-
Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine
Mar 06, 2022 04:49Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (SVR) imesema katika taarifa yake ya siku ya Ijumaa kwamba Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh (ISIS) katika kituo cha Al-Tanf nchini Syria ili wapelekwe Ukraine.
-
Ayatullah Makarim Shirazi: Fikra ya ukufurishaji ya Uwahabi ni hatari kubwa kwa ulimwengu
Feb 16, 2018 04:46Ayatullah Naser Makarem Shirazi, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa, hii leo ulimwengu wa Kiislamu unakabiliwa na hatari ya fikra za ukufurishaji.
-
Hizbullah: Kufeli mradi wa ugaidi katika eneo kunatokana na miongozo ya Kiongozi Muadhamu
Jul 13, 2017 07:48Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa kushindwa mradi kabambe wa makundi ya ukufurishaji na Kiwahabi katika eneo la Mashariki ya Kati, kumetokana na mafundisho bora ya Imamu Ruhullah Komein (MA) Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na pia miongozo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.
-
Rais Rouhani: Uenezaji chuki dhidi ya Uislamu na fikra za ukufurishaji vina chimbuko moja
Mar 29, 2017 02:57Rais Hassan Rouhani amesema uenezaji hofu na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ubaguzi wa rangi na fikra za ukufurishaji chimbuko lao ni moja.
-
Ndege ya Uturuki yawahamishia Yemen magaidi wa ISIS kutoka Aleppo
Dec 31, 2016 04:12Duru za Yemen zimeripoti kuwa, ndege moja ya Uturuki imewahamishia nchini humo makumi ya magaidi wa Daesh (ISIS) kwa kutumia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Aden, kusini mwa Yemen, baada ya magaidi hao kufurushwa nchini Syria.
-
Ayatullah Mohsen Araki: Lengo la matakfiri ni kuzusha mifarakano katika jamii ya Kiislamu
Dec 20, 2016 03:04Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, harakati ya utakfiri katika njama zake imeulenga utambulisho mmoja wa jamii ya Kiislamu.
-
Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake
Nov 29, 2016 03:00Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuyatumia makundi ya kigaidi kama wenzo wa kufikia malengo yao na kusisitiza kuwa mchezo huo mchafu umesababisha matatizo mengi.
-
Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni
Sep 27, 2016 14:08Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais Rouhani:Nchi za Waislamu ziungane kukabiliana na jinai za Saudi Arabia
Sep 07, 2016 13:24Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Waislamu dunaini kuungana na kuuwajibisha utawala wa Saudia kutokana na jinai zake katika nchi za Waislamu eneo la Mashariki ya Kati.