Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kujitoa Marekani katika JCPOA, sababu kuu ya mgogoro Mashariki ya Kati

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kujitoa Marekani katika JCPOA, sababu kuu ya mgogoro Mashariki ya Kati

    Jul 13, 2019 22:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amefanya mazungumzo na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya mjini Baghdad ambapo alisema kuwa hatua ya Marekani ya kujitoa kwa upande mmoja katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni sababu kuu ya mgogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Nouri al-Maliki: Hashdu sh-Sha'abi inadhamini usalama wa Iraq

    Nouri al-Maliki: Hashdu sh-Sha'abi inadhamini usalama wa Iraq

    Jul 13, 2019 02:32

    Nouri al-Maliki, Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq amesema kuwa, wapiganaji wa kujitolea wa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi, wanadhamini usalama wa nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuungwa mkono oparesheni dhidi ya ugaidi katika mipaka ya Syria

    Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuungwa mkono oparesheni dhidi ya ugaidi katika mipaka ya Syria

    Jul 07, 2019 03:18

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuendelezwa oparsheni za jeshi la ulinzi la nchi hiyo dhidi ya magaidi wa Daesh katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.

  • Malengo ya amri ya kuunganishwa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi na jeshi la Iraq

    Malengo ya amri ya kuunganishwa Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi na jeshi la Iraq

    Jul 03, 2019 07:54

    Serikali ya Iraq imetoa dikrii yenye vipengee 10 ya kuijumuisha Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi katika jeshi la Iraq.

  • Iraq yaitaka Marekani ithibitishe madai yake kuhusu shambulizi la drone dhidi ya Saudia

    Iraq yaitaka Marekani ithibitishe madai yake kuhusu shambulizi la drone dhidi ya Saudia

    Jun 29, 2019 23:45

    Iraq imeitaka Marekani ioneshe ushahidi kuhusu madai kwamba ndege isiyo na rubani iliyoshambulia taasisi za mafuta za Saudi Arabia ilitokea katika ardhi ya Iraq.

  • Rais wa Iraq: Hatutairuhusu Marekani itumie ardhi yetu kuishambulia Iran

    Rais wa Iraq: Hatutairuhusu Marekani itumie ardhi yetu kuishambulia Iran

    Jun 26, 2019 02:11

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema katu nchi hiyo ya Kiarabu haitairuhusu Marekani itumie ardhi yake kuanzisha shambulizi lolote la kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Malengo na umuhimu wa safari ya Amir wa Kuwait nchini Iraq

    Malengo na umuhimu wa safari ya Amir wa Kuwait nchini Iraq

    Jun 21, 2019 02:40

    Swabah al-Ahmad al-Jabir as-Swabah Amir wa Kuwait siku ya Jumatano alifanya safari nchini Iraq ambapo alilakiwa na kufanya mazungumzo na Rais Barham Swaleh wa nchini hiyo.

  • Hizbullah ya Iraq: Uwepo wa askari wa kigeni ni tishio kwa usalama wa taifa na kwa majirani

    Hizbullah ya Iraq: Uwepo wa askari wa kigeni ni tishio kwa usalama wa taifa na kwa majirani

    Jun 20, 2019 07:15

    Kwa mara nyingine Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesisitizia kuondoka askari magaidi wa Kimarakeni katika ardhi ya nchi hiyo kama njia ya kuimarisha uthabiti na usalama wa Iraq.

  • Iraq: Marekani ihitimishe siasa zake za kupenda vita na ifuate njia ya mazungumzo

    Iraq: Marekani ihitimishe siasa zake za kupenda vita na ifuate njia ya mazungumzo

    Jun 02, 2019 23:48

    Rais Barham Ahmed Salih wa Iraq ameitaka serikali ya Marekani kuhitimisha siasa zake za kupenda vita na kuibua mizozo kupitia miamala yake hasi katika eneo la Asia Magharibi na badala yake ifuate mkondo wa mazungumzo.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq: Kuna baadhi hawaoni mambo mema ya Iran

    Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq: Kuna baadhi hawaoni mambo mema ya Iran

    Jun 01, 2019 22:06

    Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq, Nouri al-Maliki amesema kuwa, baadhi ya viongozi wa nchi za Kiarabu ni wakaidi kupindukia na wanajifanya hawaoni nafasi muhimu na uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kadhia ya Palestina na kupigania kwake usalama wa mataifa ya eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS