Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo  kati ya Tehran na Cairo

    Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo kati ya Tehran na Cairo

    Dec 25, 2022 07:39

    Hossein Amir- Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Waziri Mkuu wa Iraq alipendekeza katika Mkutano wa Baghdad-2 kuhusu suala la kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Misri kuhusu masuala ya kisiasa na kiusalama.

  • Ujumbe wa UN wakutana na Ayatullah Sistani, unafuatilia jinai za Daesh

    Ujumbe wa UN wakutana na Ayatullah Sistani, unafuatilia jinai za Daesh

    Dec 19, 2022 11:30

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa leo (Jumatatu) umekutana na kufanya mazungumzo na kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Ali Sistani katika mji mtakatifu wa Najaf al Ashraf.

  • Malengo ya safari ya as-Sudani mjini Tehran

    Malengo ya safari ya as-Sudani mjini Tehran

    Dec 01, 2022 04:03

    Mohammad Shia as-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq, aliwasili mjini Tehran Jumanne asubuhi kwa ziara ya siku mbili, na baada ya kukutana na mwenyeji wake Rais Ebrahim Raisi wa Iran, pia alikutana na kuzungumza na Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Waziri Mkuu wa Iraq kufanya ziara Tehran Jumatatu

    Waziri Mkuu wa Iraq kufanya ziara Tehran Jumatatu

    Nov 27, 2022 02:55

    Vyombo vya habari vya Iraq vimetangaza kuwa Mohammed Shia al Sudani Waziri Mkuu wa Iraq kesho Jumatatu atafanya ziara hapa mjini Tehran.

  • Ujerumani, mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu katika joho la mtetezi wa haki za binadamu

    Ujerumani, mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu katika joho la mtetezi wa haki za binadamu

    Nov 27, 2022 02:30

    Ujerumani, kama mwanachama wa Umoja wa Ulaya, pamoja na Marekani, imechukua mtazamo wa kiadui na kuingilia masuala ya ndani ya Iran wakati wa machafuko na ghasia za hivi karibuni.

  • Kustawisha uhusiano na kutatua hitilafu na majirani; kipaumbele cha sera za nje za serikali mpya ya Iraq

    Kustawisha uhusiano na kutatua hitilafu na majirani; kipaumbele cha sera za nje za serikali mpya ya Iraq

    Nov 26, 2022 12:06

    Mohammed Shia al Sudani Waziri Mkuu mpya wa Iraq amefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kwa kuzitembelea Jordan na Kuwait.

  • IRGC yaongeza wanajeshi katika mpaka wa magharibi wa Iran

    IRGC yaongeza wanajeshi katika mpaka wa magharibi wa Iran

    Nov 26, 2022 02:34

    Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza habari ya kutumwa wanajeshi zaidi katika mipaka ya magharibi na kaskazini magharibi mwa Iran ili kupiga jeki operesheni za kukabiliana na makundi ya kigaidi yanayotaka kujitenga yaliyoko katika eneo la Kurdistan nchini Iraq.

  • Uungaji mkono wa Marekani kwa makundi yanayotaka kujitenga ya Iran

    Uungaji mkono wa Marekani kwa makundi yanayotaka kujitenga ya Iran

    Nov 26, 2022 02:31

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imelaani operesheni za kijeshi Iran dhidi ya makundi ya kigaidi ya Wakurdi wanaotaka kujitenga yaliyoko kaskazini mwa Iraq na imeitaka Tehran kusitisha mashambulizi hayo.

  • Al Sudani afanya mazungumzo na mrithi wa kiti cha ufalme wa Kuwait

    Al Sudani afanya mazungumzo na mrithi wa kiti cha ufalme wa Kuwait

    Nov 24, 2022 02:24

    Waziri Mkuu wa Iraq amekutana na kufanya mazungumzo na mrithi wa kiti cha ufalme wa Kuwait na kusisitiza juu ya ulazima wa kuimarisha uhusiano kati ya nchi mbili.

  • Iraq yawatia nguvuni magaidi 15 wa Daesh

    Iraq yawatia nguvuni magaidi 15 wa Daesh

    Nov 19, 2022 02:29

    Vikosi vya usalama vya Iraq vimewatia mbaroni magaidi 15 wa kundi la Daesh katika mikoa sita ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS