Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Uchaguzi wa kwanza nchini Libya mwaka huu wa 2021

    Uchaguzi wa kwanza nchini Libya mwaka huu wa 2021

    Jan 09, 2021 07:52

    Sambamba na juhudi za kidiplomasia zinazofanyika kwa shabaha ya kupata ufumbuzi wa mgogoro wa Libya na hatimaye kufikia mapatano ya kudumu ya kisiasa, kumefanyika uchaguzi wa kwanza wa mabaraza ya miji katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Russia: waungaji mkono wa Gaddafi wanapasa kushiriki mazungumzo ya Libya

    Russia: waungaji mkono wa Gaddafi wanapasa kushiriki mazungumzo ya Libya

    Jan 04, 2021 22:48

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza kuwa waungaji mkono wa dikteta wa zamani wa Libya wanapasa kushirikishwa katika mazungumzo ya amani ya nchi hiyo.

  • Walibya wavamia makazi ya kijeshi ya Haftar, wataka kulipiza kisasi dhidi ya mamluki

    Walibya wavamia makazi ya kijeshi ya Haftar, wataka kulipiza kisasi dhidi ya mamluki

    Jan 01, 2021 09:55

    Wakazi wa mji wa Houn katika eneo la al Jufra huko katikati mwa Libya wamefanya maandamano wakitaka kulipiza kisasi kwa mamluki wa kampuni ya Wagner ya Russia na wapiganaji wa kundi la Janjaweed kutoka Sudan wanaolisaidia jeshi la jenerali muasi, Khalifa Haftar baada ya mauaji ya raia kadhaa wa eneo hilo.

  • Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya

    Misri yaahidi kufungua tena ubalozi wake nchini Libya

    Dec 28, 2020 04:40

    Serikali ya Misri imetangaza kuwa, karibuni hivi itafungua tena ubalozi wake katika nchi jirani ya Libya.

  • Uingiliaji wa kigeni nchini Libya; chanzo cha kuvunjika mazungumzo ya amani

    Uingiliaji wa kigeni nchini Libya; chanzo cha kuvunjika mazungumzo ya amani

    Dec 17, 2020 23:19

    Uingiliaji wa nchi za nje katika masuala ya ndani ya Libya unaendelea katika hali ambayo duru mpya ya mazungumzo ya amani ya nchi hiyo imevunjika kutokana na tofauti zilizoibuka kuhusu namna ya kuwachagua wanachama wa baraza la mawaziri.

  • Baraza la Usalama lataka mamluki wote waondoke nchini Libya

    Baraza la Usalama lataka mamluki wote waondoke nchini Libya

    Dec 17, 2020 01:07

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito wa kuondoka mara moja mamluki na wapiganaji wote wa nchi ajinabi nchini Libya.

  • Mazungumzo ya kisiasa ya Libya yakwama; pande hasimu zashindwa kuchagua serikali ya mpito

    Mazungumzo ya kisiasa ya Libya yakwama; pande hasimu zashindwa kuchagua serikali ya mpito

    Dec 16, 2020 04:20

    Jitihada za timu ya wawakilishi wa amzungumzo ya kisiasa huko Libya zimeshindwa kuzaa matunda kwa mara nyingine tena baada ya kushindwa kuchagua serikali.

  • Waziri wa Ulinzi wa Libya: Hatua ya Ufaransa ya kumuunga mkono Khalifa Haftar ni aibu na fedheha

    Waziri wa Ulinzi wa Libya: Hatua ya Ufaransa ya kumuunga mkono Khalifa Haftar ni aibu na fedheha

    Dec 12, 2020 07:49

    Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya amesema kuwa, kitendo cha Ufaransa cha kumuunga mkono jenerali Khalifa Haftari kiongozi wa wanamgambo wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya ni cha aibu na fedheha.

  • Hatua mpya ya utatuzi wa mgogoro wa Libya; maafikiano kuhusu namna ya kuwachagua viongozi wakuu wa serikali

    Hatua mpya ya utatuzi wa mgogoro wa Libya; maafikiano kuhusu namna ya kuwachagua viongozi wakuu wa serikali

    Dec 09, 2020 09:24

    Awamu muhimu ya vita vya ndani vya Libya ilianza kwa shambulio la mwezi Aprili 2019 lililofanywa na kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na Khalifa Haftar ambalo shabaha yake ilikuwa ni kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli na kuiangusha Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa (GNA); na wigo wa vita hivyo ukapanuka zaidi kwa uingiliaji wa pande za kigeni zinazounga mkono mirengo miwili hiyo.

  • Mjumbe wa UN: Libya ina

    Mjumbe wa UN: Libya ina "hali mbaya sana" kwa kuendelea kuwepo wapiganaji 20,000 wa kigeni

    Dec 03, 2020 03:59

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametahadharisha kuwa, kuwepo wapiganaji na mamluki wasiopungua 20,000 wa kigeni nchini humo kunaifanya "hali iwe mbaya sana" huku silaha zikiendelea kumiminika pia katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini iliyoharibiwa vibaya na vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS