yayaasa mataifa ya Kiislamu: Ni wakati sasa wa sisi kujitegemea, kuwa na udugu wa kweli

    Iran yayaasa mataifa ya Kiislamu: Ni wakati sasa wa sisi kujitegemea, kuwa na udugu wa kweli

    Aug 08, 2026 03:24

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito wa kuwepo muunganiko na ushirikiano mkubwa wa kikanda, ikitilia mkazo udharura wa mataifa ya eneo kutegemea uwezo wao wa kikanda ili kuondoa uingiliaji wa kigeni.

  • Telegraph: Vita dhidi ya Iran vinaweza vikawa moja ya makosa ya kihistoria

    Telegraph: Vita dhidi ya Iran vinaweza vikawa moja ya makosa ya kihistoria

    Aug 08, 2026 03:22

    Gazeti la Telegraph linalochapishwa nchini Uingereza limekiri katika ripoti yake kwamba Marekani na Israel zimeshindwa katika vita, huku Iran ikiwa imeibuka mshindi, na kwamba vita hivi vinaweza kuwa tukio muhimu sana la kupelekea kupungua satua na ushawishi wa Marekani duniani.

  • Mkuu wa Mossad awatimua maafisa wawili wakuu kwa kufeli mpango wa kuipindua serikali ya Iran

    Mkuu wa Mossad awatimua maafisa wawili wakuu kwa kufeli mpango wa kuipindua serikali ya Iran

    Aug 07, 2026 12:29

    Mkuu wa shirika la ujasusi na ugaidi la utawala wa kizayuni wa Israel Mossad, Roman Gofman, amewafukuza kazi maafisa wawili wakuu wa intelijensia baada ya kushindwa au kutotekelezwa mpango wa kuipindua serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS