Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Baghaei amhoji Guterres; kwa nini unahepa kuwataja wavurugaji wawili wakuu wa sheria za kimataifa?

    Baghaei amhoji Guterres; kwa nini unahepa kuwataja wavurugaji wawili wakuu wa sheria za kimataifa?

    Jul 31, 2026 03:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ameashiria mtamshi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupuuzwa kwa sheria za kimataifa kwa namna inayotisha, na kumhutubu kwa kumwambia: "Sasa ni wakati wa kutimiza jukumu lako zito na kusaidia kuzuia Umoja wa Mataifa na mfumo wa kanuni zake kutofikwa na hatima ya Jumuiya ya Mataifa."

  • Zaidi ya watu milioni 2 wavuka mipaka ya Iran kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein (AS)

    Zaidi ya watu milioni 2 wavuka mipaka ya Iran kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein (AS)

    Jul 31, 2026 03:33

    Zaidi ya mazuwari milioni mbili wa Iran wamevuka salama mipaka ya nchi ili kuhudhuria shughuli ya kila mwaka ya Arubaini ya Imam Hussein, mojawapo ya mikusanyiko mikubwa zaidi ya kidini duniani, inayofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.

  • Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yaharibu ndege tatu za F-35 katika kambi ya Marekani huko Jordan

    Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yaharibu ndege tatu za F-35 katika kambi ya Marekani huko Jordan

    Jul 30, 2026 14:59

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limefanya mashambulizi ya makombora ya balestiki kwenye Kituo cha Anga cha Muwaffaq Salti kinachoendeshwa na jeshi la Marekani huko Azraq, nchini Jordan, na kuharibu ndege tatu za kivita za Marekani aina ya F-35 na kusababisha madhara makubwa kwa ndege nyingine tatu, katika operesheni ya kulipiza kisasi kwa shambulio la anga la Marekani lililoua watu watatu wa familia moja kwenye Kisiwa cha Qeshm nchini Iran.

  • Vikosi vya Ulinzi: Vitisho vya US dhidi ya meli za Iran havitaachwa bila ya jibu

    Vikosi vya Ulinzi: Vitisho vya US dhidi ya meli za Iran havitaachwa bila ya jibu

    Jul 28, 2026 14:12

    Kamandi Kuu ya operesheni za kijeshi ya Iran imeionya Marekani kwamba vitisho inavyotoa dhidi ya meli za Jamhuri ya Kiislamu za kibiashara na za mafuta havitaachwa bila ya jibu.

  • Mtaalamu wa kizayuni: Israel 'haina ubavu' wa kukabiliana na Iran kwa muda mrefu

    Mtaalamu wa kizayuni: Israel 'haina ubavu' wa kukabiliana na Iran kwa muda mrefu

    Jul 28, 2026 14:05

    Mtaalamu maarufu wa Kizayuni amekosoa kuongezeka utegemezi wa utawala haramu wa Israel kwa Marekani, akisisitiza kwamba utawala wa Kizayuni hauna tena uhuru wa kimkakati uliokuwa nao zamani na hauwezi kuhimili makabiliano ya muda mrefu na Iran.

  • Baqaei: Hatua hatari za kukurupuka za Ukraine zitapewa majibu muwafaka

    Baqaei: Hatua hatari za kukurupuka za Ukraine zitapewa majibu muwafaka

    Jul 28, 2026 03:45

    Shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya Iran lilikuwa kinyume cha sheria, limekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na ni kitendo hatari cha kichokozi.

  • Kiongozi Muadhamu: Uimara wa Hizbullah ni ujumbe kwa mataifa huru

    Kiongozi Muadhamu: Uimara wa Hizbullah ni ujumbe kwa mataifa huru

    Jul 27, 2026 03:59

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ameisifu harakati ya Hizbullah kwa msimamo wake thabiti na usioyumba katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema, kuwa uimara wa harakati hiyo ya Lebanon ni ujumbe wenye nguvu wa ukombozi kwa mataifa yaliyodhulumiwa duniani kote.

  • Iran yalaani kimya cha EU kuhusu jinai za kivita za  Marekani na Israel

    Iran yalaani kimya cha EU kuhusu jinai za kivita za Marekani na Israel

    Jul 25, 2026 10:59

    Iran imekosoa vikali kauli za mkuu wa diplomasia wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas, kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Iran, huku ikibaki kimya kuhusu jinai za vita zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya nchi hii, na kuzitaja kuwa ni “aina safi kabisa ya unafiki.”

  • Msishiriki katika uchokozi dhidi ya Iran, Gharibabadi azionya nchi za Ulaya

    Msishiriki katika uchokozi dhidi ya Iran, Gharibabadi azionya nchi za Ulaya

    Jul 24, 2026 02:51

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amezionya nchi za Ulaya kwamba kutoa kambi au maeneo ya kijeshi kwa Marekani kutaziweka "katika safu ya wavamizi."

  • Iran iko tayari kuanzisha awamu mpya ya vita na kutumia mikakati mipya

    Iran iko tayari kuanzisha awamu mpya ya vita na kutumia mikakati mipya

    Jul 24, 2026 02:42

    Msemaji wa jeshi la Iran jana Alhamisi alitahadharisha kuwa Tehran itatumia mikakati na mbinu mpya ili kuifanya Marekani ishindwe kuendeleza vita iwapo mashambulio ya nchi hiyo dhidi ya miundombinu ya kusini mwa Iran yataendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS