-
Kuondoa jeshi la Ufaransa nchini Senegal ni kikwazo kwa sera ya nje ya Paris barani Afrika
Jul 28, 2025 12:14Kuondoka kwa vikosi vya jeshi la Ufaransa katika kambi ya mwisho ya nchi hiyo huko Senegal na matamshi mbayo hayajawahi kutolewa hapo kabla ya afisa wa ngazi ya juu wa serikali ya Paris kwamba usalama wa Afrika Magharibi si muhimu kwa Ufaransa, kunadhihirisha kushindwa kwa sera ya muda mrefu ya ukoloni katika Bara la Afrika.
-
Ufaransa yasisitiza uwakilishi zaidi wa nchi za Kiafrika katika Baraza la Usalama la UN
Jul 23, 2025 10:51Mwakilishi wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa Paris inaunga mkono kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) ili kuongeza uwakilishi wa mataifa ya Afrika katika taasisi hiyo ya kimataifa.
-
M23, DRC zatia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Qatar
Jul 19, 2025 13:48Wawakilishi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 wametia saini makubaliano ya kusitisha mapigano mashariki mwa DRC, leo Jumamosi nchini Qatar.
-
AU yamteua Rais wa Burundi kuwa mjumbe wake maalum eneo la Sahel
Jul 18, 2025 13:50Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Joao Lourenco ametangaza kumteua Evariste Ndayishimiye, Rais wa Burundi, kuwa mjumbe wake maalum katika eneo la Sahel.
-
Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko
Jul 17, 2025 04:59Serikali ya Eswatini ilisema jana Jumatano kwamba, inawashikilia raia watano wa nchi ya tatu waliofukuzwa kutoka Marekani katika magereza yaliyotengwa, chini ya makubaliano na utawala wa Rais Donald Trump, lakini inapania kuwarejesha katika nchi zao.
-
Afrika imenakili vifo 4,200 vya kipindupindu na mpox 2025
Jul 12, 2025 12:52Afrika imerekodi vifo zaidi ya 4,200 kutokana na miripuko ya kipindupindu na mpox inayoendelea kuripotiwa katika maeneo tofauti ya bara hilo mwaka 2025, Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) kimesema.
-
Je, mashirikiano ya Iran na Afrika yataimarika vipi?
Jun 12, 2025 02:09Katika kikao chao na Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, mabalozi wa Senegal na Sierra Leone wamesisitiza utayari wa nchi za Kiafrika kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara na Iran.
-
Rwanda: Nchi za Afrika zitumie teknolojia kuimarisha sekta ya kilimo
Jun 11, 2025 07:20Waziri Mkuu wa Rwanda ametoa mwito kwa nchi za Afrika kukumbatia teknolojia na ubunifu kupiga jeki sekta ya kilimo barani humo.
-
Afisa wa Sudan: Ukraine inafanya ‘kazi chafu’ ya Wamagharibi Afrika
Jun 09, 2025 11:13Afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan amesema Ukraine inatekeleza "kazi chafu" ya nchi za Magharibi kwa kuunga mkono makundi yenye silaha yanayohusika na mashambulizi ya kigaidi katika mataifa ya Afrika kama vile Libya, Somalia na Niger.
-
Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali
Jun 07, 2025 06:58Wakufunzi wa kijeshi wa Ukraine wanawafunza na kuwapa silaha wanamgambo wenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda nchini Mali.