Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kaskazini yafanya jaribio jengine la makombora

    Korea Kaskazini yafanya jaribio jengine la makombora

    Mar 02, 2020 04:02

    Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa Korea Kaskazini imefanya jairbio jengine la makombora.

  • Korea Kaskazini yatoa radiamali yake kufuatia kuuawa kigaidi na Marekani Jenerali Soleimani

    Korea Kaskazini yatoa radiamali yake kufuatia kuuawa kigaidi na Marekani Jenerali Soleimani

    Jan 06, 2020 09:45

    Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimetoa radiamali kufuatia kuuawa shahidi na askari magaidi wa Marekani Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kuitaja Washington kuwa muhusika mkuu wa ongezeko la mizozo katika eneo la Asia Magharibi.

  • Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Jan 03, 2020 02:33

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imetanguliza mbele siasa za vitisho sambamba na mazungumzo mkabala na Korea Kaskazini.

  • Mwanzo wa sera mpya; zawadi ya Krismasi ya Un kwa Trump

    Mwanzo wa sera mpya; zawadi ya Krismasi ya Un kwa Trump

    Jan 02, 2020 06:26

    Kiongozi wa Korea Kaskazini ameionya Marekani kuhusu sera inazofuata dhidi ya nchi yake. Kim Jong Un ametoa onyo hilo katika ujumbe wake wa mwaka mpya wa 2020 na kutangaza kuwa: "Iwapo Marekani itaendeleza siasa zake dhidi ya Korea Kaskazini, basi silaha za nyuklia kamwe hazitoangamizwa katika Rasi ya Korea."

  • "Zawadi ya Krismasi" ya Korea Kaskazini na hofu na kiwewe cha Marekani na waitifaki wake

    Dec 28, 2019 03:32

    Sambamba na kukaribia kumalizika muhula iliotoa Korea Kaskazini kwa Marekani, ripoti za vyombo vya habari zinaeleza kuwa, harakati za ndege za ujasusi za Washington katika anga ya Peninsula ya Korea zimeshtadi na kupamba moto.

  • Jeshi la Korea Kusini: Tumejiandaa vilivyo kukabiliana na harakati tarajiwa za jeshi la Korea Kaskazini

    Jeshi la Korea Kusini: Tumejiandaa vilivyo kukabiliana na harakati tarajiwa za jeshi la Korea Kaskazini

    Dec 25, 2019 13:03

    Jeshi la Korea Kusini limetoa taarifa likisema kuwa, nchi hiyo imejiandaa vilivyo kukabiliana na harakati zozote tarajiwa za jeshi la Korea Kaskazini.

  • John Bolton akiri kufeli siasa za mashinikizo ya juu zaidi za Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    John Bolton akiri kufeli siasa za mashinikizo ya juu zaidi za Trump dhidi ya Korea Kaskazini

    Dec 24, 2019 03:32

    Rais Donald Trump wa Marekani ambaye amekuwa akitumia mabavu dhidi ya nchi shindani na zinazopinga siasa za Washington, pia anatekeleza siasa za vitisho na mazungumzo ya siri dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani atishia kupigana vita na Korea Kaskazini

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani atishia kupigana vita na Korea Kaskazini

    Dec 24, 2019 00:55

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani ameitishia kuanzisha vita dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Radiamali ya Korea Kaskazini kwa takwa la Marekani la kuitishwa kikao cha Baraza la Usalama

    Radiamali ya Korea Kaskazini kwa takwa la Marekani la kuitishwa kikao cha Baraza la Usalama

    Dec 15, 2019 03:32

    Korea Kaskazini imekosoa sababu iliyotolewa na Marekani ya kutaka kuitishwa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili jaribio la kombora la hivi karibuni lililofanywa na serikali ya Pyongyang.

  • Korea Kaskazini yafanya 'jaribio jingine muhimu' la kombora

    Korea Kaskazini yafanya 'jaribio jingine muhimu' la kombora

    Dec 14, 2019 08:57

    Korea Kaskazini imetangaza kufanya kwa mafanikio 'jaribio jingine muhimu' katika Kituo cha Kurushia Satalaiti cha Sohae siku ya Ijumaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS