Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Jarida la Marekani: Trump amepelekea nchi yetu itengwe na Ulaya

    Jarida la Marekani: Trump amepelekea nchi yetu itengwe na Ulaya

    Mar 09, 2019 03:46

    Jarida moja la nchini Marekani limemlaumu vikali rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa siasa zake mbovu za kimataifa na kusema kuwa, Trump amepelekea Marekani itengwe na nchi za Ulaya.

  • Tume ya pamoja ya JCPOA: Kuondolewa vikwazo, ni sehemu ya makubaliano na Iran

    Tume ya pamoja ya JCPOA: Kuondolewa vikwazo, ni sehemu ya makubaliano na Iran

    Mar 07, 2019 03:38

    Tume ya Pamoja ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA imetoa taarifa mwishoni mwa kikao cha 11 mjini Vienna, Austria ikisema kuwa kuondolewa vikwazo ambavyo vinaweza kuboresha uhusiano wa kibiashara na kiuchumi na nchi hii, ni sehemu ya uhai wa mapatano hayo.

  • Sisitizo la Ulaya la kulinda makubaliano ya JCPOA na kukosolewa uamuzi wa Marekani

    Sisitizo la Ulaya la kulinda makubaliano ya JCPOA na kukosolewa uamuzi wa Marekani

    Mar 06, 2019 23:22

    Hata kama makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, ni mapatano muhimu kwa ajili ya kulinda amani na usalama wa kimataifa, lakini Marekani ilichukua uamuazi wa upande mmoja wa kujitoa katika mapatano hayo tarehe 8 mwezi Mei mwaka uliopita.

  • Bwabwaja mpya za Mike Pence dhidi ya Iran, kukaririwa tuhuma bandia

    Bwabwaja mpya za Mike Pence dhidi ya Iran, kukaririwa tuhuma bandia

    Mar 03, 2019 23:09

    Marekani katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, imeonyesha wazi misimamo yake ya kudhoofisha na kujaribu kuundoa madarakani mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Iran.

  • Marekani yaendeleza propaganda chafu dhidi ya Iran

    Marekani yaendeleza propaganda chafu dhidi ya Iran

    Mar 02, 2019 04:36

    Makamu wa Rais wa Marekani amekariri madai yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, serikali ya Washington itaendeleza misimamo na hatua zake dhidi ya Iran.

  • Zarif: Nchi za Magharibi si wachukua maamuzi wakuu

    Zarif: Nchi za Magharibi si wachukua maamuzi wakuu

    Feb 24, 2019 10:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema nchi za Magharibi zimehatarisha usalama wa Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) kupitia mauzo ya silaha kwa nchi za Kiarabu. Amesema kuwa silaha hizo za nchi za Magharibi zimechangia kuvuruga usalama wa kieneo.

  • IAEA yathibitisha tena Iran inafungamana na mapatano ya nyuklia

    IAEA yathibitisha tena Iran inafungamana na mapatano ya nyuklia

    Feb 23, 2019 01:14

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati Atomiki, IAEA kwa mara ya 14 sasa umethibitisha kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inafungamana kikamilifu na mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekeezaji, JCPOA, yaliyofikiwa baina ya Iran na madola sita makubwa duniani 2015.

  • Waziri wa Mambo ya Uingereza: Kulindwa  JCPOA ni nukta muhimu katika uhusiano wa nchi hiyo na Ujerumani

    Waziri wa Mambo ya Uingereza: Kulindwa JCPOA ni nukta muhimu katika uhusiano wa nchi hiyo na Ujerumani

    Feb 20, 2019 23:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JPOA ni moja ya nukta muhimu katika uhusiano kati ya London na Berlin baada ya Uingereza kuondoka ndani ya Umoja wa Ulaya.

  • Ulaya yasisitiza tena kulinda makubalino ya nyuklia ya JCPOA

    Ulaya yasisitiza tena kulinda makubalino ya nyuklia ya JCPOA

    Feb 16, 2019 10:09

    Licha ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuwa na umuhimu mkubwa katika kudumisha amani na usalama wa kimataifa, lakini Marekani mwezi Mei mwaka jana ilijitoa kwenye makubaliano hayo ili kuyasambaratisha.

  • Umoja wa Ulaya wapinga takwa la Marekani la kujiondoa mapatano ya nyuklia ya Iran

    Umoja wa Ulaya wapinga takwa la Marekani la kujiondoa mapatano ya nyuklia ya Iran

    Feb 16, 2019 04:37

    Umoja wa Ulaya umepinga ombi la Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence ambaye amezitaka nchi za Ulaya zifuate nyayo za Marekani na kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran kwa lengo la "kuitenga" Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS