-
Ayatullah Khamenei: Utawala wa Kizayuni nusura kusambaratika kabisa kufuatia mapigo makali ya jeshi la Iran
Jun 26, 2025 16:05Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametoa ujumbe wa tatu kupitia televisheni ya taifa kwa wananchi wa Iran akiwashukuru na kuwapongeza kwa msimao wao wa kutetea na kuunga mkono kwa dhati mfumo wa Mapinduzi ya Kiislamu, hasa baada ya kushambuliwa na utawala haramu wa Israel kwa uungaji mkono na msaada wa moja kwa moja wa Marekani.
-
Washington yakasirishwa na kufichuliwa ripoti ya siri ya uongo wa Trump kuhusu Iran
Jun 26, 2025 15:58Kufichuliwa ripoti ya siri kuhusu kufeli mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran kumewakasirisha maafisa wa serikali ya Washington.
-
Baqaei: Iran ina haki ya kustafidi na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani kwa mujibu wa NPT
Jun 26, 2025 15:53Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza kuwa kwa mujibu wa mkabata wa NPT na kifungu cha 4 cha mkataba huo, Iran ina haki kamili ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani, na imeazimia kudumisha haki hiyo kwa hali yoyote ile.
-
Waislamu wa Nigeria washerehekea ushindi wa Iran dhidi ya Marekani na Israel
Jun 25, 2025 08:57Waislamu nchini Nigeria wamesherehekea ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala haramu wa Israel baada ya vita kati ya Iran na Isreal kusitishwa baada ya kudumu kwa siku 12.
-
BRICS: Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Jun 25, 2025 07:43Nchi wanachama wa kundi la BRICS zimelaani mashambulizi ya Marekani na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran na kuzitaja hatua hizo za kijeshi kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Rais wa Iran: Hatukuanzisha vita sisi, lakini tutatoa jibu kali kwa uvamizi wa Israel
Jun 22, 2025 15:13Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haikuanzisha vita lakini itatoa jibu kali kwa uvamizi wa utawala haramu wa Israel dhidi yake.
-
Operesheni ya kijeshi ya Iran ya Ahadi ya Kweli-3 yasababisha uharibifu mkubwa Tel Aviv na Haifa
Jun 22, 2025 15:03Wimbi jipya la mashambulio ya makombora ya Iran ya operesheni ya Ahadi ya Kweli-3 limesababisha uharibifu mkubwa katika miji ya Tel Aviv na Haifa.
-
Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran
Jun 22, 2025 10:47Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa taarifa ikilaani hujuma na uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya taifa hili vinavyofanya shughuli zake kwa malengo ya amani.
-
Mohammad Eslami: Hatuamini tena wakala wa IAEA na ukaguzi wake
Jun 22, 2025 10:36Mohammad Eslami Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, hatuna imani tena na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na ukaguzi wake, kwa sababu zana zote hizo zimetumika katika kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yashambulia hospitali ya watoto Tehran na kuua shahidi kadhaa
Jun 16, 2025 11:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kuwaua shahidi watoto katika vita vyake vya kichokozi vinavyoendelea dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.