-
Iran yatangaza utayarifu wa kupanua ushirikiano na Afrika katika nyanja za afya na tiba
Apr 30, 2025 07:19Mshauri Mkuu wa Waziri wa Afya na Elimu ya Tiba wa Iran ametangaza utayarifu wa sekta ya afya ya Jamhuri ya Kiislamu wa Iran kupanua ushirikiano wa kiuchumi na nchi za Kiafrika.
-
Kupanuliwa uhusiano wa Iran na Afrika ni changamoto kwa madola ya Magharibi
Apr 30, 2025 02:29Mkutano wa tatu wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Iran na Afrika ulifanyika mjini Tehran wakati kivuli kizito cha sera za nchi za Magharibi dhidi ya Iran na Afrika kimeathiri mahusiano mengi ya kimataifa kati ya Iran na Afrika.
-
Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote
Apr 27, 2025 13:17Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amezungumzia uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, Iran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.
-
Benin: Askari wetu waliouawa katika shambulio la karibuni ni 54
Apr 24, 2025 10:37Msemaji wa serikali ya Benin, Wilfried Leandre Houngbedji amesema idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo waliouawa katika shambulio la kigaidi lililotokea kaskazini mwa nchi mnamo Aprili 17 ni 54.
-
Mawaziri wa Afya wa Afrika wazindua kampeni ya chanjo ya Polio katika eneo la Bonde la Ziwa Chad
Apr 18, 2025 14:15Mawaziri wa afya wa Afrika kutoka eneo la Bonde la Ziwa Chad wamezindua kampeni ya chanjo yenye lengo la kuwalinda watoto milioni 83 walio chini ya umri wa miaka 5 dhidi ya aina ya pili ya ugonjwa wa Polio.
-
Kofi la Afrika kwa Uzayuni; Mwakilishi wa Israel afukuzwa makao makuu ya AU
Apr 09, 2025 03:06Jumatatu wiki hii balozi wa Israel nchini Ethiopia, Abraham Negussie, alifukuzwa katika Ukumbi wa Mandela katika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa.
-
Diop: Ukraine inachochea ukosefu wa utulivu barani Afrika
Apr 08, 2025 06:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali, Abdoulaye Diop amesema Ukraine inavuruga utulivu barani Afrika kwa kuunga mkono makundi ya kigaidi katika eneo la Sahel barani humo.
-
Nia ya Russia ya kuzidisha uwepo wake barani Afrika
Apr 06, 2025 07:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Lavrov ametangaza utayarifu wa nchi yake kutoa msaada wa pande zote kwa Muungano wa Nchi za Sahel barani Afrika katika nyanja za ulinzi, usalama na uchumi.
-
Russia: Tuko tayari kuunga mkono uhuru wa kidijitali wa Afrika
Apr 03, 2025 02:31Russia imesema iko tayari kupiga jeki nchi za Afrika katika kuendeleza teknolojia zinazohakikisha kuwa kuna utoshelevu na zinaheshimu mamlaka ya kujitawala nchi za bara hilo.
-
Guinea yatoa msamaha uliobua utata kwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Dadis Camara
Mar 30, 2025 02:38Katika uamuzi wa kutatanisha, kiongozi wa utawala wa kijeshi wa Guinea, Jenerali Mamadi Doumbouya, ametoa msamaha wa rais kwa mtawala wa zamani wa kijeshi Moussa Dadis Camara.