Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • TICAD inaimarisha vipi nafasi ya Afrika katika siasa na uchumi wa dunia?

    TICAD inaimarisha vipi nafasi ya Afrika katika siasa na uchumi wa dunia?

    Aug 25, 2025 02:31

    Mkutano wa 9 wa Kimataifa wa Maendeleo ya Afrika, Tokyo International Conference on African Development (TICAD), ulimalizika Ijumaa, Agosti 22 kwa kusainiwa mikataba takriban 300 ya ushirikiano kati ya taasisi za Japan na Afrika kuhusu masuala mbalimbali ya afya, teknolojia, elimu, kilimo, maendeleo ya miundombinu na ujenzi wa miundomsingi.

  • Makubaliano ya amani ya DRC: Maeneo yanayodhibitiwa na M23 kurejeshwa mikononi mwa serikali

    Makubaliano ya amani ya DRC: Maeneo yanayodhibitiwa na M23 kurejeshwa mikononi mwa serikali

    Aug 21, 2025 09:54

    Makubaliano ya amani yaliyopendekezwa kati ya serikali ya Congo na waasi wa M23 wanaodaiwa kuuungwa mkono na Rwanda yanataka kurejesha udhibiti wa serikali katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi.

  • Kwa nini utawala wa kizayuni wa Israel unataka kuzidisha satua na ushawishi wake barani Afrika?

    Kwa nini utawala wa kizayuni wa Israel unataka kuzidisha satua na ushawishi wake barani Afrika?

    Aug 21, 2025 02:59

    Katika mwendelezo wa hatua za kujaribu kuwa na satua na ushawishi katika nchi za Kiafrika, waziri wa mambo ya nje wa utawala wa kizayuni wa Israel Gideon Saar siku ya Jumanne alielekea Zambia katika safari ya kidiplomasia barani Afrika, madhumuni makuu yakiwa ni kufungua ubalozi wa utawala huo haramu nchini humo.

  • Mratibu wa UN: Sahel inakabiliwa na mzozo wa usalama lakini pia ni 'eneo la fursa na matumaini'

    Mratibu wa UN: Sahel inakabiliwa na mzozo wa usalama lakini pia ni 'eneo la fursa na matumaini'

    Jul 30, 2025 07:58

    Eneo la Sahel barani Afrika limeendelea kuathiriwa na mzozo tata wa usalama na ongezeko la machafuko ambayo yanatishia mamilioni ya watu.

  • Kuondoa jeshi la Ufaransa nchini Senegal ni kikwazo kwa sera ya nje ya Paris barani Afrika

    Kuondoa jeshi la Ufaransa nchini Senegal ni kikwazo kwa sera ya nje ya Paris barani Afrika

    Jul 28, 2025 12:14

    Kuondoka kwa vikosi vya jeshi la Ufaransa katika kambi ya mwisho ya nchi hiyo huko Senegal na matamshi mbayo hayajawahi kutolewa hapo kabla ya afisa wa ngazi ya juu wa serikali ya Paris kwamba usalama wa Afrika Magharibi si muhimu kwa Ufaransa, kunadhihirisha kushindwa kwa sera ya muda mrefu ya ukoloni katika Bara la Afrika.

  • Ufaransa yasisitiza uwakilishi zaidi wa nchi za Kiafrika katika Baraza la Usalama la UN

    Ufaransa yasisitiza uwakilishi zaidi wa nchi za Kiafrika katika Baraza la Usalama la UN

    Jul 23, 2025 10:51

    Mwakilishi wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa Paris inaunga mkono kufanyika mageuzi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) ili kuongeza uwakilishi wa mataifa ya Afrika katika taasisi hiyo ya kimataifa.

  • M23, DRC zatia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Qatar

    M23, DRC zatia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Qatar

    Jul 19, 2025 13:48

    Wawakilishi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 wametia saini makubaliano ya kusitisha mapigano mashariki mwa DRC, leo Jumamosi nchini Qatar.

  • AU yamteua Rais wa Burundi kuwa mjumbe wake maalum eneo la Sahel

    AU yamteua Rais wa Burundi kuwa mjumbe wake maalum eneo la Sahel

    Jul 18, 2025 13:50

    Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Joao Lourenco ametangaza kumteua Evariste Ndayishimiye, Rais wa Burundi, kuwa mjumbe wake maalum katika eneo la Sahel.

  • Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

    Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

    Jul 17, 2025 04:59

    Serikali ya Eswatini ilisema jana Jumatano kwamba, inawashikilia raia watano wa nchi ya tatu waliofukuzwa kutoka Marekani katika magereza yaliyotengwa, chini ya makubaliano na utawala wa Rais Donald Trump, lakini inapania kuwarejesha katika nchi zao.

  • Afrika imenakili vifo 4,200 vya kipindupindu na mpox 2025

    Afrika imenakili vifo 4,200 vya kipindupindu na mpox 2025

    Jul 12, 2025 12:52

    Afrika imerekodi vifo zaidi ya 4,200 kutokana na miripuko ya kipindupindu na mpox inayoendelea kuripotiwa katika maeneo tofauti ya bara hilo mwaka 2025, Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) kimesema.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS