Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Hizbullah: Lebanon si tonge laini kwa yeyote

    Feb 03, 2018 04:11

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, amejibu madai ya hivi karibuni ya Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel aliyedai kwamba kisima nambari tisa cha mafuta na gesi ya Lebanon katika Bahari ya Mediterranean ni mali ya Israel na kusema, Lebanon sio tonge laini kwa yeyote yule.

  • Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Jan 12, 2018 10:18

    Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri ametoa wito wa nchi hiyo kuwekwa mbali na migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati huku akiipongeza Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini hiyo kwa jitihada zake za kupunguza taharuki katika eneo.

  • Sisitizo la Lebanon kwa nchi za Kiarabu la kuishinikiza kidiplomasia Marekani

    Sisitizo la Lebanon kwa nchi za Kiarabu la kuishinikiza kidiplomasia Marekani

    Jan 05, 2018 04:44

    Kufuatia uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekkani dhidi ya Beitul-Muqaddas, Spika wa Bunge la Lebanon amesisitiza juu ya ulazima wa kufungwa balozi za nchi za Kiarabu nchini Marekani.

  • Saudi Arabia ilimdhalilisha Waziri Mkuu wa Lebanon, Saad Hariri

    Saudi Arabia ilimdhalilisha Waziri Mkuu wa Lebanon, Saad Hariri

    Dec 25, 2017 04:39

    Saudi Arabia ilimdhalilisha vibaya sana Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri katika safari yake ya hivi karibuni mjini Riyadh wakati alipolazimishwa kusoma taarifa ya kujiuzulu mbele ya televisheni.

  • Maandamano dhidi ya Marekani na Israel nchini Lebanon na hotuba muhimu ya Sayyid Hassan Nasrullah

    Maandamano dhidi ya Marekani na Israel nchini Lebanon na hotuba muhimu ya Sayyid Hassan Nasrullah

    Dec 12, 2017 09:35

    Maandamano ya kuitetea Beitul-Muqaddas yalifanyika alasiri ya jana katika viunga vya kusini mwa Beirut mji mkuu wa Lebanon na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi na wawakilishi wa vyama mbalimbali vya kisiasa.

  • Lebanon yazitaka nchi za Kiarabu ziiwekee Marekani vikwazo

    Lebanon yazitaka nchi za Kiarabu ziiwekee Marekani vikwazo

    Dec 10, 2017 03:36

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon amezitaka nchi za Kiarabu ziiwekee Marekani vikwazo vya kiuchumi kutokana na hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa eti ni mji mkuu wa Israel.

  • Rais wa Lebanon: Mgogoro uliozuka baada ya kujiuzulu Hariri umemalizika

    Rais wa Lebanon: Mgogoro uliozuka baada ya kujiuzulu Hariri umemalizika

    Dec 02, 2017 23:13

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema: mgogoro uliojitokeza baada ya Saad Hariri kutangaza kujiuzulu uwaziri mkuu umemalizika.

  • Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Nov 28, 2017 04:16

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetishia kwamba Sayyid Hasssan Nasrullah, kiongozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon yupo kwenye shabaha ya kuuawa katika vita vijavyo vya Tel Aviv dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Indhari ya Lebanon kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Indhari ya Lebanon kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Nov 27, 2017 10:18

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon ameamwandikia barua Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) akimwambia kwamba, umoja huo unapaswa kufungamana na makubaliano ya Waarabu ambayo yalitofautisha baina ya muqawama na ugaidi.

  • Guterres atahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kuendelea kukiuka anga ya Lebanon

    Guterres atahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kuendelea kukiuka anga ya Lebanon

    Nov 26, 2017 04:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kuongezeka vitendo vya kukiuka anga ya Lebanon vinavyofanywa na ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS