-
Msishiriki katika uchokozi dhidi ya Iran, Gharibabadi azionya nchi za Ulaya
Jul 24, 2026 02:51Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amezionya nchi za Ulaya kwamba kutoa kambi au maeneo ya kijeshi kwa Marekani kutaziweka "katika safu ya wavamizi."
-
Iran iko tayari kuanzisha awamu mpya ya vita na kutumia mikakati mipya
Jul 24, 2026 02:42Msemaji wa jeshi la Iran jana Alhamisi alitahadharisha kuwa Tehran itatumia mikakati na mbinu mpya ili kuifanya Marekani ishindwe kuendeleza vita iwapo mashambulio ya nchi hiyo dhidi ya miundombinu ya kusini mwa Iran yataendelea.
-
Viongozi wa Iran na Iraq wasisitiza kuimarisha mahusiano ya kimkakati
Jul 23, 2026 11:49Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamesisitiza juu ya mafungamano marefu ya kihistoria, kiutamaduni, kidini, na ya kijamii yaliyopo baina ya nchi hizo mbili, wakibainisha ulazima wa kuhifadhi na kuimarisha rasilimali hii yenye thamani kuu kama nguzo imara ya kutanua ushirikiano wa kimkakati.
-
Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'
Jul 19, 2026 03:44Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."
-
Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan
Jul 19, 2026 03:29Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.
-
Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi
Jul 19, 2026 03:20Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa umoja huo kufuatia uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran, kushambuliwa miundombinu na mauaji ya raia wa Iran.
-
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
Jul 15, 2026 11:09Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada.
-
Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi
Jul 13, 2026 03:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.
-
Jeshi: Iran imedhamiria kuanzisha mpango wake yenyewe katika Lango-Bahari la Hormuz
Jul 13, 2026 03:00Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema kuwa vikosi vyote vya ulinzi viko tayari kulinda haki za taifa na kuweka mfumo unaokusudiwa na Iran katika Lango -Bahari la Hormuz.
-
Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla
Jul 12, 2026 10:17Seneta Lindsey Graham, anayetambuliwa kuwa mhandisi wa mipango ya Washington dhidi ya Iran na mhamasishaji mkuu wa Trump kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, hatimaye ameangamia na ndoto yake ya kunyakua "matrilioni ya dola katika pesa na mafuta ya Iran."