Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?

    Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?

    Mar 09, 2026 12:32

    Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Mar 09, 2026 11:19

    Harakati za Muqawama zimetoa taarifa zikilipongeza taifa la Iran kwa mnasaba wa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.

  • Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani

    Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani

    Mar 09, 2026 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kukiri wazi wazi kwa kiongozi huyo wa Marekani juu ya kufanya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.

  • Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran

    Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran

    Mar 08, 2026 07:43

    Baraza la Ujasusi la Marekani limesema katika tathmini yake 'ya siri' kwamba, ni muhali kubadilisha mfumo uliokita mizizi wa kisiasa na kiusalama nchini Iran, hata kwa kutumia mashambulizi makali ya kijeshi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran: UN inabeba dhima ya kisheria na kimaadili ya vita haramu vya US, Israel

    Iran: UN inabeba dhima ya kisheria na kimaadili ya vita haramu vya US, Israel

    Mar 07, 2026 13:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei amejibu taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ambaye bila kulaani uvamizi na mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, ameeleza wasiwasi wake juu ya vita hivyo kwa uchumi wa dunia.

  • Maulamaa wa Kishia na Kisunni, wa ndani na nje ya Iran watoa fatua ya Jihadi dhidi ya Marekani na utawala wa kizayuni

    Maulamaa wa Kishia na Kisunni, wa ndani na nje ya Iran watoa fatua ya Jihadi dhidi ya Marekani na utawala wa kizayuni

    Mar 07, 2026 12:07

    Maraajii Taqlidi wa madhehebu ya Shia, ndani na nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja na Maulamaa wakubwa wa Kisunni wa hapa nchini na katika mataifa mengine ya Ulimwengu wa Kiislamu wametoa fatua ya Jihadi dhidi ya Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel kufuatia uchokozi wa kidhalimu walioanzisha dhidi ya ardhi ya Iran.

  • Pezeshkian: Iran imesimama kidete katika kujihami, kulinda heshima ya taifa

    Pezeshkian: Iran imesimama kidete katika kujihami, kulinda heshima ya taifa

    Mar 06, 2026 13:58

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitasita kuendelea kujihami na kujilinda mkabala wa mashambulizi ya kichokozi ya maadui wa taifa hili.

  • Afisa wa zamani wa Pentagon: Hatukudhani makombora ya Iran yatakuwa ya kisasa kiasi hiki

    Afisa wa zamani wa Pentagon: Hatukudhani makombora ya Iran yatakuwa ya kisasa kiasi hiki

    Mar 06, 2026 13:10

    Mshauri wa zamani wa Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) amekiri kuhusu uwezo mkubwa wa makombora ya Iran na udhaifu wa mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Khorramshahr-4 yaingia uwanjani katika operesheni Ahadi ya Kweli 4, yatwanga ngome za Israel

    Khorramshahr-4 yaingia uwanjani katika operesheni Ahadi ya Kweli 4, yatwanga ngome za Israel

    Mar 05, 2026 18:32

    Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (Sepah) imetangaza kuwa makombora ya Khorramshahr 4, (Khaybar), ya kikosi cha Anga cha jeshi hilo yameanza kutumika kwa kushambulia katikati ya mji wa Tel Aviv, Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion na kambi ya jeshi la anga la Israel katika uwanja huo.

  • Niger yaguswa na mauaji ya kigaidi ya Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Niger yaguswa na mauaji ya kigaidi ya Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Mar 05, 2026 13:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger amelinyooshea mkono wa pole taifa la Iran kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS