Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kamanda shahidi Qassem Soleimani

  • Washauri wa Trump washangazwa na uongo wake kuhusu Iran

    Washauri wa Trump washangazwa na uongo wake kuhusu Iran

    Jan 22, 2020 06:46

    Vyombo vya habari vya Marekani vimefichua kwamba, madai yaliyotolewa na rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwamba Iran ilikuwa na nia ya kushambulia balozi nne za Marekani yamewashangaza na kuwaacha bumbuazi hata washauri wake mwenyewe.

  • "Trump, Pompeo na Daesh pekee ndio wanaosherehekea kuuliwa Soleimani"

    Jan 16, 2020 02:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS), Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Mike Pompeo ndio pekee wanaosherehekea na kufurahia kuuliwa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).

  • Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Jan 15, 2020 06:13

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Jumapili iliyopita ya tarehe 12 Januari 2020, alifanya ziara rasmi hapa mjini Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Tamim alionana na viongozi wa ngazi za juu kabisa wa Iran akiwemo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na Rais Hassan Rouhani.

  • Russia: Mauaji ya Jenerali Soleimani yanakiuka mipaka yote ya sheria na utu

    Russia: Mauaji ya Jenerali Soleimani yanakiuka mipaka yote ya sheria na utu

    Jan 15, 2020 02:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kitendo cha Marekani cha kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kinakiuka misingi na mipaka yote ya ubinadamu na sheria.

  • Kamisheni ya Bunge la Ujerumani: Kitendo cha Marekani cha kumuua Soleimani ni kuvunja sheria za kimataifa

    Kamisheni ya Bunge la Ujerumani: Kitendo cha Marekani cha kumuua Soleimani ni kuvunja sheria za kimataifa

    Jan 15, 2020 07:37

    Wataalamu wa Huduma za Kielimu wa Bunge la Ujerumani wametoa ripoti maalumu na kusema kuwa, kitendo cha Marekani cha kumuua Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran ni kinyume cha sheria za kimataifa na wamepinga madai ya Trump ya kuhalalisha jinai hiyo.

  • Kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Jenerali Soleimani chafanyika Kodivaa

    Kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Jenerali Soleimani chafanyika Kodivaa

    Jan 14, 2020 13:10

    Waislamu wa Ivory Coast wamefanya kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na mashahidi wenzake waliouawa hivi karibuni na askari magaidi wa Marekani nchini Iraq.

  • Nyigo mpya za ufafanuazi wa Nasrullah kuhusu sababu na matokeo ya kuuliwa kigaidi kiongozi wa muqawama

    Nyigo mpya za ufafanuazi wa Nasrullah kuhusu sababu na matokeo ya kuuliwa kigaidi kiongozi wa muqawama

    Jan 14, 2020 07:36

    Siku ya Jumapili Sayyid Hassan Nsrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon alizungumzia nyigo mpya za sababu na matokeo ya jinai za serikali ya kigaidi ya Marekani katika kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na watu wengine aliokuwa nao.

  • Syria: Taathira za kuuawa Shahidi Qassem Soleimani zitaendelea kwa miaka mingi

    Syria: Taathira za kuuawa Shahidi Qassem Soleimani zitaendelea kwa miaka mingi

    Jan 13, 2020 07:51

    Mshauri wa Kisiasa na Vyombo vya Habari wa Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitiza kwamba taathira za kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC, zitaendelea kwa miaka mingi.

  • Hizbullah yasisitiza kuondoka wanajeshi wa Marekani eneo la Asia Magharibi

    Hizbullah yasisitiza kuondoka wanajeshi wa Marekani eneo la Asia Magharibi

    Jan 12, 2020 12:16

    Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu kuondoka wanajeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi kama jibu la kweli la mauaji ya kigaidi ya mashahidi Haj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.

  • Wananchi wa Afrika Kusini wamuomboleza na kumuenzi shahidi Qassim Soleimani

    Wananchi wa Afrika Kusini wamuomboleza na kumuenzi shahidi Qassim Soleimani

    Jan 11, 2020 13:44

    Shakhsia wa kisiasa, kiutamaduni na Waislamu nchini Afrika Kusini wamemkumbuka, kumuenzi na kumuomboleza Luteni Jenerali Qassim Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (SEPAH).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS