Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    Feb 15, 2020 23:18

    Tarehe tatu Januari mwaka huu wa 2020, rais wa Marekani, Donald Trump, alifanya jinai ya kutoa amri ya kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na wanajihadi wenzake tisa karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad, huko Iraq.

  • Muungano wa 'Sairoon' kuchunguza mpango wa kuwatimua haraka askari wa Kimarekani nchini Iraq

    Muungano wa 'Sairoon' kuchunguza mpango wa kuwatimua haraka askari wa Kimarekani nchini Iraq

    Feb 04, 2020 10:42

    Muungano wa 'Sairoon' katika bunge la Iraq umeitisha kikao kikuu cha kitaifa kwa ajili ya kuchunguza mpango wa kuwatimua haraka askari wa Marekani kutoka katika ardhi ya nchi hiyo.

  • IRGC: 'Majeraha ya Ubongo' ni njia ya kuficha idadi ya askari wa Marekani waliouawa katika hujuma ya makombora ya Iran

    IRGC: 'Majeraha ya Ubongo' ni njia ya kuficha idadi ya askari wa Marekani waliouawa katika hujuma ya makombora ya Iran

    Feb 01, 2020 10:08

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema madai ya Marekani kuhusu idadi kubwa ya wanajeshi wake waliopata 'majeraha ya ubongo' kufuatia makombora ya Iran ya ulipizaji kisasi yaliyolenga kituo cha kijeshi cha Ain al Assad nchini Iraq ni njia ya kuficha idadi ya wanajeshi waliouawa katika oparesheni hiyo.

  • Madai ya Trump kuhusu mchakato wa kupunguza askari wa Marekani walioko Iraq

    Madai ya Trump kuhusu mchakato wa kupunguza askari wa Marekani walioko Iraq

    Jan 31, 2020 03:35

    Baada ya kupita siku mbili tu tangu askari wa Marekani walipomuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la IRGC na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq pamoja na shakhsia wengine walioandamana nao katika uwanja wa ndege wa Baghdad, tarehe 5 Januari, bunge la Iraq lilipitisha muswada wa kuwatimua askari wa muungano vamizi eti wa kupambana na Daesh (ISIS) wakiwemo askari wa Marekani.

  • Hizbullah: Mapinduzi ya wananchi wa Iraq yataendelea hadi Wamarekani watakapofurushwa Asia Magharibi

    Hizbullah: Mapinduzi ya wananchi wa Iraq yataendelea hadi Wamarekani watakapofurushwa Asia Magharibi

    Jan 25, 2020 08:07

    Brigedi za Hizbullah ya Iraq zimesema kuwa mapinduzi ya wananchi wa nchi hiyo yataendelea hadi wavamizi wote wa Kimarekani watakapofurushwa kikamilifu nchini Iraq na katika eneo zima la Asia Magharibi.

  • Hizbullah: Maandamano ya Wairaqi ni dhihirisho wanapinga uvamizi wa Marekani

    Hizbullah: Maandamano ya Wairaqi ni dhihirisho wanapinga uvamizi wa Marekani

    Jan 25, 2020 04:52

    Harakati ya Muaqawama ya Hizbullah ya Lebanon imewapongeza wananchi wa Iraq kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kupinga uwepo wa askari wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Hashdu Shaabi: Marekani iondoke Iraq kwa khiari badala ya kusubiri kutimuliwa

    Hashdu Shaabi: Marekani iondoke Iraq kwa khiari badala ya kusubiri kutimuliwa

    Jan 25, 2020 04:11

    Harakati ya kujitolea wananchi ya Hashdu Shaabi ya Iraq imemtaka Rais Donald Trump kuwaondoa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu kwa khiari badala ya kusubiri watimuliwe kwa nguvu.

  • Idadi ya askari wa Marekani waliojeruhiwa katika jibu la Iran 'yaongezeka'

    Idadi ya askari wa Marekani waliojeruhiwa katika jibu la Iran 'yaongezeka'

    Jan 25, 2020 04:04

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema makumi ya askari wa nchi hiyo walijeruhiwa na kupatwa na matatizo ya kisaikolojia kufuatia shambulizi la makombora la Iran dhidi ya kambi mbili za kijeshi za nchi hiyo huko Iraq mapema mwezi huu, licha ya utawala wa Washington hapo awali kudai kuwa hakuna askari wake hata mmoja aliyeuawa au kujeruhiwa katika majibu hayo makali ya ulipizaji kisasi yaliyotolewa na Iran.

  • Mamilioni ya Wairaqi waandamana wakitaka kuondoka wanajeshi vamizi wa Marekani nchini kwao

    Mamilioni ya Wairaqi waandamana wakitaka kuondoka wanajeshi vamizi wa Marekani nchini kwao

    Jan 24, 2020 13:30

    Mamilioni ya wananchi wa Iraq leo Ijumaa wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad wakitaka kuondoka nchini humo wanajeshi wa Marekani kufuatia shambulio kubwa la kigaidi lililofanywa na Marekani hivi karibuni nchini humo.

  • Iraq yasubiri kushuhudia tukio la kihistoria; Mapinduzi ya Ishiri ya pili

    Iraq yasubiri kushuhudia tukio la kihistoria; Mapinduzi ya Ishiri ya pili

    Jan 24, 2020 04:45

    Huku Wairaki wakiwa wanasubiri kushuhudia maandamano makubwa ya mamilioni ya watu dhidi ya uwepo wa kijeshi wa Wamarekani katika ardhi ya nchi hiyo, makundi mbalimbali ya Wairaki wanayataja maandamano hayo kuwa 'Mapinduzi ya Ishirini' ya pili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS