-
Kuendelea siasa za kupenda vita za Marekani katika Peninsula ya Korea
May 22, 2017 02:37Katika hali ambayo baadhi ya duru za habari zimearifu kupungua misimamo ya pande mbili kuhusiana na mgogoro wa Peninsula ya Korea, yaani Marekani na Korea Kaskazini, Washington imetuma meli yake ya kivita aina ya USS Ronald Reagan katika maji ya karibu na Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Marekani haina budi isipokuwa iachane na siasa za uhasama dhidi yetu
May 20, 2017 07:49Naibu balozi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, sasa umefika wakati Marekani kuchanea na siasa zake za uhasama dhidi ya Pyongyang.
-
Marekani yatoa vitisho kwa waungaji mkono wa Korea Kaskazini
May 17, 2017 07:35Mwakilishi wa Kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametoa vitisho vikali kwa nchi zinazoiunga mkono wa Korea Kaskazini.
-
Korea Kusini: Pyongyang imejiandaa kulifanyia majaribio kombora jipya la nyuklia
May 17, 2017 04:03Waziri wa Ulinzi nchini Korea Kusini ametangaza kuwa, hivi sasa Korea Kaskazini inajiandaa kwa ajili ya kufanya majaribio mapya ya kombora la nyuklia.
-
Korea Kaskazini: Kombora tulilolifanyia majaribio, linaweza kubeba kichwa cha nyuklia nzito
May 16, 2017 08:22Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, kombora la balestiki ililolifanyia majaribio siku ya Jumapili iliyopita, linaweza kubeba kichwa cha nyuklia nzito.
-
Trump atishia vikwazo vikali zaidi baada ya Korea Kaskazini kufanyia majaribio kombora jipya
May 14, 2017 07:51Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiwekea vikwazo vikali zaidi Korea Kaskazini, baada ya Pyongyang kufyatua kifaa kinachoaminika kuwa kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan.
-
Jaribio la Kutaka Kumuua Kiongozi wa Korea Kaskazini ni tangazo la vita
May 12, 2017 07:20Korea Kaskazini imelaani tena jaribio la kutaka kumuua kiongozi wake ambalo limetekelezwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na Korea Kusini na kulitaja jaribio hilo kuwa sawa na tangazo la vita.
-
Rais wa Korea Kusini yupo tayari kuitembelea nchi jirani ya Korea Kaskazini
May 11, 2017 03:31Rais mpya wa Korea Kusini Moon Jae-in amefungua urais wake kwa kutangaza kuwa yuko tayari kuitembelea Korea Kaskazini iwapo mazingira yataruhu ikiwa ni katika kutekeleza ahadi za uchaguzi za kufanya mazungumzo na nchi hiyo hasimu.
-
China yaipa sharti Marekani kumuuzulu kamanda wake, mkabala na kuishinikiza Pyongyang
May 08, 2017 15:11China imempa sharti Rais Donald Trump wa Marekani la kumuuzulu kamanda wa vikosi vya nchi hiyo vilivyoko Korea Kusini mkabala na Beijing kuishinikiza Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yawataka raia wa Korea Kusini kususia uchaguzi ujao wa rais
May 08, 2017 04:05Gazeti la serikali ya Korea Kaskazini la Rodong Sinmun limewataka raia wa nchi jirani ya Korea Kusini kususia uchaguzi ujao wa rais wa nchi hiyo kwa lengo la kuwaondoa madarakani watawala wenye mahusiano na Marekani.