-
Vikwazo vipya vya Marekani na woga wa Washington kuhusu nguvu za makombora za Iran
Aug 29, 2019 23:12Katika kipindi hiki cha utawala wa Donald Trump, Marekani imeliwekea taifa la Iran vikwazo vikubwa mno baada ya Washington kujitoa bila sababu katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Madai ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani: Sisi hatutaki vita na Iran
Aug 29, 2019 07:36Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa, nchi yake haitaki kuingia vitani na Iran na kudai kuwa Washington imeamua kuamiliana na Tehran kwa njia za kidiplomasia.
-
Pompeo aendelea kutishia: Tutaendeleza mashinikizo dhidi ya Iran
Aug 29, 2019 03:12Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa mara nyingine tena amesema kuwa mashinikizo dhdi ya Iran yataendelea hadi hapo nchi hii itakapobadili mwelekeo wake.
-
New York Times yafichua malengo ya majasusi wa CIA kuhusu biashara na miamala ya mafuta ya Iran
Aug 09, 2019 06:19Gazeti moja la Marekani limefichua kwamba mtandao wa kijasusi ambao wanachama wake walikamatwa na Iran siku chache zilizopita ulikuwa ukifanya kazi ya kukusanya taarifa za kijasusi kuhusu biashara na miamala ya mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wendy Sherman akosoa hatua ya serikali ya Trump ya kumuwekea vikwazo Zarif
Aug 01, 2019 08:01Naibu wa zamani wa waziri wa ya mambo ya nje wa Marekani, Wendy Sherman, amekosia hatua ya serikali ya rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump ya kumuwekea vikwazo Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Muhammad Javad Zarif akisema kuwa inatoa pigo kwa mwenendo wa kidiplomasia.
-
Sisitizo la Pompeo kuhusu nafasi ya Saudia katika kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jul 27, 2019 06:22Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imezingatia sana eneo la Ghuba ya Uajemi na nchi za kusini mwa eneo hili hususan Saudi Arabia, ambapo imetiliana nayo saini mikataba ya mauzo ya silaha ambayo ilikuwa haijawahi kushuhudiwa huko nyuma.
-
National Interest: Iran inao uwezo wa kukabiliana vilivyo na vikwazo vya Marekani
Jul 14, 2019 05:59Jarida la National Interest la nchini Marekani limetoa ripoti maalumu na kusema kuwa, Iran ina uwezo wa kutosha wa kukabiiana na vikwazo vya Washington na kuendelea na siasa zake za ndani na nje kwa usalama na kwa mafanikio.
-
"Video iliyosambazwa na Marekani kuhusu mashambulizi ya meli za mafuta Bahari ya Oman ni bandia"
Jun 30, 2019 21:01Mkuu wa kundi la mrengo wa kushoto katika bunge la Ujerumani (Bundestag) amesema kuwa mkanda wa video uliosambazwa na viongozi wa Marekani na kudai kuwa ni uthibitisho wa eti kuhusika Iran katika shambulizi dhidi ya meli za mafuta katika Bahari ya Oman ni feki na bandia.
-
Kushindwa ndege ya ujasusi ya Global Hawk, mashitaka ya Iran dhidi ya Marekani
Jun 30, 2019 20:59Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya sheria na ya kimataifa amesema kuwa, Tehran imeishitaki Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutokana na ndege yake ya ujasusi ya Global Hawk kukiuka anga yake.
-
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani atoa matamshi yenye mgongano kuhusu Iran
Jun 26, 2019 07:50Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani ametoa matamshi ynayogonga na kudai kwamba anata kufunga mlango wa vita na Iran na badala yake kufungua mlango eti wa udiplomasia na nchi hii.