Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Marekani

  • Madai ya Bolton kuhusu juhudi zinazofanywa na Trump kufikia mapatano na Iran

    Madai ya Bolton kuhusu juhudi zinazofanywa na Trump kufikia mapatano na Iran

    Nov 19, 2020 08:34

    Mashauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani, bila ya kuashiria siasa za uadui wa nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amedai kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo anataka kufanya mazungumzo na Iran.

  • Wademokrat wa Seneti ya Marekani wapinga madai ya Trump dhidi ya Iran

    Wademokrat wa Seneti ya Marekani wapinga madai ya Trump dhidi ya Iran

    Oct 24, 2020 00:50

    Mwenyekiti wa Wademokrat katika Seneti ya Marekani na vilevile Spika wa Kongresi ya nchi hiyo wamepinga madai yaliyotolewa na Mkurugenzi wa Tasisi ya Usalama wa Taifa kwamba Iran inaingilia uchaguzi wa rais wa Marekani.

  • Iran: Leo ni siku muhimu kwa walimwengu baada ya kufikia tamati vikwazo vya silaha dhidi ya Tehran

    Iran: Leo ni siku muhimu kwa walimwengu baada ya kufikia tamati vikwazo vya silaha dhidi ya Tehran

    Oct 18, 2020 04:50

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa rasmi kwa mnasaba wa siku ya leo ya tarehe 18 Oktoba ya kufikia tamati muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya taifa hili na kueleza kwamba, hii ni siku muhimu kwa jamii ya kimataifa.

  • Amir-Abdollahian: Kisasi cha damu ya kamanda Suleimani kitakuwa kikubwa zaidi kuliko shambulio la Ainul-Asad

    Amir-Abdollahian: Kisasi cha damu ya kamanda Suleimani kitakuwa kikubwa zaidi kuliko shambulio la Ainul-Asad

    Oct 17, 2020 01:01

    Katibu wa Kamati ya Palestina ya Mkutano wa Kimataifa ya Mujahidina walio kwenye upweke amesema, Marekani inajua kwamba kisasi cha damu ya Kamanda Qassem Suleimani kitakuwa kikubwa zaidi kuliko shambulio ililofanya Iran dhidi ya kambi ya Ainul-Asad.

  • Iran kuanza tena kufanya miamala ya kuuza na kununua silaha ifikapo Oktoba 18

    Iran kuanza tena kufanya miamala ya kuuza na kununua silaha ifikapo Oktoba 18

    Oct 17, 2020 01:00

    Msemaji wa ujumbe wa uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, kuanzia Jumapili ya kesho ya tarehe 18 Oktoba, sambamba na kumalizika muhula wa vizuizi ilivyowekewa, Iran itaanza kufanya miamala ya kuuza na kununua silaha.

  • Marekani yavunjwa moyo baada ya  nchi za Ulaya kuipa kisogo katika vikwazo dhidi ya Iran

    Marekani yavunjwa moyo baada ya nchi za Ulaya kuipa kisogo katika vikwazo dhidi ya Iran

    Sep 22, 2020 04:20

    Mjumbe Maalumu wa serikali ya Marekani katika masuala ya Iran amesema kuwa amepoteza matumaini ya kushirikiana na nchi za Ulaya kukabiliana na Iran.

  • Pompeo adai Marekani itazuia biashara ya silaha kati ya China na Iran

    Pompeo adai Marekani itazuia biashara ya silaha kati ya China na Iran

    Sep 01, 2020 22:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amedai kuwa, nchi yake itazuia miamala ya mauzo ya silaha kati ya Iran na China.

  • Shamkhani: Marekani imeshindwa katika sera ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran

    Shamkhani: Marekani imeshindwa katika sera ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran

    Aug 07, 2020 06:28

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ameashiria kujiuzulu mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran na kusema: "Stratijia ya Marekani ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran na kuangusha mfumo wa Kiislamu sasa imebadilika na kuwa stratijia ya kuizuia Iran itajirike."

  • Wendy Sherman: Iran imechagua stratejia ya muqawama

    Wendy Sherman: Iran imechagua stratejia ya muqawama

    Aug 06, 2020 03:37

    Afisa wa zamani wa Marekani amezitaja siasa za White House dhidi ya Iran kuwa zisizo na natijana na kusisitiza kuwa Iran imechagua stratejia ya muqawama.

  • UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    Jul 25, 2020 03:45

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, usalama wa safari za ndege za abiria inapasa uheshimiwe na nchi zote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS