Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • John Kerry ajibu mashambulizi ya kimaneno ya Trump kuhusu JCPOA

    John Kerry ajibu mashambulizi ya kimaneno ya Trump kuhusu JCPOA

    Sep 15, 2018 20:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani sambamba na kutetea mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, amekiri kwamba, kwa kuzingatia ukiukaji wa ahadi wa Marekani, hakutofanyika mazungumzo yoyote kati ya Iran na Washington.

  • Zarif: Nchi za Ulaya ziamue ima kusimama kidete au kusalimu amri mbele ya Marekani

    Zarif: Nchi za Ulaya ziamue ima kusimama kidete au kusalimu amri mbele ya Marekani

    Sep 15, 2018 09:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zinapaswa kuamua ima zisimame kidete au zisalimu amri mbele ya Marekani. Aidha amesema nchi za Ulaya zinapaswa kufidia hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatnao ya nyuklia ya Iran, JCPOA.

  • Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Sep 15, 2018 03:29

    Umoja wa Ulaya (EU), ambao nchi zake tatu muhimu, yaani Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ni wanachama wa kundi 5+1, mbali kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya Iran ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) umesisitiza kukabiliana na hatua za Marekani za kutaka kuyavunja makubaliano hayo; na katika kufanya hivyo umechukua hatua nyengine mpya kwa madhumuni ya kuyalinda makubaliano hayo ya JCPOA.

  • Sisitizo la Rais Vladmir Putin wa Russia juu ya ulazima wa kudhaminiwa usalama wa kimataifa wa Korea Kaskazini

    Sisitizo la Rais Vladmir Putin wa Russia juu ya ulazima wa kudhaminiwa usalama wa kimataifa wa Korea Kaskazini

    Sep 13, 2018 21:56

    Mgogoro wa Rasi ya Korea ni moja ya masuala ambayo Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiyapa umuhimu mkubwa, tangu alipoingia madarakani nchini humo.

  • Russia yaitaka IAEA kutoa dhamana ya utekelezaji wa JCPOA

    Russia yaitaka IAEA kutoa dhamana ya utekelezaji wa JCPOA

    Sep 13, 2018 02:52

    Russia imeutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) itoe dhamani ya utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran

    Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran

    Sep 11, 2018 03:02

    Mkuu wa Baraza la Stratejia za Uhusiano wa Nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Marekani inatekeleza sera zake dhidi ya Iran kwa kutumia mabavu, ubabe na vitisho.

  • John Kerry: Trump amethibitisha kivitendo maneno ya wapinzani wa JCPOA ndani ya Iran

    John Kerry: Trump amethibitisha kivitendo maneno ya wapinzani wa JCPOA ndani ya Iran

    Sep 10, 2018 02:57

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani kwa mara nyingine tena amekosoa misimamo ya serikali ya rais wa hivi sasa wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Iran na kuionya Ikulu ya nchi hiyo White House kuhusu matokeo mabaya ya siasa hizo.

  • Davenport: Baraza la Usalama limsaili Trump kwa nini Marekani imejiondoa JCPOA

    Davenport: Baraza la Usalama limsaili Trump kwa nini Marekani imejiondoa JCPOA

    Sep 09, 2018 11:33

    Mkurugenzi wa Sera za Kuzuia Silaha za Maangamizi katika Shirika la Kudhibiti Silaha la Marekani amewataka wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamuweke kiti moto Rais Donald Trump wa Marekani wakati atakapohudhuria kikao cha baraza hilo.

  • Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani

    Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani

    Sep 03, 2018 22:04

    Maamuzi ya upande mmoja ya kisiasa na kimabavu ya Marekani katika kipindi cha utawala wa rais Donald Trump yanaendelea kukabiliwa na upinzani kote duniani.

  • Larijani: Iran ina shaka na uwezo wa Ulaya wa kutekeleza ahadi zake kuhusu kadhia ya nyuklia

    Larijani: Iran ina shaka na uwezo wa Ulaya wa kutekeleza ahadi zake kuhusu kadhia ya nyuklia

    Sep 01, 2018 09:36

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, licha ya Iran kuwa na shaka kubwa juu ya uwezo wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya na namna ya uchukuaji wao wa maamuzi lakini imekubali kutengwa muda maalumu wa mazungumzo kuhusu kadhia ya nyuklia ili kuweza kupima uwezo wao na fikra zao za kisiasa kwa ajili ya kutatua suala hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS