Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kukiri Israel udhaifu wa

    Kukiri Israel udhaifu wa "Ngao ya Chuma" na kutoweza kwake kujilinda na makombora ya Wapalestina

    Sep 30, 2021 09:12

    Kamanda wa ulinzi wa anga wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwamba, mfumo wa kujilinda na mashambulizi ya makombora uliopachikwa jina la "Ngao ya Chuma" hauwezi kudhamini usalama wa utawala huo mbele ya vipigo vya makombora kutoka kwa wanamuqawama wa Palestina.

  • Leba yawa chama cha kwanza Ulaya kuitambua Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi wa Apathaidi

    Leba yawa chama cha kwanza Ulaya kuitambua Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi wa Apathaidi

    Sep 27, 2021 13:19

    Mkutano mkuu wa chama cha Leba nchini Uingereza umepigia kura na kupitisha hoja ya kuitambua Israel kuwa ni utawala unaotenda jinai ya ubaguzi wa Apathaidi, na kukifanya kuwa chama cha kwanza kikubwa cha siasa barani Ulaya kuchukua msimamo huo dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni.

  • Sudan: Hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wetu na Israel

    Sudan: Hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wetu na Israel

    Sep 27, 2021 09:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amesema kuwa, miezi 11 imepita tangu nchi yake itangaze kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel lakini hakuna ishara zozote za kuboreka uhusiano wa pande mbili kama ambavyo hakuna pia mazungumzo yoyote rasmi baina yao.

  • Mwana wa muasisi wa Israel autabiria maangamizi utawala wa Kizayuni

    Mwana wa muasisi wa Israel autabiria maangamizi utawala wa Kizayuni

    Sep 24, 2021 23:05

    Mwana wa mwasisi wa Israel ambaye baba yake ndiye aliyetia saini tangazo la kuanzishwa dola hilo pandikizi mwaka 1948 na ambaye hivi sasa ni mpinzani mkubwa wa utawala wa Kizayuni anayepitisha siku za mwisho za umri wake, ameutabiria maafa utawala huo dhalimu unaokikalia kwa mabavu Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel

    Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel

    Sep 20, 2021 03:31

    Mbunge wa Kongresi ya Marekani amebuni muswada unaopiga marufuku uuzaji wa silaha za nchi hiyo kwa tawala za Saudi Arabia na Israel.

  • Rais wa Israel na Mfalme wa Jordan wafanya mkutano wa siri

    Rais wa Israel na Mfalme wa Jordan wafanya mkutano wa siri

    Sep 05, 2021 22:33

    Rais wa utawala haramu wa Israel, Isaac Herzog amefichua kuwa alikutana na kufanya mazungumzo na Mfalme Abdullah II wa Jordan, mkutano wa siri uliofanyika wakati huu ambapo uhusiano wa Amman na Tel Aviv unazidi kuimarika.

  • Jihad Islami: Machaguo mengi yatakuwa meza dhidi ya Israel iwapo mzingiro wa Gaza hautaondolewa

    Jihad Islami: Machaguo mengi yatakuwa meza dhidi ya Israel iwapo mzingiro wa Gaza hautaondolewa

    Sep 04, 2021 22:46

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetishia kuwa, machaguo mengi yatakuwa mezani dhidi ya utawala ghasibu wa Israel iwapo utawala huo hautaondoa mzingiro wa pande zote dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza.

  • Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Sep 04, 2021 22:10

    Jeshi la Russia linasema makombora ya ulinzi wa anga ya Jeshi la Syria yametungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus hivi karibuni.

  • Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Sep 04, 2021 05:53

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, sanjari na pande mbili hizo kubadilishana mabalozi.

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Aug 31, 2021 22:53

    Askari wa utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi kijana wa Palestina kwa kumpiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS