Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Wairani 24,000 wameingia Saudia kwa ajili ya ibada ya Hija

    Wairani 24,000 wameingia Saudia kwa ajili ya ibada ya Hija

    May 12, 2026 09:09

    Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Iran amesema kuwa takribani Wairani 24,000 tayari wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija mwaka huu, ambapo kati yao takribani 14,000 wako Makka, na zaidi ya 10,000 wapo Madina.

  • Araghchi ajadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi na Misri kuhusu diplomasia

    Araghchi ajadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi na Misri kuhusu diplomasia

    May 12, 2026 04:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejadiliana na mawaziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia na Misri kuhusu maendeleo muhimu katika mchakato wa kidiplomasia kati ya Iran na Marekani unaopatanishwa na Pakistan.

  • Baqaei: Marekani inaendelea kusisitiza mawazo yaliyobuniwa na utawala wa Israel

    Baqaei: Marekani inaendelea kusisitiza mawazo yaliyobuniwa na utawala wa Israel

    May 12, 2026 03:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Marekani inaendelea kung'ang'ania fikra na mawazo ya utawala wa Israel.

  • Pezeshkian: Ukoloni hauna nafasi katika dunia; Iran yataka mahusiano ya kuheshimiana

    Pezeshkian: Ukoloni hauna nafasi katika dunia; Iran yataka mahusiano ya kuheshimiana

    May 09, 2026 09:27

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa ukoloni na unyonyaji havitakuwa na nafasi katika dunia ya kesho, akisisitiza tena dhamira ya Iran ya kuendeleza mahusiano ya kirafiki yanayojengwa juu ya kuheshimiana na maslahi ya pamoja.

  • Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?

    Kurudi Nyumbani Wakati wa Vita vya Siku 40 Wairan Waliokuwa Wameihajiri Nchi Kunafikisha Ujumbe Gani?

    May 09, 2026 14:04

    Takwimu zilizorekodiwa katika mipaka ya Iran zinaonyesha kuwa wakati wa vita vya siku 40 vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wairani 630,000 waliingia nchini kupitia mipaka ya nchi kavu.

  • Araghchi: Wairani hawapigi magoti mbele ya mashinikizo

    Araghchi: Wairani hawapigi magoti mbele ya mashinikizo

    May 09, 2026 09:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameonya kuwa Marekani hukimbilia hatua za kijeshi za kiholela hasa pale suluhisho la kidiplomasia linapoonekana kuwa karibu, huku akisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasalimu amri kamwe mbele ya mashinikizo.

  • Msemaji wa zamani wa Pentagon: Majenerali wa Marekani wana hofu kubwa kuhusu vita dhidi ya Iran

    Msemaji wa zamani wa Pentagon: Majenerali wa Marekani wana hofu kubwa kuhusu vita dhidi ya Iran

    May 09, 2026 08:08

    Msemaji wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) amefichua kuwa: Majenerali waandamizi wa jeshi la nchi hiyo wana hofu kubwa kuhusu kuzungumzia vita vya maafa dhidi ya Iran.

  • Vikosi vya Iran vyashambulia meli za  kivita za Marekani

    Vikosi vya Iran vyashambulia meli za kivita za Marekani

    May 08, 2026 11:20

    Msemaji wa Kamandi ya Khatam alAnbiya ya Majeshi ya Iran amesema kwamba vikosi vya Iran vimetoa jibu la papo hapo na lenye nguvu kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya kijeshi ya Marekani katika eneo muhimu la MlangoBahari wa Hormuz pamoja na ukanda wa pwani wa kusini mwa Iran.

  • Pezeshkian amwambia Macron: Iran yataka diplomasia huku ikisisitiza kulinda haki za taifa

    Pezeshkian amwambia Macron: Iran yataka diplomasia huku ikisisitiza kulinda haki za taifa

    May 07, 2026 08:07

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amemwambia mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuwa Tehran iko tayari kuendelea kwa dhati na njia za kidiplomasia ili kukomesha vita, huku ikisisitiza umuhimu wa kulindwa haki za taifa la Iran.

  •  China yalaani vita dhidi ya Iran, yataka usitishaji kamili wa mapigano

    China yalaani vita dhidi ya Iran, yataka usitishaji kamili wa mapigano

    May 07, 2026 08:03

    China imemkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, kwa mazungumzo mjini Beijing, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, akivitaja vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran kuwa “visivyo halali” na kutoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS