Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Sep 18, 2026 03:54

    Tume ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa imetangaza kwamba, baada ya kufanya uchunguzi na kuchambua ushahidi, imefikia hitimisho kwamba mashambulizi ya Marekani dhidi ya Minab na Lamerd yalikuwa ni uhalifu wa kivita.

  • Baghaei ajibu madai ya Saudi Arabia kuhusu kushambuliwa mji mtakatifu wa Makka

    Baghaei ajibu madai ya Saudi Arabia kuhusu kushambuliwa mji mtakatifu wa Makka

    Sep 18, 2026 03:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya kuzuia ndege isiyo na rubani iliyokuwa ikielekea katika mji mtakatifu wa Makka hayawezi kuwa msingi wa kuutuhumu upande wowote.

  • Iran yajibu mapigo, yamtimua mwanadiplomasia wa Sweden

    Iran yajibu mapigo, yamtimua mwanadiplomasia wa Sweden

    Sep 18, 2026 03:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, sanjari na kukanusha madai ya Sweden dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, imempa mwanadiplomasia wa nchi hiyo aliyeko Tehran muda wa saa 48 kuondoka nchini, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi kwa uamuzi wa Stockholm wa kukataa kumruhusu mwanadiplomasia wa Iran kuendelea na shughuli zake.

  •  Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China

    Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China

    Sep 17, 2026 12:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameelezea mashauriano yake mjini Beijing kama “yaliyofanikiwa,” akizungumzia maudhui ya safari yake katika mji mkuu huo wa China, ambapo alikutana na mwenzake, Wang Yi.

  • Iran yashika nafasi ya tatu duniani katika kutibu ugumba, yakamilisha mpango wa chanjo

    Iran yashika nafasi ya tatu duniani katika kutibu ugumba, yakamilisha mpango wa chanjo

    Sep 16, 2026 02:56

    Mkuu wa Shirika la Madaktari la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imeshika nafasi ya kwanza duniani katika utoaji wa chanjo na nafasi ya tatu duniani katika kutibuu tatizo la ugumba.

  • Meli kubwa ya mafuta yalipuka baada ya kukanyaga mabomu ya majini kwenye njia haramu kusini mwa Hormuz

    Meli kubwa ya mafuta yalipuka baada ya kukanyaga mabomu ya majini kwenye njia haramu kusini mwa Hormuz

    Sep 15, 2026 04:15

    Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli kubwa ya kubeba mafuta ghafi (supertanker) iliyojaribu kupita bila idhini katika eneo lililopigwa marufuku kusini mwa Lango Bahari la Hormuz imelipuka baada ya kukanyaga mabomu ya kutega majini, huku chombo hicho chote kikiwa kimeteketea na kufunikwa na miali mikubwa ya moto.

  • Rais wa Iran aihimiza BRICS kulinda kanuni ya kutotumia mabavu

    Rais wa Iran aihimiza BRICS kulinda kanuni ya kutotumia mabavu

    Sep 13, 2026 11:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa kundi la mataifa yanayoinukia kiuchumi la BRICS kuchukua jukumu “lenye ufanisi zaidi” katika kulinda mamlaka ya kitaifa na kusimamia kanuni ya kimataifa ya kutotumia nguvu, hasa katika kipindi hiki cha sasa chenye changamoto nyingi.

  • Pezeshkian ahimiza BRICS kuunda mtandao imara wa kibiashara na kutumia sarafu za kitaifa

    Pezeshkian ahimiza BRICS kuunda mtandao imara wa kibiashara na kutumia sarafu za kitaifa

    Sep 12, 2026 04:34

    Rais Masoud Pezeshkian amezihimiza nchi wanachama wa jumuiya ya BRICS kujenga mtandao thabiti na wenye uwezo wa kustahimili misukosuko ya kibiashara, sambamba na kupanua matumizi ya sarafu za kitaifa ili kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kupunguza uwezekano wa kuathiriwa na mshtuko wa kisiasa.

  • Iran: Mamlaka ya kujitawala ya Yemen lazima yaheshimiwe, mzingiro haramu lazima ukomeshwe

    Iran: Mamlaka ya kujitawala ya Yemen lazima yaheshimiwe, mzingiro haramu lazima ukomeshwe

    Sep 12, 2026 04:31

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza tena msimamo wake thabiti na wa kimisngi kuhusu ulazima wa kuheshimiwa uhuru, mamlaka ya kitaifa ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Yemen, na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja mzingiro haramu na usio wa kibinadamu uliowekwa dhidi ya nchi hiyo.

  • Iran yazindua programu mpya ya kinga-virusi iliyotengenezwa nchini

    Iran yazindua programu mpya ya kinga-virusi iliyotengenezwa nchini

    Sep 08, 2026 04:39

    Sambamba na maonyesho ya kimataifa ya Iran ya ELECOMP 2026, ambayo ni maonyesho makubwa zaidi ya nchi kwa sekta za elektroniki, teknolojia za kompyuta, na biashara pepe (e-commerce), Iran imezindua programu yake ya pili ya kinga-virusi (antivirus) iliyotengenezwa nchini, ijulikanayo kama Ayyza. Programu hii hutumia akili mnemba (AI) na mbinu za kujifunza kwa mashine (machine learning) kutambua virusi vipya visivyojulikana na vitisho vya mtandaoni ambavyo havijatambulika awali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS