Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu

    Nov 14, 2019 07:25

    Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo jipya kwa viongozi wa Marekani kwamba, iwapo nchi hiyo kwa kushirikiana na Korea Kusini zitafanya maneva ya kijeshi, basi Pyongyang itajibu hatua hizo za uhasama.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini

    Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini

    Aug 08, 2019 03:59

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametangaza kuwa mlolongo wa majaribio ya makombora yaliyofanywa hivi karibuni na Pyongyang yametuma "onyo tosha" kwa mazoezi ya kijeshi ya pamoja yanayofanywa na Korea Kusini na Marekani.

  • Malengo ya safari ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini Korea Kusini

    Malengo ya safari ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini Korea Kusini

    Jun 28, 2019 02:26

    Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, Jumatano tarehe 26 Juni aliwasili Seoul, mji mkuu wa Korea Kusini na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Rais Moon Jae-in wa nchi hiyo.

  • Iran na Korea Kusini zasisitizia kutatua matatizo ya kibenki kati yao

    Iran na Korea Kusini zasisitizia kutatua matatizo ya kibenki kati yao

    Jun 04, 2019 13:08

    Waziri wa Uchumi wa Korea Kusini amekutana na Gavana wa Benki Kuu ya Iran na kusisitizia umuhimu wa kuzidishwa uhusiano wa pande mbili na kufanya jitihada zaidi kwa ajili ya kutatua matatizo ya kibenki.

  • Mataifa yenye uchumi mkubwa Asia, yapinga siasa za upande mmoja za Marekani

    Mataifa yenye uchumi mkubwa Asia, yapinga siasa za upande mmoja za Marekani

    May 03, 2019 04:37

    Nchi za China, Japan na Korea Kusini ambazo zinajulikana kama nchi zenye uwezo mkubwa wa kiuchumii barani Asia, zimetangaza kupinga siasa mbovu za upande mmoja za Marekani katika nyuga za kimataifa.

  • Korea Kusini yakadhibisha ripoti ya taasisi ya kifikra ya Marekani kuhusu Korea Kaskazini

    Korea Kusini yakadhibisha ripoti ya taasisi ya kifikra ya Marekani kuhusu Korea Kaskazini

    Nov 13, 2018 14:43

    Ofisi ya Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini imekadhibisha ripoti ya taasisi ya kifikra ya Marekani ya 'Kituo cha Utafiti wa Kimataifa na Kistratijia' juu ya kuendelea shughuli za makombora ya siri ya Korea Kaskazini.

  • Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhdi ya uingiliaji wa Marekani katika uhusiano wa Korea mbili

    Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhdi ya uingiliaji wa Marekani katika uhusiano wa Korea mbili

    Nov 11, 2018 12:46

    Vyombo vya habari vilivyo karibu na serikali ya Korea Kaskazini, vimekosoa mpango wa Marekani wa kuanzisha jopokazi maalumu la kusimamia uhusiano wa Korea mbili na pia kufanya maneva za kijeshi za pamoja baharini.

  • Korea Kusini yasisitiza kupanua ushirikiano wake na Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Korea Kusini yasisitiza kupanua ushirikiano wake na Iran licha ya vikwazo vya Marekani

    Nov 10, 2018 07:58

    Balozi wa Korea Kusini nchini Iran ameelezea azma ya nchi yake ya kulinda na kupanua ushirikiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran licha ya kuwepo vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi hii.

  • Korea Kusini yamwomba Kiongozi wa Korea Kaskazini aitembelee nchi hiyo kabla ya mwisho wa mwaka huu

    Korea Kusini yamwomba Kiongozi wa Korea Kaskazini aitembelee nchi hiyo kabla ya mwisho wa mwaka huu

    Oct 27, 2018 12:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini amesema ana matumaini kwamba hadi mwishoni mwa mwaka huu, mji mkuu wa nchi hiyo Seoul utakuwa mwenyeji wa Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini.

  • Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Oct 12, 2018 02:41

    Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS