Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Walibya wakubaliana kuitisha kikao kingine; safari hii ndani ya Libya

    Walibya wakubaliana kuitisha kikao kingine; safari hii ndani ya Libya

    Nov 26, 2020 07:30

    Wawakilishi wa makundi mbalimbali ya Libya wanaoshiriki katika kikao cha mjini Tangier, Morocco, wamekubaliana kuitisha kikao kingine katika mji wa Gadamis ndani ya Libya ili kujadiliana suala la kuunganisha mabunge ya nchi hiyo.

  • Wahajiri 74 wafariki dunia katika ajali mbaya ya baharini iliyotokea kwenye pwani ya Libya

    Wahajiri 74 wafariki dunia katika ajali mbaya ya baharini iliyotokea kwenye pwani ya Libya

    Nov 13, 2020 04:35

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limesema, wahajiri wasiopungua 74 wamefariki dunia baada ya chombo walichosafiria kuzama katika ajali mbaya iliyotokea kwenye pwani ya Khoms nchini Libya.

  • Mazungumzo ya Tunis na makubaliano ya kuitisha uchaguzi nchini Libya

    Mazungumzo ya Tunis na makubaliano ya kuitisha uchaguzi nchini Libya

    Nov 12, 2020 22:04

    Mazungumzo baina ya pande mbalimbali za Libya yanaendelea Tunis, mji mkuu wa Tunisia kwa kusimamiwa na Umoja wa Mataifa. Lengo la mazungumzo hayo ni kuleta amani ya kudumu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Taarifa za karibuni kabisa zinasema kuwa, washiriki wa mazungumzo hayo wamefikia makubaliano ya kuitisha uchaguzi nchini Libya katika kipindi kisichopindukia miezi 18 ijayo.

  • UN yazipongeza pande hasimu Libya kwa kuafikiana kufanyika uchaguzi

    UN yazipongeza pande hasimu Libya kwa kuafikiana kufanyika uchaguzi

    Nov 12, 2020 04:00

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya pande hasimu za kisiasa nchini Libya kukubaliana kuitisha uchaguzi mkuu nchini humo katika kipindi cha miezi 18 ijayo.

  • Haftar aamua kuvunja makundi ya wanamgambo mkoani Benghazi

    Haftar aamua kuvunja makundi ya wanamgambo mkoani Benghazi

    Nov 09, 2020 01:12

    Kundi linalojiiita jeshi la kitaifa la Libya linaloongozwa na Khalifa Haftar limetangaza kuwa limeandaa mpango wa kuyavunja makundi yenye silaha na kuondoka katika makazi yake katika mkoa wai Benghazi nchini humo.

  • Makaburi zaidi ya umati yagunduliwa Libya

    Makaburi zaidi ya umati yagunduliwa Libya

    Nov 08, 2020 04:29

    Miili ya watu 17 imegunduliwa katika kaburi la umati huko magharibi mwa Libya, mkoani Tarhuna, na hivyo kufanya jumla ya miili iliyofukuliwa katika miezi ya hivi karibuni kufikia 112.

  • Wafanyakazi wa Sudan nchini UAE wanahadaiwa kuingia vitani Libya

    Wafanyakazi wa Sudan nchini UAE wanahadaiwa kuingia vitani Libya

    Nov 06, 2020 07:13

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limefichua kuwa mamia ya raia wa Sudan wanaofanya kazi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wamehadaiwa kuingia vitani Libya na kujiunga na wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • UN: Mazungumzo ya amani Libya yanaendelea kwa mafanikio huko Ghadames

    UN: Mazungumzo ya amani Libya yanaendelea kwa mafanikio huko Ghadames

    Nov 03, 2020 05:23

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mazungumzo ya pande hasimu nchini Libya yanayoendelea katika mji wa Ghadames ulioko kusini magharibi mwa nchi hiyo yamepiga hatua kubwa katka njia ya kufikia makubaliano juu ya utekelezaji wa mapatano ya kusitisha vita yaliyotiwa saini wiki kadhaa zilizopita.

  • HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    Nov 02, 2020 23:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch lenye makao yake makuu mjini New York nchini Marekani limetangaza kuwa, kampuni ya huduma za ulinzi na usalama ya Black Shield ya Imarati iliajiri karibu vijana 270 za Kisudani kwa ajili ya kufanya kazi za ulinzi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) lakini vijana hao walijikuta wakitumwa Libya kwenda kupigana katika safu za jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Libya yamtaka Rais wa Ufaransa awaombe radhi Waislamu kwa kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Libya yamtaka Rais wa Ufaransa awaombe radhi Waislamu kwa kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Oct 30, 2020 03:10

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya imelaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emanuel Macron wa Ufaransa akimvunjia heshima Mtume wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw) na kumtaka awaombe radhi Waislamu

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS