-
Misri yalalamikia hatua ya Italia ya kukata ushirikiano wake na Cairo
Jul 07, 2016 02:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imeelezea kusikitishwa kwake na hatua ya Italia ya kusimamisha ushirikiano wake na Cairo.
-
Raia wa Italia anayeaminika kuwa Daesh akamatwa Morocco
Jun 13, 2016 10:50Vyombo vya usalama nchini Morocco vimesema kuwa vimemtia nguvuni raia wa Italia anayeaminika kuwa na mafungamano na kundi la kigaidi la Daesh.
-
Maelfu ya wakimbizi waokolewa katika Bahari ya Mediterranean
Jun 09, 2016 23:32Gadi ya fukwe za bahari ya Italia imetangaza habari kwamba imewaokoa maelfu ya wakimbizi katika Bahari ya Mediterranean katika siku za Jumatano na Alkhamisi.
-
Waziri Mkuu wa Italia asisitiza kutekelezwa makubaliano na Iran
Apr 13, 2016 09:46Waziri Mkuu wa Italia ametilia mkazo kutekelezwa makubaliano yaliyosianiwa kati ya nchi yake na Iran.
-
Kiongozi: Marekani inatoa misaada kwa magaidi
Apr 12, 2016 13:39Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema misaada ya silaha na kifedha inayotoa Marekani kwa makundi ya kigidi ni moja ya vizuizi katika utatuzi wa tatizo la ugaidi.
-
Waziri Mkuu wa Italia atembelea Iran kuhuisha uhusiano
Apr 12, 2016 11:35Rais Hassan Rouhani amesema kuwa Iran inataka kuona uhusiano wa kibiashara na Italia unafika kiwango kilichokuwepo kabla ya nchi hii kuwekewa vikwazo vya nyuklia.
-
Padri wa Kikatoliki atimuliwa kwa kuwalawiti vijana Italia
Mar 27, 2016 10:03Padri mmoja wa Kanisa Katoliki mjini Milan nchini Italia amesimamishwa kazi baada ya kubainika kuwa amekuwa akimhonga kijana mmoja barobaro ili afanye naye ulawiti.