Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Captain Ibrahim Traoré: Burkina Faso imekuwa mfano wa kuigwa na mataifa ya bara la Afrika

    Captain Ibrahim Traoré: Burkina Faso imekuwa mfano wa kuigwa na mataifa ya bara la Afrika

    Dec 14, 2025 02:09

    Rais wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, amepongeza mafanikio liliyopata jeshi hivi karibuni ya kukomboa maeneo kadhaa na kusisitiza kwamba, nchi hiyo sasa imekuwa kigezo na mfano kwa mataifa ya bara la Afrika.

  • Mamia ya askari wa Afrika Magharibi wanaendelea 'kusafisha' Benin

    Mamia ya askari wa Afrika Magharibi wanaendelea 'kusafisha' Benin

    Dec 13, 2025 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Benin amesema wanajeshi wapatao 200 wa Afrika Magharibi, wengi wao kutoka Nigeria na Ivory Coast, wako nchini Benin kuiunga mkono serikali kufuatia mapinduzi yaliyofeli Jumapili iliyopita.

  • AU, ECOWAS zalaani jaribio la mapinduzi Benin; zasema zinaiunga mkono serikali

    AU, ECOWAS zalaani jaribio la mapinduzi Benin; zasema zinaiunga mkono serikali

    Dec 08, 2025 03:07

    Umoja wa Afrika (AU) na Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) zimelaani jaribio la mapinduzi nchini Benin siku ya Jumapili, na kueleza kuwa zinaiunga mkono serikali katika kudumisha utaratibu wa kikatiba.

  • Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?

    Nov 28, 2025 02:57

    Bara la Afrika, kwa miaka kadhaa sasa, limekuwa likitafuta kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Guterres: Afrika itagharamika pakubwa licha ya kuchangia kidogo sana mabadiliko ya tabianchi

    Guterres: Afrika itagharamika pakubwa licha ya kuchangia kidogo sana mabadiliko ya tabianchi

    Nov 24, 2025 03:20

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amesema kuwa Afrika italipa "gharama kubwa" kutokana na athari mbaya za mabadiliko ya tabianchi licha ya kuhusika kwake kwa kiwango kidogo sana katika mabadiliko hayo.

  • Kwa nini ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaua maelfu barani Afrika licha ya kuwa unaoweza kuzuilika?

    Kwa nini ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaua maelfu barani Afrika licha ya kuwa unaoweza kuzuilika?

    Nov 24, 2025 03:03

    Ulimwenguni kote, kichaa cha mbwa huua takriban watu 59,000 kila mwaka, na karibu 95% ya vifo hivi vikitokea Afrika na Asia. Hii inasababishwa na ongezeko la idadi ya mbwa wanaotangatanga bila chanjo, upatikanaji duni wa matibabu na kushindwa kutolewa taarifa ya ugonjwa huu kwa wakati.

  • Vipi mauzo ya Iran kwa Afrika yamevunja rekodi katika nusu ya kwanza ya mwaka 1404 Hijria Shamsia?

    Vipi mauzo ya Iran kwa Afrika yamevunja rekodi katika nusu ya kwanza ya mwaka 1404 Hijria Shamsia?

    Nov 18, 2025 12:07

    Mauzo ya bidhaa za Iran barani Afrika yaliongezeka maradufu katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu (1404 Hijria Shamsia), na kufikia dola milioni 675.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hatari ya njaa katika nchi 16

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hatari ya njaa katika nchi 16

    Nov 14, 2025 02:25

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) zimeonya kuhusu mgogoro mkubwa wa ukosefu wa usalama wa chakula unaozidi kuwa mbaya katika nchi 16, na kuweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu, hasa katika maeneo yenye migogoro na majanga ya hali ya hewa.

  • Museveni aonya: Vita vitatokea Afrika ikiwa nchi zisizo na bandari zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi

    Museveni aonya: Vita vitatokea Afrika ikiwa nchi zisizo na bandari zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi

    Nov 12, 2025 11:38

    Katika kauli iliyotafsiriwa kama onyo lililolenga nchi jirani, Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameonya kuhusu uwezekano wa kutokea vita katika siku zijazo endapo nchi za Afrika ambazo hazina bandari zitaendelea kunyimwa haki ya kufikia Bahari ya Hindi.

  • Hatari ya ushawishi wa Israel barani Afrika; Tishio lililofichika kwa uhuru wa bara Afrika

    Hatari ya ushawishi wa Israel barani Afrika; Tishio lililofichika kwa uhuru wa bara Afrika

    Nov 10, 2025 13:05

    Katika juhudi zake za kuitoa Israel kwenye hali ya kutengwa, Isaac Herzog, rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel, anatarajiwa kuelekea barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS