Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Usalama warejea Syria, wafanyaziara wa Iraq waingia kwa mabasi baada ya miaka 5 ya vita

    Usalama warejea Syria, wafanyaziara wa Iraq waingia kwa mabasi baada ya miaka 5 ya vita

    Apr 23, 2019 05:20

    Vyombo vya habari nchini Iraq vimeripoti kwamba kwa mara ya kwanza mabasi yaliyowabeba wafanyaziara wa Iraq yameingia Syria kwa ajili ya kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya kidini ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

  • Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq yataka kufurushwa haraka askari wa Marekani kaskazini mwa nchi hiyo

    Harakati ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq yataka kufurushwa haraka askari wa Marekani kaskazini mwa nchi hiyo

    Apr 22, 2019 09:15

    Msemaji wa Hashdu sh-Sha'abi nchni Iraq upande wa kaskazini wa mchi hiyo ameashiria ukwamishaji mambo wa Marekani kwa shughuli za jeshi la Iraq kwa ajili ya kutokomeza harakati za siri za genge la kigaidi la Daesh (ISIS), na hivyo ametaka kufurushwa askari wa Kimarekani nchini humo.

  • Siasa athirifu za nje, kiashiria cha serikali mpya ya Iraq

    Siasa athirifu za nje, kiashiria cha serikali mpya ya Iraq

    Apr 21, 2019 21:02

    Jumamosi iliyopita Baghdad mji mkuu wa Iraq, ulikuwa mwenyeji wa kikao cha siku moja cha jumbe za mabunge ya nchi jirani zinazojumuisha Iran, Saudi Arabia, Uturuki, Syria, Jordan na Kuwait.

  • Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Apr 21, 2019 02:09

    Duru za habari zimeripoti kuwa mwanajeshi mmoja gaidi wa Marekani ameuawa kaskazini mwa Iraq.

  • Wairaqi wafanya onyesho kubwa la 'Shukurani kwa Iran' katika siku ya kukumbuka kuundwa harakati ya Hashdu sh-Sha'abi

    Wairaqi wafanya onyesho kubwa la 'Shukurani kwa Iran' katika siku ya kukumbuka kuundwa harakati ya Hashdu sh-Sha'abi

    Apr 20, 2019 00:05

    Sambamba na Wairaqi kusherehekea siku ilipoundwa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini humo katika onyesho kubwa lililofanyika mjini Baghdad, mji mkuu wa Iraq, wameshukuru nafasi chanya ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH la nchi hii kwa mchango wao mkubwa kwenye vita dhidi ya kundi hatari la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).

  • Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia

    Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia

    Apr 13, 2019 22:00

    Serikali ya Iraq imetangaza habari ya kufikiwa makubaliano na Syria juu ya kufunguliwa vivuko vya pamoja vya mpakani.

  • Rais Barham Salih wa Iraq: Kamwe nchi yetu haitakuwa ngome kwa ajili ya kuwaudhi majirani zetu

    Rais Barham Salih wa Iraq: Kamwe nchi yetu haitakuwa ngome kwa ajili ya kuwaudhi majirani zetu

    Apr 12, 2019 03:20

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema kuwa, kamwe nchi hiyo haiwezi kukubali kugeuka kwa aina yoyote kuwa ngome ya kieneo kwa ajili ya kuziudhi nchi majirani.

  • Rais Rouhani: Ushirikiano wa Iran na Iraq utastawi zaidi

    Rais Rouhani: Ushirikiano wa Iran na Iraq utastawi zaidi

    Apr 06, 2019 10:22

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amehimiza kustawishwa zaidi uhusiano wa nchi yake na Iraq katika pande zote.

  • Waziri Mkuu wa Iraq awasili Iran katika safari ya kuimarisha uhusiano wa Baghdad na Tehran

    Waziri Mkuu wa Iraq awasili Iran katika safari ya kuimarisha uhusiano wa Baghdad na Tehran

    Apr 06, 2019 03:26

    Waziri Mkuu wa Iraq amewasili hapa nchini mapema leo katika ziara yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa Tehran na Baghdad.

  • Rais Barham Salih wa Iraq: Mfumo wowote wa eneo hili hauwezi kuipuuza Iran

    Rais Barham Salih wa Iraq: Mfumo wowote wa eneo hili hauwezi kuipuuza Iran

    Apr 02, 2019 20:47

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema kuwa, hakuna mfumo wowote mpya katika eneo la Asia Magharibi unaoweza kuipuuza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kama ambavyo hauwezi pia kufumbia macho umuhimu wa taifa la Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS