-
Jeshi la IRGC lashambulia Kamandi ya Jeshi la Marekani na ngome za Israel katika Ghuba ya Uajemi
Apr 06, 2026 04:50Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya shabaha mbalimbali zenye mfungamano na Marekani na Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi katika sehemu ya wimbi la 97 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4.
-
Ndege kadhaa za kivita za Marekani zatunguliwa Iran, hadi sasa droni 160 za adui zimedunguliwa
Apr 04, 2026 07:28Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimeangamiza ndege kadhaa za kijeshi za Marekani katika “siku nyeusi” kwa majeshi ya nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
-
IRGC yashambulia kampuni ya Kimarekani ya Oracle nchini Imarati
Apr 03, 2026 05:24Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kuwa: Limetoa kipigo kikali kwa Kampuni ya Kimarekani ya Oracle kufuatia mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mkewe.
-
Pezeshkian alishukuru taifa la Iraq kwa kuwa bega kwa bega na Iran katika mapambano dhidi ya Marekani, Israel
Mar 31, 2026 06:17Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesifu na kupongeza ujasiri wa taifa la Iraq wa kusimama bega kwa bega na watu wa Iran katika kipindi hiki cha uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4; ulipizaji kisasi dhidi ya maeneo ya viwanda ya adui
Mar 30, 2026 07:20Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetoa taarifa ikitangaza kuwa jeshi hilo limetekeleza awamu ya pili ya wimbi la 86 la Oparesheni Ahadi ya Kweli-4 dhidi ya kitongoji cha viwanda cha Neot Hovav huko Beersheba kusini mwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).
-
Qalibaf: Jibu la Iran limepangwa ili kuharakisha kusambaratika jeshi la Israel
Mar 29, 2026 05:57Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezungumzia kukiri kamanda wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusambaratika jeshi hilo na kuandika: Jibu la Iran limeratibiwa kwa namna ambayo linaharakisha kusambaratika jeshi la Israel.
-
Jebelli: Misimamo ya ujasiri ya Shahidi Shoaib ilipinga mashine ya vita ya adui Mzayuni
Mar 29, 2026 05:50Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametuma salamu za rambirambi kwa wakurugenzi wa Televisheni za Al-Manar na Al-Mayadeen za Lebanon kufuatia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwauwa kwa makusudi waandishi habari wa vyombo hivyo habari kusini mwa Lebanon.
-
Baqaei: Mashambulizi dhidi ya vyuo vikuu yanaonyesha chuki ya adui kwa maendeleo ya kisayansi ya Wairani
Mar 29, 2026 05:26Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai za adui za kuvishambulia vyuo viku na vituo vya elimu nchini Iran.
-
Araghchi: Mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab ni sehemu ndogo tu ya uhalifu wa Marekani na Israel
Mar 27, 2026 23:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyofanywa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu,” ya uhalifu wa kivita unaofanywa na muungano wa kijeshi wa tawala hizo mbili.
-
Qalibaf azitahadharisha taasisi za fedha zinazodhamini bajeti ya kijeshi ya Marekani
Mar 23, 2026 07:03Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amezitahadharisha taasisi za fedha zinazodhamini bajeti ya kijeshi ya Marekani.