Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kirusi cha corona

  • WHO: haiwezekani kutokomeza kabisa virusi vya Corona

    WHO: haiwezekani kutokomeza kabisa virusi vya Corona

    May 07, 2023 06:59

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Afya Duniani anayehusika na Dharura za Kiafya ameeleza kuwa kuna vigezo maalumu sana na vya kipekee kwa ajili ya kutokomeza virusi vya corona na kwamba ni vigumu kutokomeza kabisa virusi hivyo.

  • WHO: Vifo vitokanavyo na COVID-19 vinaongezeka, China inaongoza

    WHO: Vifo vitokanavyo na COVID-19 vinaongezeka, China inaongoza

    Jan 28, 2023 11:49

    Shirika la Afya Duniani, (WHO) limesema idadi ya vifo vinavyotokana na COVID-19 imeanza kuongezeka duniani tangu mwishoni mwa mwezi uliopita wa Desemba.

  • Onyo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya ya dunia

    Onyo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya ya dunia

    Sep 22, 2022 02:11

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, viongozi wanaokutana ana kwa ana kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita kwenye mkutano wa kila mwaka Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wanapaswa kukabiliana na migogoro, majanga ya mabadiliko ya tabianchi na kuongezeka umaskini na ukosefu wa usawa, na washughulikie migawanyiko kati ya mataifa makubwa ambayo imekuwa mibaya zaidi tangu vilipoanza vita nchini Ukraine.

  • Seneta John Kennedy: Kiwango cha kupendwa Biden kati ya Wamarekani ni sawa na kile kipindupindu

    Seneta John Kennedy: Kiwango cha kupendwa Biden kati ya Wamarekani ni sawa na kile kipindupindu

    Jul 15, 2022 11:24

    Seneta John Kennedy amesema: Kiwango cha kupendwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo baina ya Wamarekani ni sawa na kile cha ugonjwa wa kipindupindi.

  • Waafghani wote walioko Iran wamepokea chanjo ya bure ya COVID-19

    Waafghani wote walioko Iran wamepokea chanjo ya bure ya COVID-19

    Apr 23, 2022 02:35

    Waziri wa Afya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema raia wote wa Afghanistan wanaoshi kama wakimbizi hapa nchini wamepigwa chanjo ya kupambana na ugonjwa wa COVID-19 bila malipo.

  • Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Afrika Kusini

    Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Afrika Kusini

    Apr 22, 2022 07:55

    Afrika Kusini ambayo ilikuwa shwari kutokana na kupungua kwa maambukizi ya corona kwa kiasi fulani katika siku za karibuni imetangaza kukumbwa kwa mara nyingine tena na ongezeko la maambukizi ya corona nchini humo.

  • Kiwango cha maambukizi ya corona chapungua duniani kwa wiki ya tatu mtawalia

    Kiwango cha maambukizi ya corona chapungua duniani kwa wiki ya tatu mtawalia

    Apr 14, 2022 02:25

    Kiwango cha maambukizi ya Covid-19 duniani kimepungua kwa kwa wiki ya tatu mfululizo hadi kufikia tarehe 10 Aprili.

  • Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Uingereza

    Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka Uingereza

    Apr 06, 2022 11:14

    Idadi ya watu wanaougua ugonjwa wa UVIKO1-19 nchini Uingereza khususan wale wanaopatwa na maambukizi aina mpya ya kirusi cha corona cha Omicron inazidi kuongezeka.

  • Chanjo ya kwanza ya COVID-19 kwa njia ya pua duniani yasajiliwa Russia

    Chanjo ya kwanza ya COVID-19 kwa njia ya pua duniani yasajiliwa Russia

    Apr 02, 2022 07:50

    Wizara ya Afya ya Russia imesajili chanzo ya kwanza duniani ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 inayotolewa kupitia puani.

  • Shirika la Afya Duniani laonya kuhusu mlipuko mpya wa corona

    Shirika la Afya Duniani laonya kuhusu mlipuko mpya wa corona

    Mar 17, 2022 08:52

    Shirika la Afya Duniani limeonya kwamba kuondoa vizuizi vya kijamii, kupunguza uzingatiaji wa masuala ya afya ya umma na viwango vya chini vya chanjo vimesababisha ongezeko la idadi ya visa vya maambukizi ya Covid-19 duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS