Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    Nov 02, 2020 23:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch lenye makao yake makuu mjini New York nchini Marekani limetangaza kuwa, kampuni ya huduma za ulinzi na usalama ya Black Shield ya Imarati iliajiri karibu vijana 270 za Kisudani kwa ajili ya kufanya kazi za ulinzi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) lakini vijana hao walijikuta wakitumwa Libya kwenda kupigana katika safu za jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Libya yamtaka Rais wa Ufaransa awaombe radhi Waislamu kwa kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Libya yamtaka Rais wa Ufaransa awaombe radhi Waislamu kwa kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Oct 30, 2020 03:10

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya imelaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emanuel Macron wa Ufaransa akimvunjia heshima Mtume wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw) na kumtaka awaombe radhi Waislamu

  • Libya yamtaka Macron awaombe radhi Waislamu duniani

    Libya yamtaka Macron awaombe radhi Waislamu duniani

    Oct 26, 2020 23:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imelaani matamshi ya rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na Uislamu na kumtaka afanye haraka kuwaomba radhi Waislamu duniani.

  • Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya

    Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya

    Oct 26, 2020 08:10

    Wahajiri 11 akiwemo mwanamke mjamzito wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.

  • Umoja wa Afrika wapongeza makubaliano ya kusitisha vita nchini Libya

    Umoja wa Afrika wapongeza makubaliano ya kusitisha vita nchini Libya

    Oct 25, 2020 08:42

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amepongeza makubaliano ya kukomesha vita na mapigano nchini Libya akiyataja kuwa ni hatua muhimu katika njia ya kurejesha amani katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Iran: Njia pekee ya kuutatua mgogo wa Libya ni mazungumzo na njia za kisiasa

    Iran: Njia pekee ya kuutatua mgogo wa Libya ni mazungumzo na njia za kisiasa

    Oct 24, 2020 23:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inapinga uingiliaji wa aina yoyote ile wa masuala ya ndani ya Libya ikiwa ni pamoja na mchakato wa mazungumzo na makubaliano ya pande hasimu nchini humo.

  • Kutia saini pande hasimu nchini Libya makubaliano ya usitishaji vita

    Kutia saini pande hasimu nchini Libya makubaliano ya usitishaji vita

    Oct 24, 2020 02:46

    Hatimaye baada ya mazungumzo marefu na tata pande hasimu nchini Libya zimetiliana saini makubaliano ya usitishaji vita.

  • Pande hasimu Libya zasaini makubaliano ya usitishaji vita

    Pande hasimu Libya zasaini makubaliano ya usitishaji vita

    Oct 23, 2020 09:27

    Pande zinazozozana Libya leo Ijumaa zimesaini makubaliano ya kusitisha vita chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa. Makubaliano hayo yamesaini huko Geneva nchini Uswisi

  • Umoja wa Mataifa:Tuna imani ya kufikiwa mkataba wa kudumu wa kusitishwa mapigano Libya

    Umoja wa Mataifa:Tuna imani ya kufikiwa mkataba wa kudumu wa kusitishwa mapigano Libya

    Oct 21, 2020 23:08

    Kaimu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, ana imani ya kufikiwa mkataba wa kudumu wa kusitisha mapigano nchini Libya kutokana na mazungumzo yanayoendelea kati ya pande hasimu.

  • Wanasiasa Libya wapinga kuanzishwa uhusiano kati ya nchi hiyo na Tel Aviv

    Wanasiasa Libya wapinga kuanzishwa uhusiano kati ya nchi hiyo na Tel Aviv

    Oct 15, 2020 00:59

    Duru za kidiplomasia nchini Tunisia zimeripoti kuwa, aghalabu ya wanasiasa na wanajeshi wa Libya wanapinga kuanzishwa uhusiano kati ya Tripoli na Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS