-
Qalibaf asema enzi ya ndege za Marekani aina ya F-35 “kuwindwa” imeanza
Sep 19, 2026 11:59Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema enzi ambayo ndege za kisasa kabisa za kivita za Marekani aina ya F-35 na F-15 zinafuatiliwa na kulengwa tayari imeanza, wakati ripoti zikionyesha kuongezeka kwa shinikizo na uharibifu kwa jeshi la Marekani, miezi saba baada ya Washington kuanzisha vita haramu dhidi ya Iran.
-
“Machozi ya kinafiki”: Araghchi amjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusu madai ya haki za binadamu
Sep 19, 2026 11:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejibu madai ya hivi karibuni yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noël Barrot, aliyeshutumu Iran kwa ukiukaji wa haki za binadamu, huku akiikosoa Paris kwa ukimya wake kuhusu mauaji ya watoto wa shule wa Iran yaliyosababishwa na Marekani.
-
Iran yamnyonga jasusi wa utawala wa Israel aliyetoa taarifa za maeneo ya kijeshi
Sep 19, 2026 11:51Idara ya Mahakama ya Iran imetangaza kutekelezwa kwa hukumu ya kifo kwa kunyongwa Hossein Pedaran, ambaye alitiwa hatiani kwa makosa ya ujasusi na kutoa taarifa nyeti kuhusu vituo vya kijeshi vya Isfahan kwa shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni, Mossad.
-
CPJ yalaani utekaji wa mwandishi wa Press TV na utawala wa Kizayuni, yadai aachiwe huru mara moja
Sep 19, 2026 11:47Kamati ya Kimataifa ya Kulinda Wanahabari (CPJ) imelaani vikali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kumteka mwandishi wa habari wa Press TV, Bi. Naqaa Hamed, na imedai aachiwe huru mara moja.
-
Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran
Sep 18, 2026 03:54Tume ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa imetangaza kwamba, baada ya kufanya uchunguzi na kuchambua ushahidi, imefikia hitimisho kwamba mashambulizi ya Marekani dhidi ya Minab na Lamerd yalikuwa ni uhalifu wa kivita.
-
Baghaei ajibu madai ya Saudi Arabia kuhusu kushambuliwa mji mtakatifu wa Makka
Sep 18, 2026 03:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, madai ya kuzuia ndege isiyo na rubani iliyokuwa ikielekea katika mji mtakatifu wa Makka hayawezi kuwa msingi wa kuutuhumu upande wowote.
-
Iran yajibu mapigo, yamtimua mwanadiplomasia wa Sweden
Sep 18, 2026 03:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, sanjari na kukanusha madai ya Sweden dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, imempa mwanadiplomasia wa nchi hiyo aliyeko Tehran muda wa saa 48 kuondoka nchini, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi kwa uamuzi wa Stockholm wa kukataa kumruhusu mwanadiplomasia wa Iran kuendelea na shughuli zake.
-
Araghchi: Mashauriano ya Beijing yamefanikiwa; Iran yathamini “ushirikiano wa kimkakati” na China
Sep 17, 2026 12:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameelezea mashauriano yake mjini Beijing kama “yaliyofanikiwa,” akizungumzia maudhui ya safari yake katika mji mkuu huo wa China, ambapo alikutana na mwenzake, Wang Yi.
-
Iran yashika nafasi ya tatu duniani katika kutibu ugumba, yakamilisha mpango wa chanjo
Sep 16, 2026 02:56Mkuu wa Shirika la Madaktari la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imeshika nafasi ya kwanza duniani katika utoaji wa chanjo na nafasi ya tatu duniani katika kutibuu tatizo la ugumba.
-
Meli kubwa ya mafuta yalipuka baada ya kukanyaga mabomu ya majini kwenye njia haramu kusini mwa Hormuz
Sep 15, 2026 04:15Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli kubwa ya kubeba mafuta ghafi (supertanker) iliyojaribu kupita bila idhini katika eneo lililopigwa marufuku kusini mwa Lango Bahari la Hormuz imelipuka baada ya kukanyaga mabomu ya kutega majini, huku chombo hicho chote kikiwa kimeteketea na kufunikwa na miali mikubwa ya moto.