Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu

    Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu

    Jul 15, 2025 04:58

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kudhoofisha na kuzusha migawanyiko miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui

    Jul 15, 2025 04:34

    Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina imani na usitishaji vita uliopo, na kwamba imejiandaa kukabiliana na senario tofauti za uchokozi wa maadui.

  • Pezeshkian: Mlango wa diplomasia ungali wazi; awaonya maadui

    Pezeshkian: Mlango wa diplomasia ungali wazi; awaonya maadui

    Jul 14, 2025 16:10

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inaamini kuwa dirisha la diplomasia bado liko wazi na kwamba nchi hii itatumia uwezo wake wote wa kisiasa kusonga mbele katika njia hii.

  • Iran: Tutatoa jibu mwafaka iwapo tutarejeshewa vikwazo vya UN

    Iran: Tutatoa jibu mwafaka iwapo tutarejeshewa vikwazo vya UN

    Jul 14, 2025 14:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amesema jaribio lolote la kuanzisha kile kinachoitwa utaratibu wa kurudisha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hili ni sawa na hatua ya makabiliano ambayo itapokea jibu mwafaka kutoka Tehran.

  • Iran: Itibari ya Troika ya Ulaya imeporomoka kwa kuunga mkono uvamizi wa Israel

    Iran: Itibari ya Troika ya Ulaya imeporomoka kwa kuunga mkono uvamizi wa Israel

    Jul 14, 2025 14:12

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya sheria na kimataifa amesema kuwa Troika ya Ulaya, yaani Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zilisambaratisha itibari na uaminifu wao wenyewe kwa kuunga mkono vitendo vya uchokozi vya utawala wa Israel dhidi ya Iran.

  • Jenerali Mousavi: Makombora ya Iran yalikata mikono ya maadui

    Jenerali Mousavi: Makombora ya Iran yalikata mikono ya maadui

    Jul 14, 2025 12:43

    Kamanda mkuu wa Jeshi la Iran amevipongeza vikosi vya anga vya nchi hii kwa mashambulio madhubuti ya makombora waliyoyafanya dhidi ya maadui wa taifa hili mwezi uliopita na kuonya kwamba, kosa lolote litakalorudiwa litakabiliwa kwa jibu kali zaidi.

  • Kupungua uungaji mkono wa wafuasi wa MAGA kwa vita vya Israel dhidi ya Iran; sababu, matokeo na athari zake kwa siasa za Marekani

    Kupungua uungaji mkono wa wafuasi wa MAGA kwa vita vya Israel dhidi ya Iran; sababu, matokeo na athari zake kwa siasa za Marekani

    Jul 14, 2025 09:11

    Katika miezi ya hivi karibuni, anga ya kisiasa ya Marekani imeshuhudia mabadiliko makubwa katika mtazamo wa wafuasi wa MAGA yenye maana ya Ifanye Tena Kuu Marekani, (Make America Great Again) kuhusiana na vita vya Israel dhidi ya Iran.

  • Araghchi: Netanyahu 'anaiamuru waziwazi' Marekani cha kufanya katika mazungumzo na Iran

    Araghchi: Netanyahu 'anaiamuru waziwazi' Marekani cha kufanya katika mazungumzo na Iran

    Jul 14, 2025 03:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel ameshindwa kufikia lolote kati ya malengo ya vita vya karibuni vya utawala huo ghasibu dhidi ya Iran.

  • Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran

    Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran

    Jul 14, 2025 02:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema madai ya tovuti ya habari ya Marekani ya Axios kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia ameiomba Iran isirutubishe madini ya uranium kuwa "kampeni chafu ya kisiasa" .

  • Mabalozi wa nchi 28 wakagua jengo la IRIB lililoshambuliwa na jeshi la kizayuni

    Mabalozi wa nchi 28 wakagua jengo la IRIB lililoshambuliwa na jeshi la kizayuni

    Jul 13, 2025 15:40

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, amewapokea mabalozi wanaowakilisha nchi 28 hapa mjini Tehran waliofanya ziara ya kukagua moja ya majengo ya IRIB lililolengwa na shambulio la kigaidi la jeshi la utawala wa kizayuni Israel mwezi uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS