Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kiongozi Muadhamu: Uimara wa Hizbullah ni ujumbe kwa mataifa huru

    Kiongozi Muadhamu: Uimara wa Hizbullah ni ujumbe kwa mataifa huru

    Jul 27, 2026 03:59

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameisifu harakati ya Hizbullah ya kwa msimamo wake thabiti na usioyumba katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, kuwa uimara wa harakati hiyo ya Lebanon ni ujumbe wenye nguvu wa ukombozi kwa mataifa yaliyodhulumiwa duniani kote.

  • Iran yalaani kimya cha EU kuhusu jinai za kivita za  Marekani na Israel

    Iran yalaani kimya cha EU kuhusu jinai za kivita za Marekani na Israel

    Jul 25, 2026 10:59

    Iran imekosoa vikali kauli za mkuu wa diplomasia wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas, kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran, huku ikibaki kimya kuhusu jinai za vita zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya nchi hii, na kuzitaja kuwa ni “aina safi kabisa ya unafiki.”

  • Msishiriki katika uchokozi dhidi ya Iran, Gharibabadi azionya nchi za Ulaya

    Msishiriki katika uchokozi dhidi ya Iran, Gharibabadi azionya nchi za Ulaya

    Jul 24, 2026 02:51

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amezionya nchi za Ulaya kwamba kutoa kambi au maeneo ya kijeshi kwa Marekani kutaziweka "katika safu ya wavamizi."

  • Iran iko tayari kuanzisha awamu mpya ya vita na kutumia mikakati mipya

    Iran iko tayari kuanzisha awamu mpya ya vita na kutumia mikakati mipya

    Jul 24, 2026 02:42

    Msemaji wa jeshi la Iran jana Alhamisi alitahadharisha kuwa Tehran itatumia mikakati na mbinu mpya ili kuifanya Marekani ishindwe kuendeleza vita iwapo mashambulio ya nchi hiyo dhidi ya miundombinu ya kusini mwa Iran yataendelea.

  • Viongozi wa Iran na Iraq wasisitiza kuimarisha mahusiano ya kimkakati

    Viongozi wa Iran na Iraq wasisitiza kuimarisha mahusiano ya kimkakati

    Jul 23, 2026 11:49

    Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamesisitiza juu ya mafungamano marefu ya kihistoria, kiutamaduni, kidini, na ya kijamii yaliyopo baina ya nchi hizo mbili, wakibainisha ulazima wa kuhifadhi na kuimarisha rasilimali hii yenye thamani kuu kama nguzo imara ya kutanua ushirikiano wa kimkakati.

  • Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'

    Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'

    Jul 19, 2026 03:44

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."

  • Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan

    Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan

    Jul 19, 2026 03:29

    Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.

  • Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi

    Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi

    Jul 19, 2026 03:20

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa umoja huo kufuatia uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran, kushambuliwa miundombinu na mauaji ya raia wa Iran.

  • UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

    UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

    Jul 15, 2026 11:09

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada.

  • Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi

    Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi

    Jul 13, 2026 03:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS