Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Zarif asisitiza kuhusu udharura wa umoja wa umma wa Kiislamu

    Zarif asisitiza kuhusu udharura wa umoja wa umma wa Kiislamu

    Apr 26, 2021 22:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu udharura wa umoja wa umma wa Kiislamu.

  • Mbunge wa Bunge la Ulaya: Tofauti na US, Iran iliisaidia Iraq kupambana na ISIS

    Mbunge wa Bunge la Ulaya: Tofauti na US, Iran iliisaidia Iraq kupambana na ISIS

    Apr 21, 2021 02:59

    Mbunge wa kujitegemea wa Bunge la Ulaya (MEP) amesema kuibuka kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) nchini Iraq ni matokeo ya Marekani kuivamia nchi hiyo ya Kiarabu mwaka 2003; na kwamba kinyume na Marekani, Iran iliinyooshea Baghdad mkono wa msaada na uungaji mkono katika vita dhidi ya genge hilo la kitakfiri.

  • Harakati ya Nujabaa: Kuendelea kuwepo kijeshi Marekani ndio hatari kubwa zaidi kwa Iraq

    Harakati ya Nujabaa: Kuendelea kuwepo kijeshi Marekani ndio hatari kubwa zaidi kwa Iraq

    Apr 15, 2021 08:32

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Nujabaa nchini Iraq amesisitiza kuwa, kuendelea kuwepo kijeshi Marekani, ndio hatari kubwa zaidi inayotishia usalama wa Iraq.

  • Msafara wa wanajeshi vamizi wa Marekani washambuliwa kusini mwa Iraq

    Msafara wa wanajeshi vamizi wa Marekani washambuliwa kusini mwa Iraq

    Apr 13, 2021 22:06

    Duru za habari za Iraq zimetangaza kuwa, msafara wa magari yaliyokuwa yamepakia vifaa mbalimbali na zana za kijeshi kwa ajili ya wanajeshi vamizi wa Marekani umeshambuliwa kusini mwa nchi hiyo.

  • Ndege za kivita za Iraq zashambulia ngome za magaidi wa ISIS nchini Iraq

    Ndege za kivita za Iraq zashambulia ngome za magaidi wa ISIS nchini Iraq

    Apr 11, 2021 03:15

    Ndege za kivita za Iraq zimeshambulia ngome za magaidi wa ISIS au Daesh katika Milima ya Hamrin mkoani Diyala ambapo magaidi kadhaa wameangamizwa

  • Tathmini ya kikao cha tatu cha Baghdad na washington

    Tathmini ya kikao cha tatu cha Baghdad na washington

    Apr 07, 2021 22:07

    Duru mpya ya mazungumzo ya kistratijia baina ya Baghdad na Washington ilianza jana Jumatano kwa njia ya video. Taarifa iliyotolewa huko nyuma na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilisema kuwa mazungumzo hayo yatahusu usalama, namna ya kupambana na ugaidi, nishati na masuala ya kisiasa.

  • Makundi ya Muqawama ya Iraq yatishia kushambulia vikosi vya majeshi ya Marekani

    Makundi ya Muqawama ya Iraq yatishia kushambulia vikosi vya majeshi ya Marekani

    Apr 07, 2021 07:43

    Makundi ya Muqawama na mapambano ya Iraq yametishia kutoa vipigo vikali na makini kwa majeshi vamizi ya Marekani yaliyoko nchini humo iwapo Baghdad na Wshington hazitatangaza muda maalumu wa kuondoka majeshi hayo katika ardhi ya Iraq. 

  • Kwa nini baadhi ya Wairaqi wamepinga safari ya al Kadhimi nchini Saudi Arabia

    Kwa nini baadhi ya Wairaqi wamepinga safari ya al Kadhimi nchini Saudi Arabia

    Apr 03, 2021 22:02

    Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al Kadhimi nchini Saudi Arabia imekabiliwa na upinzani wa baadhi ya shakhsia na wanasiasa ndani ya Iraq.

  • Kamati ya pamoja ya Iran na Iraq yachunguza mauaji ya kigaidi ya Soleimani

    Kamati ya pamoja ya Iran na Iraq yachunguza mauaji ya kigaidi ya Soleimani

    Apr 03, 2021 05:13

    Mkuu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema faili la mauaji ya kigaidi ya Shahid Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) linafuatiliwa na kamati ya pamoja ya Iran na Iraq.

  • Iraq na Syria zaendelea na mazungumzo kuhusu kurudi nyumbani wakimbizi

    Iraq na Syria zaendelea na mazungumzo kuhusu kurudi nyumbani wakimbizi

    Apr 02, 2021 02:04

    Nchi mbili za Iraq na Syria zinaendelea na mazungumzo baina yao kuhusu namna ya kuwarejesha makwao wakimbizi wa nchi hizo mbili waliokimbilia katika nchi hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS