Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Sisitizo jipya la Ufaransa la kuheshimu mapatano ya JCPOA

    Sisitizo jipya la Ufaransa la kuheshimu mapatano ya JCPOA

    Apr 16, 2019 21:56

    Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ulitiwa saini kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1 mnamo tarehe 14 Julai 2015, na kuanza kutekelezwa rasmi tarehe 16 Januari 2016.

  • Zarif: Nchi za Ulaya  zimezembea sana katika kutekeleza ahadi zao za mapatano ya JCPOA

    Zarif: Nchi za Ulaya zimezembea sana katika kutekeleza ahadi zao za mapatano ya JCPOA

    Apr 14, 2019 10:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zimezembea sana katika kutekeleza ahadi zao katika mpatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekekelzwaji (JCPOA), na kuongeza kuwa: "Nchi za Ulaya hazipaswi kudhani kuwa Iran itaendelea kuzisuburi"

  • China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Apr 12, 2019 10:49

    Mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanahesabiwa kuwa mapatano muhimu sana katika fremu ya usalama na amani ya kimataifa. Lakini pamoja na hayo, mnamo Mei 8 mwaka 2018, Marekani ilichukua uamuzi wa pande moja na kujiondoa katika mapatano hayo.

  • Qassemi: Kuzusha masuala yasiyoendana na uhalisia wa mambo hakuwezi kuathiri azma na irada ya taifa la Iran

    Qassemi: Kuzusha masuala yasiyoendana na uhalisia wa mambo hakuwezi kuathiri azma na irada ya taifa la Iran

    Apr 07, 2019 11:23

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekemea misimamo isiyoendana na uhalisia wa mambo ya nchi wanachama wa G7 na kusisitizia nafasi chanya ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuimarisha uthabiti, amani na kupambana na ugaidi katika eneo la Magharibi ya Asia pamoja na mpango wake wa makombora kwa ajili ya ulinzi na malengo ya amani.

  • Madai ya Pompeo ya eti kuunga mkono hatua za IAEA kuhusiana na JCPOA

    Madai ya Pompeo ya eti kuunga mkono hatua za IAEA kuhusiana na JCPOA

    Apr 05, 2019 08:46

    Makubaliano ya nyuklia, yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yanahesabiwa kuwa ni makubaliano muhimu sana kwa ajili ya kudumisha amani na usalama wa kimataifa; lakini Marekani imekuwa ikiyachimba kwa dhamira ya kuyasambaratisha, hasa kutokana na hatua iliyochukuliwa na nchi hiyo tarehe 8 Mei, 2018 ya kutangaza kujitoa kwenye makubaliano hayo ya kimataifa.

  • Zarif: Ulaya haina uwezo wa kufanya lolote mbele ya Marekani

    Zarif: Ulaya haina uwezo wa kufanya lolote mbele ya Marekani

    Apr 03, 2019 23:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Nchi za Ulaya hazina uwezo wa kufanya lolote mbele ya Marekani.

  • Zarif: Iran kamwe haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Zarif: Iran kamwe haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Mar 31, 2019 22:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua dhidi ya Iran zinazochukuliwa na Marekani na kusema: "Wairani kamwe hawatasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani."

  • Sisitizo la Russia la wajibu wa kukabiliana vilivyo na vikwazo vya Marekani

    Sisitizo la Russia la wajibu wa kukabiliana vilivyo na vikwazo vya Marekani

    Mar 30, 2019 02:56

    Marekani ina historia ndefu na mbaya zaidi ya kutumia vikwazo dhidi ya nchi nyingine kwa ajili ya kuendeleza malengo yake ya kibeberu. Kwa kweli viongozi wa ngazi za juu wa Marekani wanaamini kuwa, vikwazo dhidi ya nchi nyingine ndio wenzo bora kwao wa kuweza kufanikishia malengo yao.

  • Kiongozi Muadhamu: Katika kadhia ya JCPOA, Wazungu wametupiga jambia kwa nyuma

    Kiongozi Muadhamu: Katika kadhia ya JCPOA, Wazungu wametupiga jambia kwa nyuma

    Mar 22, 2019 12:28

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika siku ya kwanza ya mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia, jana Alkhamisi jioni alitoa hotuba muhimu sana iliyozingatia masuala mbalimbali Ukiwemo msimamo wa Wamagharibi kuhusu Iran mbele ya mjumuiko mkubwa na uliojaa hamasa wa wafanyaziara na majiran wa Haram ya Imam Ridha AS mjini Mash'had kaskazini mashariki mwa Iran.

  • Wanadiplomasia 50 wa Marekani wamtaka Trump ajiunge tena na JCPOA

    Wanadiplomasia 50 wa Marekani wamtaka Trump ajiunge tena na JCPOA

    Mar 12, 2019 22:56

    Wanadiplomasia 50 wa zamani wa Marekani wamemwandikia barua Rais Donald Trump wa nchi hiyo wakitaka kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia baina ya nchi za kundi 5+1 na Iran maarufu kwa kifupi kama JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS