-
Sheikh Naim Qassim: Hizbullah haitoruhusu Israel iivamie Lebanon
Aug 22, 2020 03:12Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya Kiislamu kamwe haitoiruhusu Israel na waungaji mkono wake waivamie tena Lebanon.
-
Baraza la Taasisi za Kiislamu Marekani lapinga mapatano ya fedheha kati ya Imarati na Israel
Aug 15, 2020 02:15Baraza la Taasisi za Kiislamu za nchini Marekani (USCMO) limepinga mpango wa mapatano uliofikiwa kati ya Imarati na Israel.
-
Iran yapinga kimya cha wakala wa IAEA kuhusu shughuli za nyuklia za Saudia
Aug 14, 2020 22:29Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amepinga kimya cha Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu shughuli za siri za nyuklia za Saudi Arabia na silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Muungano wa Maulama wa Kiislamu: Hatua ya Imarati kuanzisha uhusiano na Israel ni usaliti mkubwa
Aug 14, 2020 22:28Jumuiya ya Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu imelaani makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya Imarati na utawala haramu wa Israel yaliyofikiwa kwa upatanishi wa Marekani.
-
Rashida Tlaib: Waislamu hawatahadaiwa na mapatano ya Trump na Netanyahu
Aug 14, 2020 05:22Mbunge Mwislamu wa Kongresi ya Marekani, Rashida Tlaib, amepinga vikali hatua ya Imarati ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa: Waislamu hawatahadaiwa na mapatano ya Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
-
'Israel' inaongoza kwa maambukizi ya corona duniani
Aug 06, 2020 21:55Mkuu wa kupambana na ugonjwa wa corona au COVID-19 katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) amesema: "Kwa kuzingatia idadi ya watu, Israel inaongoza kwa kuwa maambukizi ya juu zaidi ya corona duniani."
-
Barua ya Israel kwa Umoja wa Mataifa; hofu na kiwewe cha kulipizwa kisasi na Hizbullah
Jul 27, 2020 03:45Israel imeuomba Umoja wa Mataifa ufanye usuluhishi kwa kuhofia Hizbullah ya Lebanon isije ikalipiza kisasi dhidi yake, huku mgogoro ndani ya utawala huo wa Kizayuni ukizidi kushadidi kufuatia maandamano ya maelfu ya watu ya kumpinga waziri mkuu Benjamin Netanyahu.
-
Haaretz: Nasrullah ana taathira na ushawishi usio wa kawaida kwa Waisraeli
Jul 19, 2020 23:08Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, kinachoyafanya maneno ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah yawe na taathira isiyo ya kawaida kwa Wazayuni ni ukweli wake, kutokuwa na mzaha katika kauli zake na uwelewa alionao kwa masuala ya Israel.
-
Makundi ya Palestina yasisitiza kuwa tayari kukabiliana na uvamizi mpya wa Wazayuni
Jul 19, 2020 02:22Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, vikosi vya muqawama wa Kiislamu Palestina vimejiandaa kikamilifu kwa ajili ya kukabiliana na uvamizi mpya wa Wazayuni maghasibu.
-
Wimbi la malalamiko mitandaoni baada ya Google kuiondoa Palestina katika ramani ya dunia
Jul 17, 2020 03:38Shirika la intaneti la Google limejiwa juu na watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."