-
Marekani imewatorosha viongozi wa DAESH (ISIS) eneo la Deir ez-Zor, Syria
Sep 23, 2018 02:41Duru za kuaminika za Syria zimetangaza kuwa muungano wa kijeshi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani wa eti kupambana na DAESH (ISIS) umewatorosha viongozi kadhaa wa kundi hilo la kigaidi na ukufurishaji katika eneo la Deir ez-Zor mashariki mwa Syria.
-
Mazoezi ya pamoja ya anga ya SEPAH na Jeshi la Iran yaanza katika maji ya Ghuba ya Uajemi
Sep 21, 2018 07:46Kaimu Mkuu wa Uenezi wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kwa mnasaba wa kuanza Wiki ya Kujihami Kutakatifu mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya vikosi vya anga vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH (IRGC) na vya Jeshi yameanza katika maji ya Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman.
-
Woga wa Jeshi la Israel kuhusu uwezo wa makombora wa Hizbullah ya Lebanon
Sep 12, 2018 01:19Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa uwezo wa makombora wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na nguvu yake ya kulenga kwa mapana katika maeneo mbalimbali ya Israel ni tishio kubwa sana.
-
Kiongozi Muadhamu asisitiza kuimarishwa uwezo wa majeshi ya Iran katika kukabiliana na adui
Sep 10, 2018 06:53Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika mahafali ya pamoja ya kuhitimu na kuapishwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya maafisa wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuashiria sera za shari na kiistikbari za kuibua machafuko na ukosefu wa usalama na kusisitiza kuwa:
-
Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib
Sep 04, 2018 02:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa suala kuu lilogubika kikao cha pande tatu cha viongozi wa Iran, Russia na Uturuki mjini Tehran lilikuwa kuhusiana na kukombolewa mkoa wa Idlib.
-
Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi
Aug 16, 2018 13:17Habari kutoka Syria zimeripoti kwamba, askari vamizi wa Marekani wanakusudia kujenga uwanja wao wa kijeshi katika eneo la al-Shaddadi la jimbo la Al-Hasakah nchini humo.
-
Mahdi al-Mashat akipongeza kikosi cha majini cha Yemen katika kupambana na wavamizi
Jul 26, 2018 03:05Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa nchini Yemen Mahdi al-Mashat ametoa pongezi kwa kikosi cha majini cha jeshi la nchi hiyo katika kupambana na askari vamizi eneo la bandari ya Mocha na kuitaja operesheni hiyo kuwa ni mabadiliko katika njia za kupambana na wavamizi hao.
-
Jeshi la Yemen: Muungano vamizi wa Saudi Arabia umeshindwa kusonga mbele Al-Hudaydah
Jul 24, 2018 07:31Msemaji wa Jeshi la Yemen amekadhibisha tena habari za kusimama mashambulizi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia eneo la magharibi mwa nchi na kusema kuwa, muungano huo wa Saudia na Imarati, umeshindwa kusonga mbele kwa namna yoyote katika eneo hilo.
-
Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel
Jul 24, 2018 03:23Sambamba na jeshi la Syria kuimarisha mzingiro dhidi ya makundi ya kigaidi kusini mwa nchi hiyo, makamanda wa makundi hayo na kupitia taa ya kijani ya utawala wa Kizayuni, wamekimbilia upande wa jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
UN: Jeshi la Mali liliua raia12 katika ulipizaji kisasi
Jun 27, 2018 14:20Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA kimesema wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika waliuawa raia 12 katika operesheni ya kulipiza kisasi mwezi uliopita, baada ya mwenzao kuuawa katika mazingira ya kutatanisha.