-
Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani wakiri kuua mamia ya raia wa Syria na Iraq
Aug 04, 2017 22:09Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika kile kinachoitwa vita vya kupambana na ugaidi umetangaza katika takwimu zake za kila mwezi kuwa umeua raia 624 kwenye mashambulizi ya anga uliyofanya katika nchi za Iraq na Syria.
-
UN yaipongeza al Hashdu sh-Sha'abi kwa mapambano yake dhidi ya Daesh
Aug 01, 2017 22:21Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Iraq amepongeza nafasi ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi katika kufanikisha ukombozi wa miji mbalimbali ya Iraq na kulinda maisha ya raia katika vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.
-
Wanazuoni wa Iraq washangaa kimya cha nchi za Kiarabu kuhusu al-Aqsa
Jul 26, 2017 03:18Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Iraq imeeleza kusikitishwa kwake na kimya cha watawala wa nchi za Kiarabu kuhusu hali mbaya ya mgogoro inayoikabili Quds na msikiti mtukufu wa al-Aqsa.
-
Magaidi Madaesh 87 wahojiwa Iraq ili kupata fununu kuhusu Abubakar Al-Baghdadi
Jul 25, 2017 22:38Wizara ya Ulinzi ya Iraq imetangaza kuwa magaidi 87 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, raia wa nchi 17 tofauti wanasailiwa kwenye jela za usalama za nchi hiyo ili kupata fununu na taarifa kuhusu kinara wa kundi hilo la kitakfiri Abubakar Al-Baghdadi.
-
Mwanajeshi wa Marekani akiri kuwaua kinyama Wairaki
Jul 22, 2017 03:20Mwanajeshi mmoja wa Marekani amekiri kuua kinyama zaidi ya Wairaki 2000 katika kipindi cha miaka mitano aliyohudumu nchini humo.
-
Nouri al-Maliki: Iraq haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu dhidi ya Iran
Jul 21, 2017 21:59Nouri al-Maliki, Makamu wa Rais wa Iraq amesema kuwa, nchi yake haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu kwa ajili ya kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kubainisha kwamba, jambo hilo halitawezekana.
-
Jeshi la Iraq: Daesh wanawaua kwa umati watu wa familia za wapiganaji wake
Jul 18, 2017 10:56Duru za kiusalama nchini Iraq zimefichua kuwa, kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) limefanya mauaji ya umati dhidi ya watu wa familia za wanachama wake kufuatia fatwa iliyotolewa na mashekhe wa kundi hilo katika mji wa Tal Afar magharibi mwa mkoa wa Nainawa (Nineveh) nchini Iraq.
-
Iraq: Kiongozi wa Daesh, Abu Bakar al Baghdadi, bado yuko hai
Jul 16, 2017 10:42Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imekanusha habari za kuuawa kiongozi wa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh (ISIS) na kusema kuwa Abu Bakar al Baghdadi bado yuko hai na amejificha nchini Syria.
-
Maafisa wa Saudia waliwasaidia magaidi wa ISIS huko Mosul, Iraq
Jul 14, 2017 03:33Saudi Arabia ilituma maafisa wake wa kijasusi na kijeshi kujiunga na magaidi wa ISIS au Daesh Mosul wakati wa oparesheni ya jeshi la Iraq ya kuukomboa mji huo.
-
Radiamali ya al Abadi kwa madai ya baadhi ya taasisi dhidi ya wanajeshi wa nchi hiyo
Jul 13, 2017 10:33Waziri Mkuu wa Iraq amekadhibisha madai ya baadhi ya taasisi za kimataifa eti za kutetea haki za binadamu zinazoeneza uvumi kuwa vikosi vya Iraq vilivunja haki za binadamu katika oparesheni ya kuukomboa mji wa Mosul.