Jan 31, 2024 02:43
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema, upinzani kutoka kwa maaskofu wa kikatoliki barani Afrika kwa agizo lake la kuwaruhusu makasisi kubariki watu wa jinsia moja wanaoishi kiunyumba, ni "kesi maalumu" inayochochewa na imani zao za kiutamaduni.