Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kamanda Soleimani

  • Sheikh Naim Qassim: kuuliwa kigaidi shahid Suleimani kumedhihirisha kilele cha udhaifu wa Marekani katika eneo

    Sheikh Naim Qassim: kuuliwa kigaidi shahid Suleimani kumedhihirisha kilele cha udhaifu wa Marekani katika eneo

    Dec 31, 2020 07:36

    Sheikh Naim Qassim amesema kuwa Marekani imemuuwa kigaidi Luteni jenerali Haji Qassem Suleimani nchini Iraq kutokana na kuwa dhaifu.

  • Rais Rouhani:  Shahidi Qassim Suleimani amewazawaidia izza Waislamu na kuwadhalilisha maadui

    Rais Rouhani: Shahidi Qassim Suleimani amewazawaidia izza Waislamu na kuwadhalilisha maadui

    Dec 31, 2020 12:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shahdi Luteni Jenerali Qassim Suleimani amelizawadia izza wakazi wote wa eneo la Asia Magharibi na Waislamu wa eneo hili na amewadhalilisha maadui katika matukio mengi.

  • Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wamemuenzi Shahidi Soleimani

    Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wamemuenzi Shahidi Soleimani

    Dec 30, 2020 04:22

    Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wamemuenzi Shahidi Luteni Jeneali Qassem Soleimani mwaka mmoja baada ya kuuawa kwake katika hujuma ya jeshi la kigaidi la Marekani katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Iran inawafuatilia watuhumiwa 48 katika faili la mauaji ya shahid Qassem Suleimani

    Iran inawafuatilia watuhumiwa 48 katika faili la mauaji ya shahid Qassem Suleimani

    Dec 29, 2020 08:14

    Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama ya Iran amesema, watu 48 wametambuliwa kuhusika na mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qassem Suleimani na hatua zinazohitajika zimesha chukuliwa kwa ajili ya kuwafuatilia watu hao.

  • Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen

    Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen

    Dec 29, 2020 02:59

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah Jumapili 27 Disemba alifanya mahojiano muhimu na Televisheni ya Al Mayadeen ya Lebanon. Katika mahojiano hayo aliwakumbuka na kuwawenzi Shahidi Luteni Jenerali Hajj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.

  • Nafasi ya Shahidi Soleimani katika kuibua muundo na kudumisha Harakati ya Muqawama katika kukabiliana na adui

    Nafasi ya Shahidi Soleimani katika kuibua muundo na kudumisha Harakati ya Muqawama katika kukabiliana na adui

    Dec 28, 2020 16:30

    Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) alielekea Iraq Januari 3 mwaka 2020 kufuatia mwaliko rasmi wa wakuu wa Iraq.

  • Hizbullah: Luteni Jenerali Qassim Suleimani ni shahidi wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Hizbullah: Luteni Jenerali Qassim Suleimani ni shahidi wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 28, 2020 12:20

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Luteni Jenerali Qassim Suleimani ni shahidi wa Ulimwengu wa Kiislamu na mashahidi wa mhimili wa muqawama.

  • Jihad al Islami: Shahid Soleimani alikuwa mhandisi wa kambi ya muqawama

    Jihad al Islami: Shahid Soleimani alikuwa mhandisi wa kambi ya muqawama

    Dec 24, 2020 03:30

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amesema kuwa, shahid Qassem Solaimani ndiye hasa aliyeyaimarisha makundi yote ya muqawama katika eneo hili.

  • Bunge la Iraq: Serikali inapasa kuwasilisha matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Suleimani

    Bunge la Iraq: Serikali inapasa kuwasilisha matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Suleimani

    Nov 23, 2020 04:26

    Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq imeripoti kuwa inaendelea kuishinikiza serikali ya nchi hiyo ili iwasilishe haraka iwezekanavyo matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Luteni Jenerali Qassim Suleimani na Abu Mahdi al Muhandis.

  • Raisi: Iran imeazimia kuwafuatilia walioamuru na waliotekeleza mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Raisi: Iran imeazimia kuwafuatilia walioamuru na waliotekeleza mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Nov 09, 2020 12:12

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imedhamiria kwa dhati kutekeleza kwa uadilifu kwa wale wote walioamuru na waliotekeleza jinai ya kumuuwa kigaidi Kamanda Qassem Soleimani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS