-
Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu
Jul 15, 2025 04:58Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kudhoofisha na kuzusha migawanyiko miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui
Jul 15, 2025 04:34Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina imani na usitishaji vita uliopo, na kwamba imejiandaa kukabiliana na senario tofauti za uchokozi wa maadui.
-
Pezeshkian: Mlango wa diplomasia ungali wazi; awaonya maadui
Jul 14, 2025 16:10Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inaamini kuwa dirisha la diplomasia bado liko wazi na kwamba nchi hii itatumia uwezo wake wote wa kisiasa kusonga mbele katika njia hii.
-
Iran: Tutatoa jibu mwafaka iwapo tutarejeshewa vikwazo vya UN
Jul 14, 2025 14:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amesema jaribio lolote la kuanzisha kile kinachoitwa utaratibu wa kurudisha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hili ni sawa na hatua ya makabiliano ambayo itapokea jibu mwafaka kutoka Tehran.
-
Iran: Itibari ya Troika ya Ulaya imeporomoka kwa kuunga mkono uvamizi wa Israel
Jul 14, 2025 14:12Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya sheria na kimataifa amesema kuwa Troika ya Ulaya, yaani Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zilisambaratisha itibari na uaminifu wao wenyewe kwa kuunga mkono vitendo vya uchokozi vya utawala wa Israel dhidi ya Iran.
-
Jenerali Mousavi: Makombora ya Iran yalikata mikono ya maadui
Jul 14, 2025 12:43Kamanda mkuu wa Jeshi la Iran amevipongeza vikosi vya anga vya nchi hii kwa mashambulio madhubuti ya makombora waliyoyafanya dhidi ya maadui wa taifa hili mwezi uliopita na kuonya kwamba, kosa lolote litakalorudiwa litakabiliwa kwa jibu kali zaidi.
-
Kupungua uungaji mkono wa wafuasi wa MAGA kwa vita vya Israel dhidi ya Iran; sababu, matokeo na athari zake kwa siasa za Marekani
Jul 14, 2025 09:11Katika miezi ya hivi karibuni, anga ya kisiasa ya Marekani imeshuhudia mabadiliko makubwa katika mtazamo wa wafuasi wa MAGA yenye maana ya Ifanye Tena Kuu Marekani, (Make America Great Again) kuhusiana na vita vya Israel dhidi ya Iran.
-
Araghchi: Netanyahu 'anaiamuru waziwazi' Marekani cha kufanya katika mazungumzo na Iran
Jul 14, 2025 03:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel ameshindwa kufikia lolote kati ya malengo ya vita vya karibuni vya utawala huo ghasibu dhidi ya Iran.
-
Russia yakadhibisha madai ya Axios kuhusu urutubishaji urani wa Iran
Jul 14, 2025 02:54Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema madai ya tovuti ya habari ya Marekani ya Axios kwamba Rais Vladimir Putin wa Russia ameiomba Iran isirutubishe madini ya uranium kuwa "kampeni chafu ya kisiasa" .
-
Mabalozi wa nchi 28 wakagua jengo la IRIB lililoshambuliwa na jeshi la kizayuni
Jul 13, 2025 15:40Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, amewapokea mabalozi wanaowakilisha nchi 28 hapa mjini Tehran waliofanya ziara ya kukagua moja ya majengo ya IRIB lililolengwa na shambulio la kigaidi la jeshi la utawala wa kizayuni Israel mwezi uliopita.