Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Marekani na Korea Kusini zaendelea kuvutana kuhusu ongezeko la gharama za askari wa Kimarekani

    Marekani na Korea Kusini zaendelea kuvutana kuhusu ongezeko la gharama za askari wa Kimarekani

    May 02, 2020 01:34

    Ofisi ya Rais wa Korea Kusini imesisitiza kuwa hadi sasa hakujafikiwa mapatano yoyote kuhusiana na ongezeko la fedha za kudhamini kuendelea kuwepo askari wa Kimarekani nchini humo.

  • Korea Kusini yasema habari za ugonjwa wa Kim Jong-un ni za kubuni tu

    Korea Kusini yasema habari za ugonjwa wa Kim Jong-un ni za kubuni tu

    Apr 30, 2020 02:37

    Wizara ya Umoja ya Korea Kusini ambayo ina jjukumu la kuratibu uhusiano wa Korea mbili, imesema kuwa habari zinazohusu ugonjwa wa Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ni za kubuni tu na zisizo na msingi.

  • Korea Kaskazini yafanya jaribio jengine la makombora

    Korea Kaskazini yafanya jaribio jengine la makombora

    Mar 02, 2020 07:32

    Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa Korea Kaskazini imefanya jairbio jengine la makombora.

  • Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini: Corona imehatarisha uchumi wetu

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini: Corona imehatarisha uchumi wetu

    Mar 02, 2020 00:18

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini ambaye nchi yake ni mwathirika wa pili wa maambukizi ya virusi vya Corona baada ya China, amesema kuwa virusi hivyo vimehatarisha uchumi wake.

  • Mazungumzo ya Marekani na Korea Kusini kuhusu gharama za uwepo wa askari wa Kimarekani nchini humo yavunjika

    Mazungumzo ya Marekani na Korea Kusini kuhusu gharama za uwepo wa askari wa Kimarekani nchini humo yavunjika

    Jan 17, 2020 02:50

    Kwa mara nyingine tena mazungumzo ya viongozi wa Marekani na Korea Kusini kuhusiana na utatuzi wa tofauti zinazohusu uchangiaji wa gharama za kuendelea kuwepo askari wa Marekani na zana za kijeshi za nchi hiyo ya Magharibi katika Rasi ya Korea, yamevunjika.

  • Ombi la China, Japan na Korea Kusini kwa Korea Kaskazini

    Ombi la China, Japan na Korea Kusini kwa Korea Kaskazini

    Dec 26, 2019 01:10

    Viongozi wa China, Japan na Korea Kusini waliokutana kwa kikao maalumu cha pamoja kilichofanyika kusini mwa China, wametoa mwito mwishoni mwa kikao chao hicho wa kuitaka Korea Kaskazini iache kikamilifu kufanya majaribio ya makombora.

  • Jeshi la Korea Kusini: Tumejiandaa vilivyo kukabiliana na harakati tarajiwa za jeshi la Korea Kaskazini

    Jeshi la Korea Kusini: Tumejiandaa vilivyo kukabiliana na harakati tarajiwa za jeshi la Korea Kaskazini

    Dec 25, 2019 16:33

    Jeshi la Korea Kusini limetoa taarifa likisema kuwa, nchi hiyo imejiandaa vilivyo kukabiliana na harakati zozote tarajiwa za jeshi la Korea Kaskazini.

  • Marekani yaizuia Korea Kusini kutuma vifaa vyake vya kitiba nchini Iran

    Marekani yaizuia Korea Kusini kutuma vifaa vyake vya kitiba nchini Iran

    Dec 15, 2019 01:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini imezungumzia upinzani wa Marekani kuhusiana na kutumwa bidhaa za kibinaadamu kama vile madawa, chakula na vifaa vya tiba kwenda Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Trump na vitisho vya kuirubuni Japan ilipe gharama kubwa zaidi ili ipatiwe ulinzi na Marekani

    Trump na vitisho vya kuirubuni Japan ilipe gharama kubwa zaidi ili ipatiwe ulinzi na Marekani

    Nov 17, 2019 13:27

    Kwa mara kadhaa Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akisisitizia suala la kuangaliwa upya uhusiano wa Washington na waitifaki wake katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Nov 14, 2019 07:25

    Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo jipya kwa viongozi wa Marekani kwamba, iwapo nchi hiyo kwa kushirikiana na Korea Kusini zitafanya maneva ya kijeshi, basi Pyongyang itajibu hatua hizo za uhasama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS