Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Jun 26, 2018 04:21

    Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.

  • Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jun 22, 2018 14:07

    Sambamba na operesheni ya kuyasafisha maeneo mapana ya jangwa la Syria, hasa eneo la al-Badiya kutoka mikononi mwa mabaki ya wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), jeshi la Syria limezingira ngome ya askari vamizi wa Marekani katika eneo la al-Tanf lililopo katika mpaka wa nchi hiyo na Iraq.

  • Jeshi la Mali latuhumiwa kuua makumi ya raia

    Jeshi la Mali latuhumiwa kuua makumi ya raia

    Jun 20, 2018 07:32

    Makundi ya kiraia nchini Mali yamedai kuwa jeshi la nchi hiyo limeua makumi ya raia katika eneo la Mopti, katikati mwa nchi.

  • Jeshi la Madagascar latishia 'kuzima mgogoro wa kisiasa'

    Jeshi la Madagascar latishia 'kuzima mgogoro wa kisiasa'

    Jun 01, 2018 13:46

    Waziri wa Ulinzi wa Madagascar ametishia kuwa, ikilazimu, jeshi la nchi hiyo litaingilia kati iwapo serikali na upinzani zitashindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo kwa muda sasa.

  • Syria: Kunaandaliwa mazingira ya kubuni igizo la shambulio la kemikali mashariki mwa Furat

    Syria: Kunaandaliwa mazingira ya kubuni igizo la shambulio la kemikali mashariki mwa Furat

    May 31, 2018 03:42

    Kamisheni ya taifa nchini Syria inayoshughulikia utekelezwaji wa makubaliano ya kuzuia silaha za kemikali, imeonya juu ya kuandaliwa igizo la kubuni la shambulio la silaha hizo katika moja ya maeneo yanayodhibitiwa na wanamgambo wa Kikurdi wa 'Syrian Democratic Forces' kwa kushirikiana na askari wa Marekani, mashariki mwa mto Furat nchini humo.

  • Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    May 22, 2018 13:45

    Kwa akali askari 12 wa Jeshi la Somalia wameripotiwa kuuawa katika shambulio la bomu lililolenga msafara wa magari ya jeshi hilo katika wilaya ya Wanaweyn, yapata kilomita 30 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    May 18, 2018 07:56

    Sambamba na kuondoka magaidi eneo la kaskazini mwa mkoa wa Homs na kusini mwa mkoa wa Hama na kadhalika kufunguliwa barabara ya mkoa wa Homs kuelekea Damascus, mji mkuu wa Syria, jeshi la serikali limefanikiwa kudhibiti barabara zote zinazoiunganisha nchi hiyo.

  • Magaidi wa genge la Daesh na Jaishul-Hur washambuliana vikali kusini mwa Syria

    Magaidi wa genge la Daesh na Jaishul-Hur washambuliana vikali kusini mwa Syria

    May 15, 2018 02:41

    Magaidi wa makundi ya ukufurishaji ya Daesh (ISIS) na kundi la Jeishul-Hur (Jeshi huru), wameshambuliana vikali magharibi mwa mkoa wa Daraa, nchini Syria na kusababisha maafa makubwa kati yao.

  • Magaidi 21 waangamizwa Rasi ya Sinai nchini Misri

    Magaidi 21 waangamizwa Rasi ya Sinai nchini Misri

    May 10, 2018 13:47

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 21 katika operesheni ya pamoja iliyofanywa na jeshi na polisi wa nchi hiyo katika Rasi ya Sinai.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Vikosi vyetu vya Ulinzi havimuogopi adui yeyote yule

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Vikosi vyetu vya Ulinzi havimuogopi adui yeyote yule

    Apr 29, 2018 15:11

    Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Amir Hatami amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iko imara katika kuimarisha uwezo wake wa kuzuia mashambulizi na kusisitiza kwamba, taifa la Iran hususan Vikosi vyake vya Ulinzi havimuogopi adui yeyote yule.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS