Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

    Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

    Jun 16, 2025 07:08

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran na kuelezea hujuma hizo za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi huru kuwa ni kitendo cha juu zaidi cha uchokozi, kinachopaswa kulaaniwa duniani kote.

  • Mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Iran dhidi ya Israel, mwisho wa zama za

    Mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Iran dhidi ya Israel, mwisho wa zama za "kushambulia na kukimbia" kwa Israel.

    Jun 15, 2025 12:15

    Baada ya utawala wa Kizayuni kuishambulia Iran kwa ushirikiano wa Washington asubuhi ya Ijumaa, Juni 13, na kupelekea kuuawa shahidi idadi kubwa ya makamanda waandamizi wa kijeshi na wanasayansi, pamoja na raia wa kawaida, Iran, kama ilivyoahidi awali, ilianza kutoa jibu kali kwa jinai hiyo na mauaji ya kimbari Ijumaa usiku kupitia operesheni ya mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani, iliyopewa jina la Ali ibn Abi Talib.

  • Israel yaendelea kukabiliwa na mvua ya makombora ya Iran; mkuu wake wa ujasusi ajiuzulu

    Israel yaendelea kukabiliwa na mvua ya makombora ya Iran; mkuu wake wa ujasusi ajiuzulu

    Jun 15, 2025 03:09

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) usiku wa kuamkia leo limetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya utawala wa Kizayuni, kufuatia awamu ya kwanza ya operesheni ya kulipiza kisasi ya "Ahadi ya Kweli III" Ijumaa usiku.

  • Iran yapiga shabaha 150 za Israel katika Operesheni ya Ahadi ya Kweli 3

    Iran yapiga shabaha 150 za Israel katika Operesheni ya Ahadi ya Kweli 3

    Jun 14, 2025 07:13

    Afisa wa ngazi ya juu wa Jeshi la Iran amesema kwa akali shabaha 150 zimepigwa wakati wa operesheni ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya utawala haramu wa Israel, ikiwa ni pamoja na kambi kadhaa za kimkakati za kijeshi za utawala huo pandikizi.

  • Iran yatungua ndege 2 za kivita za Israel za F-35, yamkamata rubani

    Iran yatungua ndege 2 za kivita za Israel za F-35, yamkamata rubani

    Jun 14, 2025 07:05

    Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimefanikiwa kutungua na kuteketeza ndege mbili za kivita za Israel aina ya F-35, na idadi kubwa ya ndege zisizo na rubani. Iran imekuwa nchi ya kwanza duniani kuweza kutungua ndege ya kijeshi ya F-35.

  • Jenerali Hatami ateuliwa kuwa Kamanda mpya wa Majeshi ya Iran

    Jenerali Hatami ateuliwa kuwa Kamanda mpya wa Majeshi ya Iran

    Jun 14, 2025 07:04

    Brigedia Jenerali Amir Hatami ameteuliwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kuwa Kamanda Mkuu mpya wa Majeshi ya Iran.

  • Tehran: Mazungumzo ya nyuklia na US 'hayana maana' baada ya uvamizi wa Israel

    Tehran: Mazungumzo ya nyuklia na US 'hayana maana' baada ya uvamizi wa Israel

    Jun 14, 2025 06:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mazungumzo na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran "hayana maana" kufuatia mashambulizi ya kinyama ya Israel, huku akiishutumu Washington kwa kuunga mkono uchokozi huo.

  • Iran: EU ikishinikiza turejeshewa vikwazo vya UN, tutajitoa NPT

    Iran: EU ikishinikiza turejeshewa vikwazo vya UN, tutajitoa NPT

    Jun 12, 2025 02:53

    Iran imeonya kwamba, huenda ikatumia haki yake ya kisheria ya kujiondoa kwenye Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) ikiwa mataifa ya Ulaya yataendelea na jaribio lisilo na msingi wa kisheria la kuamilisha mchakato wa kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Je, mashirikiano ya Iran na Afrika yataimarika vipi?

    Je, mashirikiano ya Iran na Afrika yataimarika vipi?

    Jun 12, 2025 02:09

    Katika kikao chao na Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, mabalozi wa Senegal na Sierra Leone wamesisitiza utayari wa nchi za Kiafrika kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara na Iran.

  • Iran: Tutapiga vituo vya siri vya nyuklia vya Israel iwapo tutashambuliwa

    Iran: Tutapiga vituo vya siri vya nyuklia vya Israel iwapo tutashambuliwa

    Jun 10, 2025 03:03

    Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) limeonya kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itavishambulia vituo vya siri vya nyuklia vya Israel iwapo utawala huo wa Kizayuni utafanya kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS