Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Interpol: Akili Mnemba (AI) inatumika katika 55% ya uhalifu wa mtandaoni barani Afrika

    Interpol: Akili Mnemba (AI) inatumika katika 55% ya uhalifu wa mtandaoni barani Afrika

    Aug 06, 2026 03:43

    Ripoti ya karibuni ya Polisi ya Kimataifa, Interpol, kuhusu tishio la uhalifu wa mtandaoni barani Afrika kwa mwaka 2026 imetoa onyo kali kuhusu jinsi teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inavyotumiwa kudhoofisha usalama wa kiuchumi na kijamii katika mataifa bara hilo.

  • Rais wa Somalia: Tutazuia Israel kuimarisha ushawishi wake Somaliland

    Rais wa Somalia: Tutazuia Israel kuimarisha ushawishi wake Somaliland

    Aug 03, 2026 11:10

    Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amesema kwamba Serikali ya Shirikisho itachanganya "nguvu na hekima" ili kuzuia "Israel" kupata nafasi au kuanzisha ushawishi wa kudumu katika eneo la "Somaliland," akisisitiza kwamba Mogadishu ingali inashikamana na umoja wa ardhi na mamlaka ya Somalia, na inapinga kwa nguvu zote kuhamisha migogoro ya "Mashariki ya Kati" hadi eneo la Pembe ya Afrika.

  • Serikali ya Ghana yaunga mkono kuongezwa muhula wa urais kutoka miaka minne hadi mitano

    Serikali ya Ghana yaunga mkono kuongezwa muhula wa urais kutoka miaka minne hadi mitano

    Jul 31, 2026 10:17

    Serikali ya Ghana jana Alhamisi ilikubali pendekezo la kuongeza muhula wa urais kutoka miaka minne hadi mitano.

  • El Niño na tishio la mafuriko Afrika Mashariki na Asia

    El Niño na tishio la mafuriko Afrika Mashariki na Asia

    Jul 14, 2026 03:21

    Shirika la Masuala ya kibinadamu limetahadharisha kuwa hali ya hewa ya El Niño inayozidi kuongezeka kwa kasi inatishia kuleta mafuriko makubwa, magonjwa na ukame katika baadhi ya jamii zilizo hatarini zaidi duniani katika eneo la Afrika Mashariki na Asia.

  • Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria

    Baada ya karne nyingi za utumwa, Afrika yafungua faili la fidia na kudai haki ya kihistoria

    Jun 21, 2026 04:38

    Karne nyingi baada ya kumalizika biashara ya utumwa ya kuvuka Atlantiki, moja ya masuala nyeti zaidi ya kihistoria yameibuka tena katika mji mkuu wa Ghana, Accra, ambapo Mkutano wa Dunia kuhusu Fidia ya Utumwa na Haki ya Kihistoria ulihitimishwa jana, huku Afrika ikitaka kuwepo mfumo wa vitendo wa kufidia jamii ambazo bado zinateseka kutokana na athari mbaya za enzi hizo.

  • Mkuu wa CDC asema Afrika lazima iwekeze fedha zake katika kukabiliana na Ebola

    Mkuu wa CDC asema Afrika lazima iwekeze fedha zake katika kukabiliana na Ebola

    Jun 21, 2026 02:55

    Mkuu wa Vituo vya Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) amesema bara hilo linahitaji kuwekeza fedha zake lenyewe katika kukabiliana na Ebola.

  • Mali yaatangaza zawadi ya dola milioni 12.4 kwa atakayesaidia kukamatwa au kuuawa viongozi wa waasi

    Mali yaatangaza zawadi ya dola milioni 12.4 kwa atakayesaidia kukamatwa au kuuawa viongozi wa waasi

    Jun 06, 2026 04:31

    Serikali ya Mali imezindua kifurushi kisicho cha kawaida cha hatua za usalama, kikijumuisha zawadi kubwa za kifedha na hatua kali, kama sehemu ya kuzidisha mapambano dhidi ya makundi ya waasi yenye silaha ambayo yamezidisha mashambulizi katika miezi ya hivi karibuni, haswa baada ya shambulio la umwagaji damu la Aprili 25 lililomuua Waziri wa Ulinzi wa Mali.

  • WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika

    WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika

    Jun 06, 2026 03:11

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinawasukuma mamilioni ya watu duniani kuingia katika hali ya njaa huku bara Afrika likionekana kuathirika zaidi.

  • Almasi Zilizochongwa kwa Machozi ya Afrika-Sehemu ya Kwanza: Maumivu ya Ukoloni

    Almasi Zilizochongwa kwa Machozi ya Afrika-Sehemu ya Kwanza: Maumivu ya Ukoloni

    May 30, 2026 08:17

    Wapenzi wasikilizaji, Ukoloni wa karne ya kumi na tisa haukuwa wa kuhodhi ardhi tu za mataifa, bali ulikuwa mfumo na utaratibu maalumu ulioratibiwa kwa ajili ya kuuhamisha utajiri wa Afrika na kuupeleka Ulaya. Katika kipindi kilichojulikana kama “ Uvamizi wa Afrika”, Uingereza ilitumia nguvu zake za kiuchumi pamoja na makampuni binafsi kuanzisha ubeberu wa kimuundo na ulio endelevu wa kuzihodhi rasilimali za bara hilo.

  • Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini

    Zambia yapinga matakwa ya Marekani yanayohusiana na mkataba wa afya na madini

    May 10, 2026 10:24

    Zambia imeishutumu hadharani Marekani kwa kuunganisha kifurushi cha afya kilichopendekezwa cha dola bilioni 2 na matakwa kupewa data na madini na muhimu, ikisema baadhi ya masharti yaliyoambatanishwa na makubaliano hayo "hayakubaliki".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS