Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Jun 07, 2025 06:58

    Wakufunzi wa kijeshi wa Ukraine wanawafunza na kuwapa silaha wanamgambo wenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda nchini Mali.

  • Je, kubadilika mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika, ni kurudi nyuma au kubadilishwa mbinu?

    Je, kubadilika mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika, ni kurudi nyuma au kubadilishwa mbinu?

    May 30, 2025 12:19

    Jeshi la Marekani linaendelea kubadilisha na kulegeza misimamo yake ya awali kuhusu "utawala bora" barani Afrika na kukabiliana na vyanzo vya uasi na machafuko, na sasa linasisitiza kwamba serikali dhaifu za Kiafrika zinazoshirikiana na Marekani zinapasa kujitegemea zenyewe kijeshi na kiusalama.

  • Namibia yataka fidia ya 'maana' ya mauaji ya halaiki ya Ujerumani

    Namibia yataka fidia ya 'maana' ya mauaji ya halaiki ya Ujerumani

    May 29, 2025 06:01

    Namibia imefanya kumbukizi ya kuwaenzi wahanga wa mauaji ya kibari wakati wa utawala wa kikoloni wa Ujerumani, huku viongozi, wanasiasa na wakuu wa jamii zilizoathirika na ukatili huo wa askari wa Kijerumani wakitoa wito mpya wa kulipwa fidia na Berlin.

  • Ghana: Afrika ipo tayari kushirikiana na Russia kuunda mustakabali wa kimataifa

    Ghana: Afrika ipo tayari kushirikiana na Russia kuunda mustakabali wa kimataifa

    May 27, 2025 07:05

    Mbunge wa Ghana amesema Afrika iko tayari kuwa nguvu muhimu katika maendeleo ya kimataifa, akikaribisha uhusiano unaozidi kustawi wa bara hilo na Russia, alioutaja kama njia ya maendeleo endelevu.

  • Utoshelevu wa chakula; Afrika yatakiwa iongeze bajeti kwenye kilimo

    Utoshelevu wa chakula; Afrika yatakiwa iongeze bajeti kwenye kilimo

    May 21, 2025 05:54

    Serikali za nchi za Afrika zimehimizwa kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo ili kuimarisha usalama wa chakula na kufungua mustakbali wa maendeleo endelevu ya kiuchumi.

  • "Msingi wa uhusiano wa Russia, Afrika ni mshikamano wa zama za Sovieti"

    May 21, 2025 02:26

    Russia imesema serikali nyingi za Kiafrika zimedumisha msimamo huru, uliojikita katika kutoingilia kati masuala ya nchi nyingine, kuheshimu mamlaka ya kujitawala na uhuru wa kitaifa, na zimekataa kupasisha vikwazo dhidi ya Russia licha ya mashinikizo makubwa kutoka kwa nchi za Magharibi.

  • Iran yatangaza utayarifu wa kupanua ushirikiano na Afrika katika nyanja za afya na tiba

    Iran yatangaza utayarifu wa kupanua ushirikiano na Afrika katika nyanja za afya na tiba

    Apr 30, 2025 07:19

    Mshauri Mkuu wa Waziri wa Afya na Elimu ya Tiba wa Iran ametangaza utayarifu wa sekta ya afya ya Jamhuri ya Kiislamu wa Iran kupanua ushirikiano wa kiuchumi na nchi za Kiafrika.

  • Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

    Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi

    Apr 30, 2025 02:29

    Mkutano wa tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika ulifanyika mjini Tehran wakati kivuli kizito cha sera za nchi za Magharibi dhidi ya Iran na Afrika kimeathiri mahusiano mengi ya kimataifa kati ya Iran na Afrika.

  • Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

    Apr 27, 2025 13:17

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amezungumzia uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, Iran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.

  • Benin: Askari wetu waliouawa katika shambulio la karibuni ni 54

    Benin: Askari wetu waliouawa katika shambulio la karibuni ni 54

    Apr 24, 2025 10:37

    Msemaji wa serikali ya Benin, Wilfried Leandre Houngbedji amesema idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo waliouawa katika shambulio la kigaidi lililotokea kaskazini mwa nchi mnamo Aprili 17 ni 54.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS