Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iraq yawahukumu kifo raia wa Ufaransa waliojiunga na ISIS (Daesh)

    Iraq yawahukumu kifo raia wa Ufaransa waliojiunga na ISIS (Daesh)

    May 26, 2019 23:48

    Mahakama nchini Iraq imewahukumu adhabu ya kunyongwa raia watatu wa Ufaransa, waliopatikana na hatia ya kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Wairaq wafanya maandamano makubwa kulaani siasa za Marekani dhidi ya Iran

    Wairaq wafanya maandamano makubwa kulaani siasa za Marekani dhidi ya Iran

    May 26, 2019 06:56

    Maelfu ya raia wa Iraq wamefanya maandamano makubwa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mkoa wa Baghdad na Basra wakilalamikia siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Harakati ya al-Nujaba ya Iraq: Marekani inatafuta wenzo wa kuibua machafuko Asia Magharibi

    Harakati ya al-Nujaba ya Iraq: Marekani inatafuta wenzo wa kuibua machafuko Asia Magharibi

    May 20, 2019 05:23

    Mkuu wa Baraza la Utendaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujaba nchini Iraq, Nasr al-Shammari amesema kuwa, Marekani inafuatilia wenzo wa kuibua machafuko katika eneo eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ikiwemo Iraq.

  • Kamanda wa Iraq: Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran ni dalili ya upumbavu

    Kamanda wa Iraq: Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran ni dalili ya upumbavu

    May 19, 2019 20:50

    Kamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq amesema hatua ya Marekani kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaashiria 'upumbavu mpya' na hali ya kukanganyikiwa Washington.

  • Viongozi wa Iraq wamwambia Pompeo, Baghdad itaendelea kuwa rafiki wa Iran

    Viongozi wa Iraq wamwambia Pompeo, Baghdad itaendelea kuwa rafiki wa Iran

    May 08, 2019 07:53

    Waziri Mkuu na Rais wa Iraq wamemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwamba Baghdad itaendelea kuimarisha ushirikiano, urafiki na majirani wake ikiwemo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Pompeo: Safari nchini Iraq ilikuwa kuhusiana na Iran

    Pompeo: Safari nchini Iraq ilikuwa kuhusiana na Iran

    May 08, 2019 03:23

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ameitaja safari yake ya ghafla huko Baghdad kuwa inahusiana na mivutano ya sasa kati ya nchi hiyo na Iran.

  • Harakati ya Nujaba ya Iraq: Tutaendelea kupambana na Marekani na utawala haramu wa Israel

    Harakati ya Nujaba ya Iraq: Tutaendelea kupambana na Marekani na utawala haramu wa Israel

    May 07, 2019 20:55

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujaba nchini Iraq ameitaja Marekani na utawala haramu wa Kizayuni kuwa chanzo cha shari duniani na kusisitiza kwamba wataendeleza mapambano yao dhidi ya shari hizo.

  • Jeshi la Iraq lafelisha njama za genge la Daesh (ISIS) za kutaka kurejea tena nchini humo

    Jeshi la Iraq lafelisha njama za genge la Daesh (ISIS) za kutaka kurejea tena nchini humo

    May 04, 2019 21:57

    Maafisa usalama nchini Iraq wametangaza kwamba, kikosi cha upelelezi cha nchi hiyo kimefanikiwa kufelisha njama za magaidi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa ajili ya kuandaa mazingira ya kurejea tena ndani ya nchi hiyo.

  • Kama si Iran leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande

    Kama si Iran leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande

    May 02, 2019 03:29

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran asema uthabiti na usalama katika eneo umepatikana kwa gharama kubwa na kuongeza kuwa: "Kama si ushirikiano wa kujitolea wa Iran, leo Iraq na Syria zingekuwa zimegawanyika vipande vipande mikononi mwa waovu na maadui wa amani na usalama."

  • Jasusi aliyesababisha mauaji ya kikatili ya watu 40 Iraq atiwa mbaroni

    Jasusi aliyesababisha mauaji ya kikatili ya watu 40 Iraq atiwa mbaroni

    May 01, 2019 09:33

    Shirika la Ujasusi wa Kijeshi la Iraq limetangaza habari ya kutiwa mbaroni jasusi mmoja wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) mjini Mosul ambaye alisababisha watu 40 kuuliwa kikatili nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS