Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Ulaya na kupuuzwa nchi maskini; wakati kaulimbiu za haki za binadamu zinapopoteza maana yake

    Ulaya na kupuuzwa nchi maskini; wakati kaulimbiu za haki za binadamu zinapopoteza maana yake

    Dec 23, 2025 04:19

    Ulaya imefadhilisha kutoa misaada yake kwa Ukraine kuliko kutoa misaada hiyo kwa nchi maskini hasa za Afrika.

  • Viongozi wa Kiafrika wahimizwa kudumisha 'ujasiri' katika kushinikiza fidia ya utumwa

    Viongozi wa Kiafrika wahimizwa kudumisha 'ujasiri' katika kushinikiza fidia ya utumwa

    Dec 20, 2025 14:10

    Rais wa Ghana, John Dramani Mahama, amekutana na kuzungumza wajumbe wa kimataifa, lengo likiwa ni kutafuta fidia ya utumwa na ukoloni wa Wazungu katika maeneo mbalimbali ya dunia hasa barani Afrika.

  • Mtazamo wa Tunisia na Afrika: Palestina ni jeraha kubwa zaidi la mfumo wa haki wa kimataifa

    Mtazamo wa Tunisia na Afrika: Palestina ni jeraha kubwa zaidi la mfumo wa haki wa kimataifa

    Dec 16, 2025 12:12

    Tunisia imeitangaza kadhia ya Palestina kuwa ni jeraha kubwa zaidi la mfumo wa haki duniani.

  • ECOWAS yapinga mpango wa mpito wa kijeshi wa Guinea-Bissau

    ECOWAS yapinga mpango wa mpito wa kijeshi wa Guinea-Bissau

    Dec 16, 2025 02:51

    Viongozi wa Afrika Magharibi wamepinga mpango wa mpito uliotangazwa na watawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau, badala yake wametaka kurejea haraka kwa utaratibu wa kikatiba. na kuonya kuhusu vikwazo vinavyolengwa dhidi ya wale wanaozuia mchakato huo.

  • Captain Ibrahim Traoré: Burkina Faso imekuwa mfano wa kuigwa na mataifa ya bara la Afrika

    Captain Ibrahim Traoré: Burkina Faso imekuwa mfano wa kuigwa na mataifa ya bara la Afrika

    Dec 14, 2025 02:09

    Rais wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, amepongeza mafanikio liliyopata jeshi hivi karibuni ya kukomboa maeneo kadhaa na kusisitiza kwamba, nchi hiyo sasa imekuwa kigezo na mfano kwa mataifa ya bara la Afrika.

  • Mamia ya askari wa Afrika Magharibi wanaendelea 'kusafisha' Benin

    Mamia ya askari wa Afrika Magharibi wanaendelea 'kusafisha' Benin

    Dec 13, 2025 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Benin amesema wanajeshi wapatao 200 wa Afrika Magharibi, wengi wao kutoka Nigeria na Ivory Coast, wako nchini Benin kuiunga mkono serikali kufuatia mapinduzi yaliyofeli Jumapili iliyopita.

  • AU, ECOWAS zalaani jaribio la mapinduzi Benin; zasema zinaiunga mkono serikali

    AU, ECOWAS zalaani jaribio la mapinduzi Benin; zasema zinaiunga mkono serikali

    Dec 08, 2025 03:07

    Umoja wa Afrika (AU) na Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) zimelaani jaribio la mapinduzi nchini Benin siku ya Jumapili, na kueleza kuwa zinaiunga mkono serikali katika kudumisha utaratibu wa kikatiba.

  • Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Nov 28, 2025 02:57

    Bara la Afrika, kwa miaka kadhaa sasa, limekuwa likitafuta kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Guterres: Afrika itagharamika pakubwa licha ya kuchangia kidogo sana mabadiliko ya tabianchi

    Guterres: Afrika itagharamika pakubwa licha ya kuchangia kidogo sana mabadiliko ya tabianchi

    Nov 24, 2025 03:20

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amesema kuwa Afrika italipa "gharama kubwa" kutokana na athari mbaya za mabadiliko ya tabianchi licha ya kuhusika kwake kwa kiwango kidogo sana katika mabadiliko hayo.

  • Kwa nini ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaua maelfu barani Afrika licha ya kuwa unaoweza kuzuilika?

    Kwa nini ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaua maelfu barani Afrika licha ya kuwa unaoweza kuzuilika?

    Nov 24, 2025 03:03

    Ulimwenguni kote, kichaa cha mbwa huua takriban watu 59,000 kila mwaka, na karibu 95% ya vifo hivi vikitokea Afrika na Asia. Hii inasababishwa na ongezeko la idadi ya mbwa wanaotangatanga bila chanjo, upatikanaji duni wa matibabu na kushindwa kutolewa taarifa ya ugonjwa huu kwa wakati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS