-
Korea Kaskazini: Marekani na Korea Kusini zikifanya maneva ya kijeshi tutajibu
Nov 14, 2019 07:25Serikali ya Korea Kaskazini imetoa onyo jipya kwa viongozi wa Marekani kwamba, iwapo nchi hiyo kwa kushirikiana na Korea Kusini zitafanya maneva ya kijeshi, basi Pyongyang itajibu hatua hizo za uhasama.
-
Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini
Aug 08, 2019 03:59Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametangaza kuwa mlolongo wa majaribio ya makombora yaliyofanywa hivi karibuni na Pyongyang yametuma "onyo tosha" kwa mazoezi ya kijeshi ya pamoja yanayofanywa na Korea Kusini na Marekani.
-
Malengo ya safari ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini Korea Kusini
Jun 28, 2019 02:26Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, Jumatano tarehe 26 Juni aliwasili Seoul, mji mkuu wa Korea Kusini na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Rais Moon Jae-in wa nchi hiyo.
-
Iran na Korea Kusini zasisitizia kutatua matatizo ya kibenki kati yao
Jun 04, 2019 13:08Waziri wa Uchumi wa Korea Kusini amekutana na Gavana wa Benki Kuu ya Iran na kusisitizia umuhimu wa kuzidishwa uhusiano wa pande mbili na kufanya jitihada zaidi kwa ajili ya kutatua matatizo ya kibenki.
-
Mataifa yenye uchumi mkubwa Asia, yapinga siasa za upande mmoja za Marekani
May 03, 2019 04:37Nchi za China, Japan na Korea Kusini ambazo zinajulikana kama nchi zenye uwezo mkubwa wa kiuchumii barani Asia, zimetangaza kupinga siasa mbovu za upande mmoja za Marekani katika nyuga za kimataifa.
-
Korea Kusini yakadhibisha ripoti ya taasisi ya kifikra ya Marekani kuhusu Korea Kaskazini
Nov 13, 2018 14:43Ofisi ya Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini imekadhibisha ripoti ya taasisi ya kifikra ya Marekani ya 'Kituo cha Utafiti wa Kimataifa na Kistratijia' juu ya kuendelea shughuli za makombora ya siri ya Korea Kaskazini.
-
Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhdi ya uingiliaji wa Marekani katika uhusiano wa Korea mbili
Nov 11, 2018 12:46Vyombo vya habari vilivyo karibu na serikali ya Korea Kaskazini, vimekosoa mpango wa Marekani wa kuanzisha jopokazi maalumu la kusimamia uhusiano wa Korea mbili na pia kufanya maneva za kijeshi za pamoja baharini.
-
Korea Kusini yasisitiza kupanua ushirikiano wake na Iran licha ya vikwazo vya Marekani
Nov 10, 2018 07:58Balozi wa Korea Kusini nchini Iran ameelezea azma ya nchi yake ya kulinda na kupanua ushirikiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran licha ya kuwepo vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi hii.
-
Korea Kusini yamwomba Kiongozi wa Korea Kaskazini aitembelee nchi hiyo kabla ya mwisho wa mwaka huu
Oct 27, 2018 12:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini amesema ana matumaini kwamba hadi mwishoni mwa mwaka huu, mji mkuu wa nchi hiyo Seoul utakuwa mwenyeji wa Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini.
-
Trump awashambulia marafiki na maadui zake
Oct 12, 2018 02:41Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.