Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Antonio Guterres: Mustakbali wa Libya upo hatarini

    Antonio Guterres: Mustakbali wa Libya upo hatarini

    Oct 06, 2020 08:42

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameyahimiza mataifa makubwa duniani yenye maslahi katika vita vinavyoendelea huko Libya kuacha kuzitumia silaha serikali waitifaki wao.

  • Libya na Uturuki zasisitiza kuhusu uhusiano wa karibu

    Libya na Uturuki zasisitiza kuhusu uhusiano wa karibu

    Oct 05, 2020 06:07

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amekutana na Waziri Mkuu wa Libya anayeondoka Fayez al-Sarraj, ambaye anaongoza Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa (GNA), inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa.

  • Duru ya pili ya mazungumzo baina ya pande hasimu Libya yaanza nchini Morocco

    Duru ya pili ya mazungumzo baina ya pande hasimu Libya yaanza nchini Morocco

    Oct 03, 2020 04:19

    Duru ya pili ya mazungumzo baina ya pande hasimu nchini Libya imeanza katika katika mji wa Bouznika huko nchini Morocco ikiwa ni katika juhudi za kujaribu kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • UN: Mazungumzo ya amani Libya yamalizika; Imarati bado yatuma silaha kimagendo

    UN: Mazungumzo ya amani Libya yamalizika; Imarati bado yatuma silaha kimagendo

    Sep 30, 2020 23:01

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mazungumzo ya makundi mbalimbali ya Libya ya kutafuta amani ya nchi yao yamemalizika nchini Misri na matokeo ya mazungumzo hayo ni mazuri.

  • Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Wahajiri 16 wafariki dunia baada ya boti yao kughariki pwani ya Libya

    Sep 26, 2020 08:44

    Watu wasiopungua 16 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania baada ya boti yao kuzama, huko pwani ya Libya.

  • Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Sep 21, 2020 23:11

    Uturuki imetangaza kuwa itaendelea kuiunga mkono serikali inayotambuliwa kimataifa ya Libya licha ya Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj kutangaza wiki iliyopita kwamba, anapanga kuondoka madarakani mwishoni mwa mwezi ujao.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Sep 17, 2020 22:12

    Hali ya wasiwasi kuhusu mgogoro wa kisiasa unaoikabili Libya na hali inayolegalega nchini humo ni mambo ambayo yangali yanaendelea kushuhudiwa licha ya kutangazwa usitishaji vita nchini humo. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio na kutaka kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya na kuondolewa mamluki wote katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Waziri Mkuu wa GNA Libya kung'atuka madarakani ifikapo mwishoni mwa Oktoba

    Waziri Mkuu wa GNA Libya kung'atuka madarakani ifikapo mwishoni mwa Oktoba

    Sep 17, 2020 08:39

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya GNA amesema, atajiuzulu wadhifa wake huo na kukabidhi hatamu za madaraka kwa uongozi mpya utakaochaguliwa kupitia kamati ya mazungumzo ya amani.

  • Katibu Mkuu wa UN kumteuwa mjumbe maalumu katika masuala ya Libya

    Katibu Mkuu wa UN kumteuwa mjumbe maalumu katika masuala ya Libya

    Sep 16, 2020 22:31

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limemuomba Katibu Mkuu wa umoja huo Antonio Guterres kufanya uteuzi wa Mjumbe Maalumu ili kusuluhisha mzozo unaoendelea nchini Libya na kuongoza jitihada za kurejesha amani katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN yataka kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    UN yataka kutekelezwa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Sep 16, 2020 03:17

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutekeleza vikwazo vya silaha dhidi ya Libya na kuondoka mamluki wote katika nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS