Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kusimamisha vita

  • Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Wanamuqawama wa Palestina wasitisha vita baada ya Israel kukubali masharti yao

    Nov 14, 2019 04:33

    Baada ya utawala haramu wa Kizayuni kukubali masharti ya wanamuqawama wa Palestina, makundi ya Kipalestina ikiwemo Harakati ya Jihadul-Islami yamekubali pendekezo la Misri kwa ajili ya kusimamisha vita.

  • Nchi nane za dunia zaunga mkono tangazo la usitishaji vita la Answarullah ya Yemen

    Nchi nane za dunia zaunga mkono tangazo la usitishaji vita la Answarullah ya Yemen

    Sep 28, 2019 04:34

    Wajumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na Ujerumani, Kuwait na Sweden, zimeunga mkono tangazo la usitishaji vita la Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen.

  • Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano huko Libya

    Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano huko Libya

    Aug 09, 2019 07:39

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umetoa wito wa kusitishwa mapigano kwa sababu za kibinadamu huko Tripoli mji mkuu wa Libya.

  • Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    May 06, 2019 09:02

    Duru za habari za Palestina zimetangaza kuwa utawala wa Kizayuni hatimaye umekubali kusimamisha vita ulivyovianzisha huko Ukanda wa Ghaza kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Ansarullah: Hakuna hatua iliyochukuliwa kwa ajili ya kusitisha mapigano al Hudaydah

    Ansarullah: Hakuna hatua iliyochukuliwa kwa ajili ya kusitisha mapigano al Hudaydah

    Jan 09, 2019 03:33

    Afisa Uhusiano wa Nje wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, hakuna hatua yoyote ya kivitendo iliyochukuliwa kwa ajili ya kutekeleza mapatano ya kusitisha mapigano katika mji wa bandari wa al Hudaydah magharibi mwa Yemen na kubadlishana mateka kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa mjini Stockholm, Sweden.

  • Al Houthi: Tarehe ya kusimamishwa vita al Hudaydah Yemen imeshajulikana

    Al Houthi: Tarehe ya kusimamishwa vita al Hudaydah Yemen imeshajulikana

    Dec 16, 2018 04:04

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema kuwa, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen ameukabidhi ujumbe wa San'a unaoshiriki kwenye mazungumzo ya amani ya nchi hiyo huko Sweden, tarehe ya kusimamisha vita katika mkoa wa al Hudaydah.

  • Salva Kiir atangaza usitishaji vita wa kudumu Sudan Kusini

    Salva Kiir atangaza usitishaji vita wa kudumu Sudan Kusini

    Jun 29, 2018 23:38

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametangaza usitishaji vita wa kudumu kote nchini humo.

  • Tangazo la Taliban la kusitisha vita na kupokewa vyema na serikali ya Afghanistan

    Tangazo la Taliban la kusitisha vita na kupokewa vyema na serikali ya Afghanistan

    Jun 10, 2018 22:11

    Serikali ya Afghanistan imetangaza kulikaribisha kwa mikono miwili tangazo lililotolewa na kundi la Taliban la kusitisha vita katika siku za Idul-Fitri.

  • Mogherini ataka kuandaliwa mazingira ya kusimamisha vita kote nchini Syria

    Mogherini ataka kuandaliwa mazingira ya kusimamisha vita kote nchini Syria

    Feb 28, 2018 12:58

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameziomba Russia, Iran na Uturuki ziandae mazingira ya kusimamisha mapigano huko Syria.

  • Rais wa Sudan arefusha muda wa usitishaji vita na waasi kwa miezi mitatu mingine

    Rais wa Sudan arefusha muda wa usitishaji vita na waasi kwa miezi mitatu mingine

    Jan 04, 2018 10:51

    Rais wa Sudan amerefusha usitishaji vita wa upande mmoja katika majimbo ya Blue Nile na Kordofan ya Kusini kwa miezi mitatu mingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS