Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kaskazini: Marekani haina kitu kipya cha kuwasilisha kwenye mazungumzo

    Korea Kaskazini: Marekani haina kitu kipya cha kuwasilisha kwenye mazungumzo

    Dec 13, 2019 11:40

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini imesema kuwa, Marekani haina kitu kipya inachoweza kukiwasilisha kwenye mazungumzo na serikali ya Pyongyang.

  • Russia: Vikwazo haviwezi kuchukua nafasi ya udiplomasia

    Russia: Vikwazo haviwezi kuchukua nafasi ya udiplomasia

    Dec 12, 2019 04:19

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema haiwezekani kupatikana amani katika Rasi ya Korea kupitia njia ya vikwazo na mashinikizo na kwamba, vikwazo haviwezi kuchukua nafasi ya udiplomasia na njia ya utatuzi wa kisiasa.

  • Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora jipya la balestiki

    Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora jipya la balestiki

    Nov 28, 2019 23:06

    Jeshi la Korea Kusini limetangaza kwamba Korea Kaskazini imelifanyia majaribio kombora lake jipya la balestiki.

  • Kim Jong-un awatembelea askari eneo la mpakani awataka kujiweka tayari

    Kim Jong-un awatembelea askari eneo la mpakani awataka kujiweka tayari

    Nov 26, 2019 01:14

    Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini ametembelea taasisi za kijeshi za nchi hiyo katika maeneo ya mpakani na kulitaka jeshi kujiweka tayari kukabiliana na vitisho vyovyote vya adui.

  • Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Nov 14, 2019 03:55

    Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo jipya kwa viongozi wa Marekani kwamba, iwapo nchi hiyo kwa kushirikiana na Korea Kusini zitafanya maneva ya kijeshi, basi Pyongyang itajibu hatua hizo za uhasama.

  • Korea Kaskazini: Mazungumzo yetu na Marekani yanakaribia kuvunjika kikamilifu

    Korea Kaskazini: Mazungumzo yetu na Marekani yanakaribia kuvunjika kikamilifu

    Nov 09, 2019 04:32

    Mkuu wa kitengo cha masuala ya Marekani katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini, ameelezea uwezekano wa kuvunjika kikamilifu mazungumzo kati ya Washington na Pyongyang, kutokana na ukwamishaji mambo wa Marekani.

  • Korea Kaskazini: Hatutosalimu amri mbele ya Marekani

    Korea Kaskazini: Hatutosalimu amri mbele ya Marekani

    Oct 16, 2019 08:21

    Kiongozi wa Korea Kaskazini amekemea uhasama wa vikwazo na mashinikizo ya Marekani dhidi ya nchi yake na kusisitiza kwamba, kamwe serikali ya Pyongyang haitosalimu amri mbele ya Washington.

  • Korea Kaskazini: Nchi za Magharibi zisijaribu kuwasilisha suala la makombora yetu UNSC

    Korea Kaskazini: Nchi za Magharibi zisijaribu kuwasilisha suala la makombora yetu UNSC

    Oct 08, 2019 10:59

    Serikali ya Korea Kaskazini imeionya Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya juu ya hatua yao ya kuwasilisha suala la majaribio ya makombora yake mbele ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Korea Kaskazini yaionya Marekani: Kama mazungumzo hayatofanikiwa, yatatokea matukio ya kutisha

    Korea Kaskazini yaionya Marekani: Kama mazungumzo hayatofanikiwa, yatatokea matukio ya kutisha

    Oct 07, 2019 15:26

    Mwakilishi mwandamizi wa ujumbe wa Korea Kaskazini katika mazungumzo na Marekani, ambaye amerudi nchini humo hivi karibuni kutoka Sweden yalikofanyika mazungumzo yaliyofeli baina ya nchi yake na Marekani, ameionya Washington kuwa, endapo hautafikiwa mwafaka katika mazungumzo hayo yatatokea matukio ya kutisha.

  • Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Kuvunjika mzungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Oct 07, 2019 06:29

    Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, anaendelea na siasa za vitisho na mazungumzo katika fremu ya ahadi zake za uchaguzi za kuutatua mgogoro wa nyuklia wa Rasi ya Korea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS