-
Mazungumzo ya mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Kenya
Apr 30, 2026 08:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya kuhusu masuala muhimu ya uhusiano wa pande mbili.
-
Baqaei: Kukabiliana na ugaidi ni jukumu la kimataifa
Apr 28, 2026 09:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Mali.
-
Rais Pezeshkian aishukuru Serikali na Taifa la Afrika Kusini kwa mshikamamo wao na Iran
Apr 27, 2026 12:49Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameishukuru serikali na taifa la Afrika Kusini kwa kuonyesha mshikamano na taifa la Iran.
-
Iran yasema Lango-Bahari La Hormuz liko wazi kwa Kenya
Apr 27, 2026 09:30Balozi wa Iran nchini Kenya, Dkt. Ali Gholampour, amesema kuwa Lango-Bahari la Hormuz liko wazi kwa Kenya pamoja na mataifa mengine rafiki.
-
Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia
Dec 28, 2025 00:05Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukiukaji wazi mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Somalia.
-
Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani
Oct 15, 2025 09:55Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametoa wito wa kuwepo umoja na mshikamano zaidi kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) ili kukabiliana na kuongezeka kwa misimamo ya upande mmoja na uvunjaji sheria unaofanywa na baadhi ya madola.
-
Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika
Sep 19, 2025 23:03Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.
-
Ghana kufungua tena Ubalozi wake Tehran mwezi huu wa Septemba
Sep 04, 2025 04:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Ghana imesema kuwa Ubalozi wake hapa mjini Tehran, Iran, utaanza tena kazi zake Jumanne ya Septemba 16, baada ya kufungwa kwa muda.
-
Kwa nini uwezo tofauti wa Iran unatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo ya nchi za Kiafrika?
Aug 13, 2025 08:19Katika hali ambayo nchi nyingi za Kiafrika zinakabiliwa na changamoto za miundombinu na ukosefu wa teknolojia mpya, Iran imetoa fursa mpya za ushirikiano na ubadilishanaji wa teknolojia kwa kutegemea uwezo wake wa kiufundi, kiuhandisi na kitaalamu.
-
Maspika wa Mabunge ya Iran na Tanzania wataka kuimarisha ushirikiano wa Kibunge
Jul 31, 2025 09:43Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge ya Dunia (IPU).