-
Iran yazindua utaratibu mpya wa kudhibiti meli zinazopita Mlango Bahari wa Hormuz
May 06, 2026 08:07Iran imezindua rasmi mfumo mpya wa udhibiti wa usafiri wa majini katika Mlango Bahari wa Hormuz.
-
Sababu Gani Zinaifanya UAE Ishupalie Vita Dhidi ya Iran?
May 06, 2026 11:21Muungano wa Falme za Kiarabu, UAE au Imarati umechukua msimamo wa waziwazi wa kushupalia vita hususan dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Pezeshkian: Iran inasimamia nguvu ya Maadili na Uwajibikaji
May 06, 2026 10:58Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran inasimamia nguvu inayojali maadili na uwajibikaji huku akiwatuhumu maadui zake kwa kuwakilisha nguvu zisizo na uwajibikaji.
-
Iravani akanusha vikali azimio la Arab League dhidi ya Iran, asema ni la upendeleo
May 06, 2026 10:43Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amejibu azimio la kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab Legue) dhidi ya Iran kilichofanyika mjini Cairo akisema kuwakingia kifua wavamizi hakuwezi kubadili ukweli wa kisheria.
-
Trump ataka kufichwa picha za vituo vya Marekani vilivyoharibiwa na Iran
May 05, 2026 11:44Donald Trump, Rais wa Marekani, amezitaka kampuni za satalaiti kuficha picha za vituo na kambi za kijeshi za Marekani zilizoharibiwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Asia ya Magharibi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Matukio ya Hormuz yadhihirisha kuwa suluhisho la kijeshi halipo
May 05, 2026 05:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi, amesema kuwa matukio ya karibuni katika Mlango wa Bahari wa Hormuz yameweka wazi tena kwamba hakuna suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa kisiasa unaoikumba kanda ya Asia Magharibi, akisisitiza upya sera ya Jamhuri ya Kiislamu ya kufuatilia diplomasia kutoka katika nafasi ya nguvu.
-
Viongozi wa Kisunni watoa wito wa msaada wa ulimwengu kwa Iran
May 05, 2026 05:34Wanazuoni wa Kisunni kutoka pembe zote za dunia wamehimiza umoja wa Kiislamu na kutoa wito wa kuungwa mkono kwa Iran, katika kongamano la kipekee lililofanyika Jumatatu asubuhi chini ya uratibu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu yenye makao yake Tehran.
-
Iran yasema “tamaa isiyo na mwisho ya Marekani haina mipaka”
May 05, 2026 05:30Iran imesema kuwa Marekani haijaacha mwenendo wake wa madai kupita kiasi na tamaa isiyo na kikomo, ikithibitisha kuwa imepokea jibu la watawala wa Washington kuhusu pendekezo la Iran la mpango wa pointi 14 unaohusu mazungumzo ya pande zote, yenye lengo la kusitisha vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Meli ya kijeshi ya Marekani yapigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Iran
May 04, 2026 11:47Shirika la Habari la Fars limetangaza kuwa, meli ya Jeshi la Wanamaji la Marekani imepigwa kwa makombora mawili baada ya kupuuza onyo la Jeshi la Majini la Iran.
-
Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi dhidi ya khatibu wa Haram ya Bibi Zainab (AS)
May 03, 2026 10:42Iran imelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea katika eneo la Sayyida Zainab mjini Damascus, ambalo limepelekea kuuawa shahidi Sayyid Farhan Hassan Al‑Mansour, mmoja wa wanazuoni wa Kiislamu na khatibu wa Ijumaa katika Haram ya Bibi Zainab (AS).