-
Zarif: Kuanzisha vita dhidi ya Iran ni sawa na kujitia kitanzi
Feb 15, 2019 21:57Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa jitihada za aina yoyote za kutaka kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran ni sawa na kujitia kitanzi na kujinyonga.
-
Misimamo ya Kugongana ya Umoja wa Ulaya kuhusiana na Iran
Feb 05, 2019 23:11Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya ikiwa mwanachama wa kundi la 4+1 iliunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukosoa vikali kujiondoa Marekani katika makubaliano hayo muhimu na ya kimataifa.
-
Kusajiliwa kanali ya kifedha ya Ulaya; hatua iliyochelewa lakini inayotia matumaini
Feb 01, 2019 09:25Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha kuzinduliwa mfumo maalumu wa kifedha wa nchi za Ulaya unaolenga kudumisha ushirikiano wa kiuchumi na Iran, ikiwa ni hatua ya kwanza iliyochukuliwa na nchi hizo kuhusiana na mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA.
-
Ahadi za kukaririwa za Troika ya Ulaya kuhusiana na kutekelezwa mfumo maalumu wa kifedha wa SPV
Jan 29, 2019 21:38Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yalihesabiwa kuwa maafikiano muhimu kwa ajili ya kulinda amani na usalama wa kimataifa.
-
Bahram Qassemi: Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa SPV ithibitishe kuwa iko huru na Marekani
Jan 28, 2019 04:27Bahram Qassemi, Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Umoja wa Ulaya kwa kutekeleza mfumo wa kifedha na Iran unaojulikana kama 'SPV' unaweza kuthibitisha kwamba unajitegemea na kwamba uko huru na Marekani pamoja na mashinikizo yake.
-
Mfumo wa kifedha wa SPV; ahadi nyingine, mara hii kutoka katika kinywa cha Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ufaransa
Jan 25, 2019 01:06Juhudi za madola ya Ulaya za kuanzisha mfumo wa kifedha kati ya Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, bado haziiridhishi Tehran, na madola hayo yangali yanafanya harakati kwa kusitasita na kwa kigugumizi katika uwanja huo.
-
Jean-Yves Le Drian: Mfumo wa SPV utaanza kufanya kazi hivi karibuni
Jan 24, 2019 04:24Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa kuna uwezekano wa mfumo wa kifedha kati ya Ulaya na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kuanza kufanya kazi siku chache zijazo.
-
Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw
Jan 24, 2019 00:35Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".
-
Qassemi: Iran ingali imefungamana na makubaliano ya nyuklia JCPOA
Jan 13, 2019 04:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha uvumi kwamba Tehran imejiondoa katika makubaliano ya nyuklia yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA.
-
Ukosoaji wa Russia kwa EU kwa kufeli mtihani wa kutekeleza kivitendo makubaliano ya JCPOA
Jan 12, 2019 04:43Makubaliano ya nyuklia, yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ni makubaliano muhimu sana katika uga wa kudumisha amani na usalama wa kimataifa. Lakini uamuzi iliochukuliwa na Marekani mnamo mwezi Mei 2018 wa kujitoa kwenye JCPOA, ulikuwa hatua hasi iliyotekelezwa kwa nia ya kuyasambaratisha makubaliano hayo.