Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria

    Ecowas yataka kuwepo mkakati madhubuti wa kikanda wa kutokomeza malaria

    Apr 27, 2026 12:38

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imetaka kuimarishwa mikakati ya kikanda ili kutokomeza kabisa ugonjwa wa malaria.

  • Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Israel na Somaliland: Njama ya kudhibiti Bab al Mandeb

    Apr 23, 2026 09:59

    Tarehe 26 Desemba, 2025, Israel ililitambua eneo lililotangaza kujitenga na Somalia la Somaliland kama taifa huru; licha ya kwamba, katika upeo wa kimataifa, eneo hilo inaendelea kutambuliwa kuwa sehemu ya Somalia.

  • Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia

    Hofu yatanza juu ya uwezekano wa kuibuka mzozo mpya Ethiopia

    Apr 21, 2026 10:25

    Chama kikuu cha siasa katika eneo la Tigray kaskaizni mwa Ethiopia kimetangaza kuwa kinachukua udhibiti wa serikali ya eneo hilo, na hivyo kubatilisha makubaliano ya amani na Serikali ya Shirikisho ya Ethiopia ambayo yalihitimisha moja ya migogoro mibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika karne hii.

  • Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Burundi, UNHCR kuwarejesha makwao wakimbizi wa Kongo

    Apr 21, 2026 09:24

    Serikali ya Burundi, kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), imetangaza mpango wa kuwarejesha makwao kwa hiari maelfu ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaoishi nchini humo.

  • Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Iran yailaani Israel kwa kukiuka mamlaka ya kitaifa ya Somalia

    Apr 21, 2026 08:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya utawala wa kizayuni wa Israel ya kuteua mjumbe wa kidiplomasia huko Somaliland ni ishara wazi ya njama ya utawala huo ya kuvuruga amani na utulivu na kuchochea migawanyiko baina ya nchi za Kiislamu na za Kanda hiyo.

  • Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni

    Rais wa Afrika ya Kati afichua sura mpya ya ukoloni

    Mar 07, 2026 14:25

    Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amesema katika: "Diplomasia ya adhabu na vikwazo ni barakoa mpya ya ukoloni."

  • Waafrika 1,700 wadaiwa kushiriki katika vita vya Russia, Ukraine

    Waafrika 1,700 wadaiwa kushiriki katika vita vya Russia, Ukraine

    Feb 26, 2026 01:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Andrii Sybiha amedai kwamba, zaidi ya Waafrika 1,700 wanapigana kwa niaba ya Russia katika vita vyake dhidi ya Ukraine, na kuongeza kwamba Moscow inatumia hadaa kuwasajili jeshini raia hao wa Kiafrika.

  • Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa

    Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa

    Feb 23, 2026 23:01

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia kutekelezwa sera ya msingi ya kuendeleza na kustawisha uhusiano na nchi zenye misimamo huru na za kimapinduzi katika bara la Afrika Magharibi, hususan Burkina Faso.

  • Utumwa, ukoloni; Ghana yataka nchi za AU kuunga mkono Azimio la Algiers

    Utumwa, ukoloni; Ghana yataka nchi za AU kuunga mkono Azimio la Algiers

    Feb 16, 2026 06:44

    Rais wa Ghana ametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuunga mkono rasimu ya azimio lenye lengo la kutambua dhulma za kihistoria zilizosababishwa na biashara ya utumwa wa kuvuka Atlantiki.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia ahimiza kuwepo uhusiano wa heshima kati ya Afrika na Italia

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ahimiza kuwepo uhusiano wa heshima kati ya Afrika na Italia

    Feb 15, 2026 04:26

    Abiy Ahmed Waziri Mkuu wa Ethiopia amehimiza kuhusu ushirikiano mpya kati ya Afrika na Ulaya unaozingatia utu na ustawi wa pamoja. Waziri Mkuu wa Ethiopia ameeleza haya alipokuwa mwenyeji wa Mkutano wa Pili wa Italia na Afrika mjini Addis Ababa mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS