• Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Dec 27, 2021 13:27

    Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Kufichuliwa mambo mapya kuhusiana na Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    Kufichuliwa mambo mapya kuhusiana na Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    May 10, 2021 09:30

    Jumamosi usiku, tovuti ya habari ya Yahoo News iliandika makala na ndani yake ilitoa taarifa mpya kuhusu operesheni ya jinai ya kinyama iliyofanywa na jeshi la kigaidi la Marekani ya kumuua shahidi aliyekuwa kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, Luteni Jenerali Qassem Suleimani.

  • Zarif: Trump ametupwa katika  jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Zarif: Trump ametupwa katika jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Jan 21, 2021 04:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema rais aliyeondoka Marekani wa Marekani ametupwa katika jaa la taka za historia.

  • Waziri wa Ulinzi: Maadui wameshindwa kupigisha magoti Iran

    Waziri wa Ulinzi: Maadui wameshindwa kupigisha magoti Iran

    Jan 13, 2021 04:42

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amiri Hatami amesisitiza kuwa, maadui walidhani wangeipigisha magoti Iran lakini wameshindwa kabisa kutokana na Wairani kusimama kidete dhidi yao na sasa ni Rais Trump wa Markeani na waitifaki wake ndio wanaochukiwa zaidi na watu duniani na watatupwa katika dampo la taka za historia.

  • Iran yataka Polisi ya Kimataifa (Interpol) iwakamate wauaji wa mashahidi Soleimani, Fakhrizadeh

    Iran yataka Polisi ya Kimataifa (Interpol) iwakamate wauaji wa mashahidi Soleimani, Fakhrizadeh

    Jan 12, 2021 05:06

    Msemaji wa Polisi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Iran imeikabidhi Polisi ya Kimataifa, Interpol, taarifa kuhusu watu wanne waliohusika katika mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh na pia watu wengine waliohusika katika mauaji ya shahidi Qassem Soleimani."

  • Nukta nne muhimu katika hotuba ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa hauli ya Qassim Suleimani

    Nukta nne muhimu katika hotuba ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa hauli ya Qassim Suleimani

    Jan 05, 2021 11:47

    Hotuba ya Samahat Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kutimia mwaka mmoja tangu wauawe shahidi Luteni Jenerali Qassim Suleimani Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq maarufu kama Al-Hashd Al-Shaabi ilikuwa na nukta kadhaa muhimu na zenye mazingatio makubwa.

  • Kukosoa ripota wa Umoja wa Mataifa hatua isiyo ya kisheria ya Marekani ya kumuua Qassim Suleimani

    Kukosoa ripota wa Umoja wa Mataifa hatua isiyo ya kisheria ya Marekani ya kumuua Qassim Suleimani

    Jan 04, 2021 11:03

    Januari 3 mwaka uliomalizika hivi majuzi wa 2020, kwa amri ya Rais Donald Trump, utawala wa kigaidi wa Marekani ulifanya jinai ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassim Suleimani, Mkuu wa Kikosi cha Quds, cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu wa Mkuu wa Harakati ya al Hashd al-Shaabi katika shambulio la anga lililofanywa jirani na uwanja wa ndege wa Baghdad nchini Iraq.

  • Ripota wa UN: Mauaji ya Kamanda Soleimani ni kinyume na sheria za kimataifa

    Ripota wa UN: Mauaji ya Kamanda Soleimani ni kinyume na sheria za kimataifa

    Jan 04, 2021 07:50

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mauaji ya kigaidi ya shahid Hajj Qassem Soleimani ni kinyume na sheria za kimataifa na kuongeza kuwa, mauaji hayo yaliyofanywa na Marekani ni uvunjaji wa haki ya kujitawala ardhi ya Iraq.

  • Wairaq kufanya maandamano mamilioni leo kukumbuka siku waliyouawa shahidi makamanda wa muqawama

    Wairaq kufanya maandamano mamilioni leo kukumbuka siku waliyouawa shahidi makamanda wa muqawama

    Jan 03, 2021 02:54

    Mbunge wa mrengo wa As-Sadiqun katika bunge la Iraq amesema, lengo la maandamano makubwa yatakayofanywa leo na wananchi wa Iraq kwa mnasaba wa kukumbuka siku walipouliwa shahidi makamanda wa muqawama ni kutangazwa upinzani dhidi ya uwepo kijeshi wa Marekani katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Hajj Qassem Soleimani; mhimimili wa muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Hajj Qassem Soleimani; mhimimili wa muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jan 02, 2021 08:08

    Alfajiri Januari Tatu unatimia mwaka wa kwanza wa kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Hajj Qassem Suleimani. Mhimili wa muqawama unakumbushia shahid huyo mkubwa na utawala wa Kizayuni pia umefurahishwa kwa kuuliwa kamanda huyo wa muqawama. Swali muhimu hapa ni hili kuwa Kamanda Suleimani alitoa huduma gani kwa muqawama ambayo imeughadhibisha utawala wa Kizayuni?