Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Pezeshkian: Ulimwengu umeshangazwa na ustahimilivu wa Iran katika vita vya Marekani na Israel

    Pezeshkian: Ulimwengu umeshangazwa na ustahimilivu wa Iran katika vita vya Marekani na Israel

    Aug 23, 2026 14:26

    Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa tathmini ya adui kwamba Iran itasambaratika kutokana na mashinikizo makubwa haikuwa sahihi na kwamba mshikamano na umoja wa taifa hili vimeishangaza dunia.

  • Mkuu wa Usalama: Iran itaendelea kufunga Hormuz hadi Marekani itimize majukumu yake

    Mkuu wa Usalama: Iran itaendelea kufunga Hormuz hadi Marekani itimize majukumu yake

    Aug 23, 2026 14:24

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itafubaza mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani ikiwa ni pamoja na kuzichukulia hatua nchi ambazo zinashiriki katika “vita vya kiuchumi” vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Kaimu Waziri wa Ulinzi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitasalimu amri kwa kuwekewa mashinikizo

    Kaimu Waziri wa Ulinzi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitasalimu amri kwa kuwekewa mashinikizo

    Aug 23, 2026 03:28

    Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, taifa hili limeishinda kimkakati Marekani na utawala wa Kizayuni kwa kutegemea uwezo wake wa ndani, na akasisitiza kwamba: Jamhuri ya Kiislamu haitasalimu amri katu kwa kuwekewa mashinikizo.

  • Lengo la Marekani ni kupora rasilimali za eneo, Qalibaf amwambia Rais wa Iraq

    Lengo la Marekani ni kupora rasilimali za eneo, Qalibaf amwambia Rais wa Iraq

    Aug 21, 2026 06:10

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa uwepo wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi unasukumwa na shauku ya kupora rasilimali za eneo hilo.

  • IRGC: Vikizuka vita vipya, Iran itatumia silaha zinazosababisha uharibifu mkubwa zaidi

    IRGC: Vikizuka vita vipya, Iran itatumia silaha zinazosababisha uharibifu mkubwa zaidi

    Aug 20, 2026 11:51

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa, kama vitazuka vita vipya litatumia silaha zinazosababisha uharibifu mkubwa zaidi na za kisasa zaidi kuliko zile zilizotumika katika vita vilivyopita.

  • Ripoti: Vita vikishtadi, yamkini Iran ikavishambulia vituo vya Marekani barani Ulaya

    Ripoti: Vita vikishtadi, yamkini Iran ikavishambulia vituo vya Marekani barani Ulaya

    Aug 20, 2026 11:46

    Gazeti la Financial Times limeripoti kuwa Iran inafikiria kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya ikiwa Rais wa Marekani Donald Trump atashadidisha vita, wakati Tehran inazingatia pia machaguo ya kupanua wigo wa mzozo hadi nje ya Mashariki ya Kati.

  • Mearsheimer: Marekani haina budi isipokuwa kukubali matakwa ya Iran

    Mearsheimer: Marekani haina budi isipokuwa kukubali matakwa ya Iran

    Aug 20, 2026 03:28

    Msomi na mtaalamu mashuhuri wa masuala ya siasa za kimataifa wa Marekani, John Mearsheimer, amesema kuwa Marekani haina chaguo jingine bali kukubali matakwa ya Iran.

  • Kamanda wa majeshi ya Iran azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia jeshi la Marekani

    Kamanda wa majeshi ya Iran azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia jeshi la Marekani

    Aug 19, 2026 11:03

    Mkuu wa Majeshi ya Iran amezionya nchi za kusini mwa Ghuba ya Uajemi kuhusu kulisaidia au kuliruhusu jeshi la Marekani kutumia ardhi za nchi hizo katika uchokozi wake dhidi ya Iran.

  • Iran yakanusha madai kuwa imeishambulia UAE kwa makombora

    Iran yakanusha madai kuwa imeishambulia UAE kwa makombora

    Aug 19, 2026 04:18

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwamba Iran imevurumisha makombora mawili ya balestiki kuelekea nchi hiyo.

  • Iran yalaani kauli ya waziri wa Israel, Ben-Gvir ya kuhamasisha mauaji dhidi ya Wapalestina, Gaza

    Iran yalaani kauli ya waziri wa Israel, Ben-Gvir ya kuhamasisha mauaji dhidi ya Wapalestina, Gaza

    Aug 18, 2026 03:27

    Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran ameeleza ghadhabu yake baada ya waziri mmoja wa itikadi kali wa utawala wa Kizayuni wa Israel kushauri kwamba utawala huo unapaswa kuwaua Wapalestina wa Ukanda wa Gaza kwa misingi ya “kiwango cha mauaji ya kila usiku.”

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS