Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kuharibu nyumba za Wapalestina

  • Papa Leo azungumzia madhila ya Wapalestina wa Ghaza katika ibada ya Krismasi

    Papa Leo azungumzia madhila ya Wapalestina wa Ghaza katika ibada ya Krismasi

    Dec 26, 2025 06:30

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amesema katika mahubiri ya Krismasi aliyotoa jana Alkhamisi kwamba anasikitishwa na madhila yanayowafika Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.

  • HAMAS: Hali za afya za wafungwa wa Kipalestina zinaakisi 'unyama na ufashisti' wa Israel

    HAMAS: Hali za afya za wafungwa wa Kipalestina zinaakisi 'unyama na ufashisti' wa Israel

    Jan 21, 2025 02:34

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, hali za kiafya za wafungwa wa Kipalestina walioachiliwa kutoka kwenye magereza ya Israel zinaakisi "ukatili na ufashisti" wa utawala huo wa Kizayuni.

  • Mamia ya nyumba za Wapalestina zimebomolewa tangu kuanza mwaka huu (2022)

    Mamia ya nyumba za Wapalestina zimebomolewa tangu kuanza mwaka huu (2022)

    Dec 23, 2022 12:02

    Mamia ya nyumba za wananchi wa Palestina zimebomolewa na utawala haramu wa Israel tangu kuanza mwaka huu wa 2022 katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds inayokaliwa kwa mabavu.

  • HAMAS: Taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya Israel

    HAMAS: Taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya Israel

    Jan 20, 2022 08:11

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, taifa la Palestina ndilo litakalopata ushindi wa mwisho mbele ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Wanajeshi wa Kizayuni waendelea kubomoa nyumba za Wapalestina

    Wanajeshi wa Kizayuni waendelea kubomoa nyumba za Wapalestina

    Jan 12, 2022 15:46

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamebomoa nyumba 11 za raia wa Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Radiamali ya EuroMed Rights kufuatia kubomolewa nyumba za Wapalestina

    Radiamali ya EuroMed Rights kufuatia kubomolewa nyumba za Wapalestina

    Aug 11, 2019 04:10

    Shirika la kutetea haki za binadamu la EuroMed Rights limekitaja kitendo cha utawala wa Kizayuni cha kubomoa nyumba za Wapalestina kuwa ni maangamizi ya kizazi.

  • Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Jul 24, 2019 03:56

    Utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa katika vita vilivyodumu kwa muda wa siku mbili tu, hivi sasa umeanzisha duru mpya ya jinai zake dhidi ya Wapalestina kwa kubomoa nyumba za wananchi hao madhulumu.

  • Ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na Israel walaaniwa kila pembe ya dunia

    Ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na Israel walaaniwa kila pembe ya dunia

    Jul 23, 2019 07:37

    Jumuiya za kimataifa, harakati na asasi mbali mbali za kutetea haki za binadamu duniani zimelaani jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kubomoa nyumba za Wapalestina kusini mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu.

  • Waziri Mzayuni ataka kubomolewa nyumba za viongozi wa HAMAS

    Waziri Mzayuni ataka kubomolewa nyumba za viongozi wa HAMAS

    Oct 21, 2018 07:43

    Yisrael Katz, Waziri wa Usafiri wa utawala haramu wa Israel ametoa wito wa kubomolewa nyumba za viongozi wa Harakati ya Mapambano ya kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • Utawala wa Kizayuni watoa muhula wa mwisho kwa wakazi wa kijiji cha Khan al Ahmar; wawataka waondoke kijijini hapo

    Utawala wa Kizayuni watoa muhula wa mwisho kwa wakazi wa kijiji cha Khan al Ahmar; wawataka waondoke kijijini hapo

    Sep 24, 2018 02:58

    Utawala wa Kizayuni umewapa wakazi wa kijiji cha Khan al Ahmar katika mji wa Quds muda wa siku saba wawe wameondoka kijijini hapo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS