-
Libya yamtaka Macron awaombe radhi Waislamu duniani
Oct 26, 2020 23:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imelaani matamshi ya rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na Uislamu na kumtaka afanye haraka kuwaomba radhi Waislamu duniani.
-
Wahamiaji 11 akiwemo mjamzito wafa maji Libya wakielekea Ulaya
Oct 26, 2020 08:10Wahajiri 11 akiwemo mwanamke mjamzito wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.
-
Umoja wa Afrika wapongeza makubaliano ya kusitisha vita nchini Libya
Oct 25, 2020 08:42Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amepongeza makubaliano ya kukomesha vita na mapigano nchini Libya akiyataja kuwa ni hatua muhimu katika njia ya kurejesha amani katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Iran: Njia pekee ya kuutatua mgogo wa Libya ni mazungumzo na njia za kisiasa
Oct 24, 2020 23:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inapinga uingiliaji wa aina yoyote ile wa masuala ya ndani ya Libya ikiwa ni pamoja na mchakato wa mazungumzo na makubaliano ya pande hasimu nchini humo.
-
Kutia saini pande hasimu nchini Libya makubaliano ya usitishaji vita
Oct 24, 2020 02:46Hatimaye baada ya mazungumzo marefu na tata pande hasimu nchini Libya zimetiliana saini makubaliano ya usitishaji vita.
-
Pande hasimu Libya zasaini makubaliano ya usitishaji vita
Oct 23, 2020 09:27Pande zinazozozana Libya leo Ijumaa zimesaini makubaliano ya kusitisha vita chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa. Makubaliano hayo yamesaini huko Geneva nchini Uswisi
-
Umoja wa Mataifa:Tuna imani ya kufikiwa mkataba wa kudumu wa kusitishwa mapigano Libya
Oct 21, 2020 23:08Kaimu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, ana imani ya kufikiwa mkataba wa kudumu wa kusitisha mapigano nchini Libya kutokana na mazungumzo yanayoendelea kati ya pande hasimu.
-
Wanasiasa Libya wapinga kuanzishwa uhusiano kati ya nchi hiyo na Tel Aviv
Oct 15, 2020 00:59Duru za kidiplomasia nchini Tunisia zimeripoti kuwa, aghalabu ya wanasiasa na wanajeshi wa Libya wanapinga kuanzishwa uhusiano kati ya Tripoli na Tel Aviv.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yajiandaa kukabiliana na hujuma ya jeshi la Haftar
Oct 09, 2020 23:01Wizara ya Ulinzi ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya imetangaza kuwa, vikosi vya wapiganaji wa jenerali muasi, Khalifa Haftar vimejitayarisha kwa ajili ya kushambulia magharibi mwa nchi na maeneo yanayodhibitiwa na serikali ya Tripoli.
-
Uenyekiti wa Arab League wageuka kiazi moto, Libya pia yaukataa
Oct 07, 2020 04:23Siku chache baada ya Qatar na Kuwait kukataa kuchukua uenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) badala ya Palestina ambayo nayo ilikataa uenyekiti huo, Libya pia imeamua kufuata mkumbo huo.