-
Korea Kaskazini: Marekani ndiyo iliyounda makundi ya kigaidi Mashariki ya Kati
Jun 05, 2017 22:47Balozi wa Korea Kaskazini anayehusika na masuala ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi amekosoa vikali siasa za uhasama za serikali ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na kubainisha kuwa, Washington ndiyo inayohusika na uundwaji wa makundi yote ya kigaidi katika eneo.
-
Korea Kusini: Urushaji makombora wa Korea Kaskazini unatuweka katika mashinikizo
May 30, 2017 00:00Jeshi la Korea Kusini limesema kuwa, urushaji makombora unaofanywa na Korea Kaskazini unaiweka Seoul katika mashinikizo kwa ajili ya kubadili siasa za nchi hiyo.
-
Kuendelea siasa za kupenda vita za Marekani katika Peninsula ya Korea
May 21, 2017 22:07Katika hali ambayo baadhi ya duru za habari zimearifu kupungua misimamo ya pande mbili kuhusiana na mgogoro wa Peninsula ya Korea, yaani Marekani na Korea Kaskazini, Washington imetuma meli yake ya kivita aina ya USS Ronald Reagan katika maji ya karibu na Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Marekani haina budi isipokuwa iachane na siasa za uhasama dhidi yetu
May 20, 2017 03:19Naibu balozi wa Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, sasa umefika wakati Marekani kuchanea na siasa zake za uhasama dhidi ya Pyongyang.
-
Marekani yatoa vitisho kwa waungaji mkono wa Korea Kaskazini
May 17, 2017 03:05Mwakilishi wa Kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametoa vitisho vikali kwa nchi zinazoiunga mkono wa Korea Kaskazini.
-
Korea Kusini: Pyongyang imejiandaa kulifanyia majaribio kombora jipya la nyuklia
May 16, 2017 23:33Waziri wa Ulinzi nchini Korea Kusini ametangaza kuwa, hivi sasa Korea Kaskazini inajiandaa kwa ajili ya kufanya majaribio mapya ya kombora la nyuklia.
-
Korea Kaskazini: Kombora tulilolifanyia majaribio, linaweza kubeba kichwa cha nyuklia nzito
May 16, 2017 03:52Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, kombora la balestiki ililolifanyia majaribio siku ya Jumapili iliyopita, linaweza kubeba kichwa cha nyuklia nzito.
-
Trump atishia vikwazo vikali zaidi baada ya Korea Kaskazini kufanyia majaribio kombora jipya
May 14, 2017 03:21Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiwekea vikwazo vikali zaidi Korea Kaskazini, baada ya Pyongyang kufyatua kifaa kinachoaminika kuwa kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan.
-
Jaribio la Kutaka Kumuua Kiongozi wa Korea Kaskazini ni tangazo la vita
May 12, 2017 02:50Korea Kaskazini imelaani tena jaribio la kutaka kumuua kiongozi wake ambalo limetekelezwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na Korea Kusini na kulitaja jaribio hilo kuwa sawa na tangazo la vita.
-
Rais wa Korea Kusini yupo tayari kuitembelea nchi jirani ya Korea Kaskazini
May 10, 2017 23:01Rais mpya wa Korea Kusini Moon Jae-in amefungua urais wake kwa kutangaza kuwa yuko tayari kuitembelea Korea Kaskazini iwapo mazingira yataruhu ikiwa ni katika kutekeleza ahadi za uchaguzi za kufanya mazungumzo na nchi hiyo hasimu.