-
Michel Aoun: Lebanon iko tayari kujilinda iwapo itashambuliwa na Israel
Feb 26, 2018 23:21Rais wa Lebanon amesisitiza kuwa nchi hiyo imejiandaa kikamilifu kujilinda iwapo itashambuliwa na Israel.
-
Indhari ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwa njama za Marekani
Feb 26, 2018 03:44Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria alipokuwa akihutubia katika mji wa Baalabek juu ya kushindwa mipango ya Marekani na washirika wake katika Mashariki ya Kati na kusambaratishwa kundi la kigaidi la Daesh na kusema kuwa, hii leo tunapaswa kukusanya mafanikio yetu ambapo kubwa zaidi katika hayo ni uungaji mkono unaopata muqawama.
-
Kiongozi wa Hizbullah: Walebanon wasiwapigie kura wanasiasa wanaopata himaya ya Marekani
Feb 25, 2018 04:32Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ametoa wito kwa wananchi wa Lebanon kutowapigia kura wagombea wanaopata himaya ya Marekani katika uchaguzi ujao wa bunge huku akionya kuwa wanasiasa kama hao wataikabidhi nchi kwa Marekani.
-
Jeshi la Lebanon: Tutamia nguvu zote kuukabili uvamizi wa Israel
Feb 21, 2018 04:00Jeshi la Lebanon limeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuanzisha vita vipya dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa litatumia mbinu na uwezo wake wote kuzima uvamizi tarajiwa.
-
Sayyid Nasrullah alipongeza jeshi la Syria kwa kutungua ndege ya kivita ya Israel
Feb 17, 2018 03:56Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelipongea jeshi la Syria kwa kutungua ndege ya kijeshi aina ya F-16 ya utawala haramu wa Israel na kuitaja hatua hiyo kuwa ni mafanikio makubwa ya kijeshi.
-
Hatimaye Marekani yakiri: Hizbullah ni sehemu ya mchakato wa kisiasa wa Lebanon
Feb 15, 2018 04:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson amekiri kuwa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ni sehemu ya mchakato wa kisiasa wa nchi hiyo na kwamba ukweli huo inapasa utambuliwe rasmi.
-
Hizbullah: Stratijia mpya ya kupambana na uvamizi wa Israel nchini Syria imeanza rasmi
Feb 11, 2018 04:14Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imetoa taarifa ya kupongeza kitendo cha kuangamizwa ndege ya kisasa ya kivita ya utawala haramu wa Israel ya F16 katika anga ya Syria na kusisitiza kuwa, mlingano wa nguvu wa zamani sasa umebadilika.
-
Uhusiano wa Saudia na Lebanon na kuzidi kupanda joto la mvutano baina ya pande mbili
Feb 10, 2018 02:36Kuna kila ishara inayoonyesha kuwa uhusiano wa Saudi Arabia na Lebanon unaelekea kwenye mkondo unaoshadidisha mvutano baina ya pande mbili.
-
Rais wa Lebanon asema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuikabili Israel
Feb 09, 2018 10:39Rais wa Lebanon ameliagiza jeshi la nchi hiyo kuwa macho dhidi ya njama zozote za utawala haramu wa Israel za kujaribu kudhalilisha uhuru wa kujitawala nchi hiyo.
-
Viongozi wa Lebanon wasema Israel ni tishio kwa usalama mpakani
Feb 06, 2018 10:47Viongozi watatu wa ngazi za juu nchini Lebanon wamesema utawala haramu wa Israel ni tishio kwa uthabiti wa eneo la mpakani.