Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Mwanzo wa mpasuko wa kimkakati kati ya pande mbili za Atlantiki

    Mwanzo wa mpasuko wa kimkakati kati ya pande mbili za Atlantiki

    May 15, 2026 10:16

    José Manuel Albares Bueno, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uhispania, akisisitiza tena sera ya serikali ya nchi yake katika kupinga uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema: 'Marekani haiwezi kutumia vituo vyetu vya anga kwa ajili ya vita dhidi ya Iran.

  • Mazungumzo ya mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Kenya

    Mazungumzo ya mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Kenya

    Apr 30, 2026 08:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya kuhusu masuala muhimu ya uhusiano wa pande mbili.

  • Baqaei: Kukabiliana na ugaidi ni jukumu la kimataifa

    Baqaei: Kukabiliana na ugaidi ni jukumu la kimataifa

    Apr 28, 2026 09:41

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Mali.

  • Rais Pezeshkian aishukuru Serikali na Taifa la Afrika Kusini kwa mshikamamo wao na Iran

    Rais Pezeshkian aishukuru Serikali na Taifa la Afrika Kusini kwa mshikamamo wao na Iran

    Apr 27, 2026 12:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameishukuru serikali na taifa la Afrika Kusini kwa kuonyesha mshikamano na taifa la Iran.

  • Iran yasema Lango-Bahari La Hormuz liko wazi kwa Kenya

    Iran yasema Lango-Bahari La Hormuz liko wazi kwa Kenya

    Apr 27, 2026 09:30

    Balozi wa Iran nchini Kenya, Dkt. Ali Gholampour, amesema kuwa Lango-Bahari la Hormuz liko wazi kwa Kenya pamoja na mataifa mengine rafiki.

  • Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Dec 28, 2025 00:05

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukiukaji wazi mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Somalia.

  • Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani

    Araqchi aitaka NAM kukabiliana na maamuzi ya upande mmoja na ukiukaji sheria wa Marekani

    Oct 15, 2025 09:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametoa wito wa kuwepo umoja na mshikamano zaidi kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) ili kukabiliana na kuongezeka kwa misimamo ya upande mmoja na uvunjaji sheria unaofanywa na baadhi ya madola.

  • Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika

    Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika

    Sep 19, 2025 23:03

    Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.

  • Ghana kufungua tena Ubalozi wake Tehran mwezi huu wa Septemba

    Ghana kufungua tena Ubalozi wake Tehran mwezi huu wa Septemba

    Sep 04, 2025 04:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ghana imesema kuwa Ubalozi wake hapa mjini Tehran, Iran, utaanza tena kazi zake Jumanne ya Septemba 16, baada ya kufungwa kwa muda.

  • Kwa nini uwezo tofauti wa Iran unatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo ya nchi za Kiafrika?

    Kwa nini uwezo tofauti wa Iran unatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo ya nchi za Kiafrika?

    Aug 13, 2025 08:19

    Katika hali ambayo nchi nyingi za Kiafrika zinakabiliwa na changamoto za miundombinu na ukosefu wa teknolojia mpya, Iran imetoa fursa mpya za ushirikiano na ubadilishanaji wa teknolojia kwa kutegemea uwezo wake wa kiufundi, kiuhandisi na kitaalamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS