-
Araqchi: Nimeridhishwa na hatua zilizopigwa katika mazungumzo na Marekani; mashauriano zaidi yanahitajika
Apr 27, 2025 07:46Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema ameridhishwa na hatua zilizopigwa hadi sasa katika mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani.
-
Pezeshkian asisitiza haja ya ushirikiano wa nchi za eneo ili kukabiliana na ugaidi
Apr 27, 2025 02:54Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuna udharura wa kuwepo na ushirikiano thabiti miongoni mwa nchi za eneo hili, ili kwa pamoja ziweze kupambana na zimwi la ugaidi.
-
Hatua mpya katika kuzidisha kiwango cha ushirikiano kati ya Iran na Russia
Apr 26, 2025 10:50Miamala ya kibiashara kati ya Iran na Russia inazidi kuongezeka katika nyanja mbalimbali za kiuchumi hususan katika sekta ya nishati na usafirishaji.
-
Iran yamwita balozi wa Uholanzi juu ya tuhuma 'zisizo na msingi' dhidi ya Tehran
Apr 26, 2025 02:39Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemwita balozi wa Uholanzi kuwasilisha malalamiko makali ya Tehran dhidi ya tuhuma "zisizo na msingi" zilizotolewa na Uholanzi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Trump adai yuko tayari kukutana na Kiongozi Muadhamu wa Iran
Apr 26, 2025 02:39Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian au Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema hayo katika mahojiano na TIME.
-
Jeshi la Msumbiji: Uasi katika mkoa wenye utajiri wa gesi wa Cabo Delgado umemalizika
Apr 25, 2025 06:42Jeshi la Msumbiji limetangaza kuwa limedhibiti kambi za mwisho za mafunzo zilizokuwa zikitumiwa na waasi katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado, ikiwa ni ishara ya kile wanachokitaja maafisa wa jeshi hilo kuwa ni kumalizika kwa uasi wa miaka mingi katika eneo hilo lenye utajiri wa maliasili ya gesi.
-
Iran yaonya; Israel inataka 'kuvuruga diplomasia' kupitia hujuma, mauaji ya kigaidi
Apr 24, 2025 10:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi fulani yenye maslahi maalumu huenda yakajaribu "kuvuruga diplomasia" kupitia vitendo vya hujuma na mauaji ya kigaidi wakati huu ambapo Jamhuri ya Kiislamu na Marekani zinafanya mazungumzo ya kufikia makubaliano kuhusu shughuli za nyuklia za taifa hili.
-
"Msimamo wa ujasiri wa Papa Francis dhidi ya dhulma hautasahaulika"
Apr 24, 2025 10:38Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Masuala ya Kisiasa wa Iran amesema, mchango wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aliyeaga dunia hivi karibuni, Papa Francis ambaye daima alikuwa mstari wa mbele kusaidia wanyonge na wahanga wa unyanyasaji na ukatili, na vile vile misimamo yake ya kijasiri dhidi ya ukandamizaji, dhulma, ubaguzi na unyanyasaji kamwe haitasahaulika.
-
Press TV: Duru ya pili ya mazungumzo ya Iran na Marekani imefanyika Rome katika 'anga chanya'
Apr 19, 2025 14:32Duru ya pili ya mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani imefanyika katika mji mkuu wa Italia, Rome leo Jumamosi katika "anga chanya". Hayo yameelezwa na ripota wa chaneli ya televisheni ya Press TV.
-
Saudi Arabia, Iran zinasisitiza azma ya kupanua uhusiano wao wa kijeshi
Apr 18, 2025 07:28Iran imesisitiza juu ya utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kijeshi na Saudi Arabia, wakati huu ambapo Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo ya Kiarabu, Mwanamfalme Khalid bin Salman yuko hapa Tehran tangu jana Alkhamisi kujadili usalama katika eneo hili.