-
Marekani imechanganyikiwa katika sera zake kuhusu Iran
Jun 24, 2019 03:34Utawala wa Marekani unaendelea kuchanganyikiwa katika sera zake kuhusu Iran na hali hiyo ilifikia kilele chake baada ya ndege isiyo na rubani (drone) ya kijasusi ya Marekani kutunguliwa na vikosi vya kijeshi vya Iran Alhamisi iliyopita.
-
Hizbullah ya Lebanon: Marekani haithubutu kuanzisha vita dhidi ya Iran
Jun 14, 2019 02:09Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa vitisho vya Marekani dhidi ya Iran na kulegeza msimamo Trump mbele ya Tehran ni mambo yanayoonesha kuwa Washington haina uthubutu wa kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Viongozi wa Iraq wamwambia Pompeo, Baghdad itaendelea kuwa rafiki wa Iran
May 08, 2019 07:53Waziri Mkuu na Rais wa Iraq wamemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwamba Baghdad itaendelea kuimarisha ushirikiano, urafiki na majirani wake ikiwemo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
John Bolton akiri kwamba Marekani haina uwezo wa kuishambulia kijeshi Iran
May 06, 2019 09:17John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amekiri kwamba nchi hiyo haina uwezo wa kukabiliana kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Tahadhari ya Katibu Mkuu wa OPEC kuhusu taathira hasi za kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta
May 03, 2019 23:08Hatua ya serikali ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA imekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanunuzi wa mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la kimataifa na pia kutoka kwa wakuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC).
-
Sisitizo la John Bolton la kuendelezwa mashinikizo dhidi ya Iran; juhudi zisizo na natija za Washington
Apr 02, 2019 20:48Rais Donald Trump wa Marekani, tangu katika kampeni zake za uchaguzi wa rais na hata baada ya kuingia Ikulu ya White House Januari 2017, amekuwa akifuata mkondo na utendaji wenye lengo la kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wanadiplomasia 50 wa Marekani wamtaka Trump ajiunge tena na JCPOA
Mar 12, 2019 22:56Wanadiplomasia 50 wa zamani wa Marekani wamemwandikia barua Rais Donald Trump wa nchi hiyo wakitaka kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia baina ya nchi za kundi 5+1 na Iran maarufu kwa kifupi kama JCPOA.
-
Mkutano wa Warsaw, jitihada zilizofeli za Marekani dhidi ya Iran
Feb 14, 2019 03:47Katika fremu ya mtazamo wake kuhusiana na eneo la Mashariki ya Kati, Marekani jana ilifungua mkutano wa siku mbili katika mji mkuu wa Poland, Warsaw uliopewa jina la "Amani na Usalama wa Mashariki ya Kati. Washington inasema nchi 70 zimealikwa kushiriki katika mkutano huo.
-
Ayatullah Khatami: Madola ya Kiistikbari hayalitakii kheri taifa la Iran
Feb 08, 2019 10:42Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, madola ya kiistikbari hayalitakii kheri taifa la Iran, hivyo maafisa wa serikali hawapaswi kuwa na matumaini na madola hayo.
-
Mtangazaji wa PRESS TV akamatwa na kuwekwa kizuizini Marekani bila sababu maalumu
Jan 16, 2019 06:38Polisi ya Marekani imemkamata na kumweka kizuizini bila sababu maalumu Marzieh Hashemi, mwandishi wa habari na mtangazaji wa kanali ya televishyeni ya Press TV.