Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Kuondoa jeshi la Ufaransa nchini Senegal ni kikwazo kwa sera ya nje ya Paris barani Afrika

    Kuondoa jeshi la Ufaransa nchini Senegal ni kikwazo kwa sera ya nje ya Paris barani Afrika

    Jul 28, 2025 12:14

    Kuondoka kwa vikosi vya jeshi la Ufaransa katika kambi ya mwisho ya nchi hiyo huko Senegal na matamshi mbayo hayajawahi kutolewa hapo kabla ya afisa wa ngazi ya juu wa serikali ya Paris kwamba usalama wa Afrika Magharibi si muhimu kwa Ufaransa, kunadhihirisha kushindwa kwa sera ya muda mrefu ya ukoloni katika Bara la Afrika.

  • Ufaransa yasisitiza uwakilishi zaidi wa nchi za Kiafrika katika Baraza la Usalama la UN

    Ufaransa yasisitiza uwakilishi zaidi wa nchi za Kiafrika katika Baraza la Usalama la UN

    Jul 23, 2025 10:51

    Mwakilishi wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa Paris inaunga mkono kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) ili kuongeza uwakilishi wa mataifa ya Afrika katika taasisi hiyo ya kimataifa.

  • M23, DRC zatia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Qatar

    M23, DRC zatia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Qatar

    Jul 19, 2025 13:48

    Wawakilishi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 wametia saini makubaliano ya kusitisha mapigano mashariki mwa DRC, leo Jumamosi nchini Qatar.

  • AU yamteua Rais wa Burundi kuwa mjumbe wake maalum eneo la Sahel

    AU yamteua Rais wa Burundi kuwa mjumbe wake maalum eneo la Sahel

    Jul 18, 2025 13:50

    Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Joao Lourenco ametangaza kumteua Evariste Ndayishimiye, Rais wa Burundi, kuwa mjumbe wake maalum katika eneo la Sahel.

  • Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

    Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

    Jul 17, 2025 04:59

    Serikali ya Eswatini ilisema jana Jumatano kwamba, inawashikilia raia watano wa nchi ya tatu waliofukuzwa kutoka Marekani katika magereza yaliyotengwa, chini ya makubaliano na utawala wa Rais Donald Trump, lakini inapania kuwarejesha katika nchi zao.

  • Afrika imenakili vifo 4,200 vya kipindupindu na mpox 2025

    Afrika imenakili vifo 4,200 vya kipindupindu na mpox 2025

    Jul 12, 2025 12:52

    Afrika imerekodi vifo zaidi ya 4,200 kutokana na miripuko ya kipindupindu na mpox inayoendelea kuripotiwa katika maeneo tofauti ya bara hilo mwaka 2025, Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) kimesema.

  • Je, mashirikiano ya Iran na Afrika yataimarika vipi?

    Je, mashirikiano ya Iran na Afrika yataimarika vipi?

    Jun 12, 2025 02:09

    Katika kikao chao na Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, mabalozi wa Senegal na Sierra Leone wamesisitiza utayari wa nchi za Kiafrika kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara na Iran.

  • Rwanda: Nchi za Afrika zitumie teknolojia kuimarisha sekta ya kilimo

    Rwanda: Nchi za Afrika zitumie teknolojia kuimarisha sekta ya kilimo

    Jun 11, 2025 07:20

    Waziri Mkuu wa Rwanda ametoa mwito kwa nchi za Afrika kukumbatia teknolojia na ubunifu kupiga jeki sekta ya kilimo barani humo.

  • Afisa wa Sudan: Ukraine inafanya ‘kazi chafu’ ya Wamagharibi Afrika

    Afisa wa Sudan: Ukraine inafanya ‘kazi chafu’ ya Wamagharibi Afrika

    Jun 09, 2025 11:13

    Afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan amesema Ukraine inatekeleza "kazi chafu" ya nchi za Magharibi kwa kuunga mkono makundi yenye silaha yanayohusika na mashambulizi ya kigaidi katika mataifa ya Afrika kama vile Libya, Somalia na Niger.

  • Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Jun 07, 2025 06:58

    Wakufunzi wa kijeshi wa Ukraine wanawafunza na kuwapa silaha wanamgambo wenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda nchini Mali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS