Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'

    Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'

    Jul 19, 2026 03:44

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."

  • Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan

    Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan

    Jul 19, 2026 03:29

    Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.

  • Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi

    Iravani: Kutochukua hatua UN kunahalalisha haki ya Iran ya kujibu mashambulizi

    Jul 19, 2026 03:20

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Katibu Mkuu wa umoja huo kufuatia uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran, kushambuliwa miundombinu na mauaji ya raia wa Iran.

  • UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

    UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

    Jul 15, 2026 11:09

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada.

  • Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi

    Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi

    Jul 13, 2026 03:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.

  • Jeshi: Iran imedhamiria kuanzisha mpango wake yenyewe katika Lango-Bahari la Hormuz

    Jeshi: Iran imedhamiria kuanzisha mpango wake yenyewe katika Lango-Bahari la Hormuz

    Jul 13, 2026 03:00

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesema kuwa vikosi vyote vya ulinzi viko tayari kulinda haki za taifa na kuweka mfumo unaokusudiwa na Iran katika Lango -Bahari la Hormuz.

  • Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla

    Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla

    Jul 12, 2026 10:17

    Seneta Lindsey Graham, anayetambuliwa kuwa mhandisi wa mipango ya Washington dhidi ya Iran na mhamasishaji mkuu wa Trump kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, hatimaye ameangamia na ndoto yake ya kunyakua "matrilioni ya dola katika pesa na mafuta ya Iran."

  • Iran, Oman zakubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa meli, Lango Bahari la Hormuz

    Iran, Oman zakubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa meli, Lango Bahari la Hormuz

    Jul 12, 2026 09:36

    Iran na Oman zimekubaliana kuendeleza mazungumzo ya kisiasa na kiufundi kuhusu usalama wa baharini na mipango ya baadaye ya safari za meli katika Lango-Bahari la Hormuz.

  • Ayatullah Mojtaba Khamenei asifu ushiriki ‘wa kihistoria’ wa waumini katika mazishi, aapa kulipiza kisasi kwa Kiongozi Shahidi

    Ayatullah Mojtaba Khamenei asifu ushiriki ‘wa kihistoria’ wa waumini katika mazishi, aapa kulipiza kisasi kwa Kiongozi Shahidi

    Jul 11, 2026 12:01

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani zake za dhati kwa mahudhurio “ya kustaajabisha, yenye kuvunja nguvu za adui na ya kihistoria” katika mazishi ya Kiongozi Shahidi, akisisitiza kuwa malipo ya kisasi dhidi ya “watenda jinai wauaji waliodhalilika” ni jambo la yakini.

  • Mamilioni wamuaga Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei katika miji ya Najaf na Karbala nchini Iraq

    Mamilioni wamuaga Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei katika miji ya Najaf na Karbala nchini Iraq

    Jul 08, 2026 14:19

    Mamilioni ya waombolezaji leo Jumatano walikusanyika katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kwa ajili ya kuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na familia yake waliouliwa shahidi katika mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS