-
Raisi: Msingi wa uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ni Katiba
Dec 03, 2023 12:33Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ndio msingi wa taifa hili kuiunga mkono Palestina na Ukanda wa Gaza ambao hivi sasa unakabiliwa na mashambulizi ya Wazayuni.
-
Iran: Wanyonyaji damu wa Kizayuni wameanzisha upya mauaji Gaza kwa uungaji mkono wa US
Dec 01, 2023 11:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: baada ya kuwaua zaidi ya Wapalestina 15,000, wanyonyaji damu wa Kizayuni wameanzisha duru mpya ya mauaji huko Gaza kwa uungaji mkono kamili wanaoendelea kupewa na serikali ya Marekani.
-
Rais wa Iran asusia mkutano wa COP28 Dubai kwa kushiriki Israel
Dec 01, 2023 06:47Rais Ebrahim Raisi wa Iran hatashiriki mkutano wa 28 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP28, mjini Dubai kutokana na uwepo wa Rais Isaac Herzog na maafisa wengine wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye mkutano huo.
-
Iran yaipongeza Yemen kwa kuwaunga mkono Wapalestina
Dec 01, 2023 03:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza na kusifu uungaji mkono wa Yemen kwa taifa la Palestina, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni umeshadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake
Nov 30, 2023 03:53Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Senegal katika nyuga mbalimbali.
-
Iran: Hatima ileile ya kutoroka Afghanistan itawafika askari wa Marekani waliopiga kambi Iraq na Syria
Nov 30, 2023 07:17Mshauri wa ngazi ya juu wa kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepongeza Kambi ya Muqawama katika eneo na kusema "kutoroka" ndio hatima ya mwisho itakayovifika vikosi vamizi vya jeshi la Marekani nchini Syria na Iraq kama ilivyotokea Afghanistan.
-
Iran yazionya Marekani na Israel juu ya 'matokeo hasi makali' endapo jinai za kivita zitaendelea Gaza
Nov 28, 2023 13:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amezionya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba zitakabiliwa na "matokeo hasi makali" iwapo zitashindwa kukomesha kikamilifu uhalifu wa kivita katika Ukanda wa Gaza uliofanywa wakati wa vita vya mauaji ya halaiki dhidi ya eneo Palestina lililowekewa mzingiro.
-
Baqeri: Manowari ya Deylaman kudhamini usalama kaskazini mwa Iran
Nov 27, 2023 12:27Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kujiunga manowari mpya ya Deylaman kwenye orodha ya meli za kivita za Iran kutaimarisha usalama katika Bahari ya Caspian, kaskazini mwa nchi.
-
Iran: Wapalestina wataamua hatima yao wenyewe
Nov 27, 2023 11:26Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema taifa la Palestina halitaruhusu ama utawala wa Kizayuni au Marekani kufikia malengo yao haramu, na kusisitiza kuwa hatima ya Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.
-
Amir Abdollahian nchini Lebanon; safari yenye malengo kadhaa
Nov 25, 2023 06:24Hossein Amirabdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametembelea Beirut, mji mkuu wa Lebanon ikiwa ni katika muendelezo wa mashauriano yake na viongozi wa eneo kuhusu hujuma ya Wazayuni katika Ukanda wa Gaza ambapo amekukutana na kuzungumza na maafisa wa nchi hiyo pamoja na viongozi wa mrengo wa muqawama wa Lebanon na Palestina.