Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kusimamisha vita

  • Waasi wa Darfur watangaza kusitisha vita kwa miezi miwili

    Waasi wa Darfur watangaza kusitisha vita kwa miezi miwili

    Dec 02, 2017 03:51

    Makundi matatu ya waasi wa eneo la Darfur huko magharibi mwa Sudan yametangaza usitishaji vita wa miezi miwili hadi tarehe 31 Januari mwaka 2018.

  • Russia yatishia kuishambulia Israel iwapo itavunja makubaliano ya kusitisha vita Syria

    Russia yatishia kuishambulia Israel iwapo itavunja makubaliano ya kusitisha vita Syria

    Aug 07, 2017 22:33

    Naibu kamanda wa vikosi vya jeshi la Russia huko kusini mwa Syria ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba, uwapo utakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano kusini mwa Syria, Moscow inajua nini inapaswa kufanya.

  • Takwimu Jumapili Agosti 6

    Takwimu Jumapili Agosti 6

    Aug 05, 2017 22:42

    Leo ni Jumapili tarehe 13 Dhul-Qaadah mwaka 1438 Hijria, sawa na tarehe sita Julai, 2017 Miladia.

  • Dakta Zarif: Usitishaji vita nchini Syria ni mafanikio makubwa

    Dakta Zarif: Usitishaji vita nchini Syria ni mafanikio makubwa

    Dec 30, 2016 00:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha utekelezwaji wa makubaliano ya usitishaji vita nchini Syria na kusema kuwa, hatua hiyo ni mafanikio makubwa na muhimu.

  • Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen lakubali usimamishaji vita

    Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen lakubali usimamishaji vita

    Nov 20, 2016 23:30

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amekaribisha juhudi za kusimamisha vita kwa ajili ya kukomesha uvamizi wa Saudi Arabia nchini humo.

  • Waziri Mkuu wa Somalia atoa hakikisho la kusitishwa mapigano Galkayo

    Waziri Mkuu wa Somalia atoa hakikisho la kusitishwa mapigano Galkayo

    Nov 19, 2016 12:13

    Waziri Mkuu wa Somalia Omar Sharmarke amesema, amepata hakikisho la kutekelezwa na kuheshimiwa usitishaji vita baina pande hasimu za maeneo ya Galmudug na Puntland.

  • Sudan kuanza mazungumzo ya usitishaji vita

    Sudan kuanza mazungumzo ya usitishaji vita

    Aug 10, 2016 03:27

    Mazungumzo yenye lengo la kufanikisha usitishaji vita wa kudumu katika mikoa mitatu ya Sudan iliyoathiriwa na mapigano yameanza Jumanne wiki hii siku moja baada ya muungano wa upinzani kusaini ramani ya njia ili kuhitimisha uhasama na kufikia suluhu ya kisiasa.

  • Pande hasimu nchini Sudan Kusini zatangaza usitishaji vita

    Pande hasimu nchini Sudan Kusini zatangaza usitishaji vita

    Jul 12, 2016 03:17

    Pande mbili zinazohasimiana huko Sudan Kusini na kusababisha kuzuka upya kwa vurugu nchini humo zimetangaza kusitishwa kwa mapigano, baada ya kuwepo kwa siku kadhaa za machafuko mjini Juba zilizosababisha vifo vya mamia ya watu.

  • Russia yakaribisha  usitishaji vita Yemen

    Russia yakaribisha usitishaji vita Yemen

    Apr 12, 2016 23:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekaribisha kutekelezwa usitishaji vita huko Yemen.

  • Kuanza usitishwaji vita Yemen

    Kuanza usitishwaji vita Yemen

    Apr 11, 2016 00:17

    Usitishwaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa Yemen ulianza jana usiku (Jumapili) kabla ya kuanza mazungumzo ya amani baina ya pande hasimu nchini Kuwait.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS