-
Kushadidi mgogoro wa Libya; Waziri Mkuu wa Serikali ya mashariki ajiuzulu
Sep 14, 2020 22:03Mgogoro wa ndani nchini Libya umeshadidi mno. Matatizo ya kiuchumi na kuvurugika maisha, kuongezeka ufisadi na kuendelea vita vya ndani kumewafanya mamia ya wananchi wa nchi hiyo katika siku za hivi karibuni kujitokeza katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na kuandamana wakitaka kuhitimishwa mizozo ili kutoa fursa ya kuboreshwa hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo.
-
'Serikali ya Haftar' huko Libya yajiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi
Sep 14, 2020 01:35Serikali ya Libya yenye makao makuu yake mashariki mwa nchi na inayoongozwa na Abdullah Al-Thani, imetangaza kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku tatu ya wananchi katika miji mikubwa ya mashariki mwa nchi.
-
Kundi la Haftar lakiuka makubaliano ya usitishaji vita Libya
Sep 06, 2020 23:04Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, vikosi vya kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na Khalifa Haftar vimekiuka makubaliano ya usitishaji vita.
-
Mazungumzo baina ya pande hasimu nchini Libya yameanza huko Morocco
Sep 05, 2020 21:57Mazungumzo baina ya pande mbili hasimu nchini Libya yalianza jana Jumamosi katika viunga vya mji mkuu wa Moroco Rabat.
-
Guterres ataka kufungwa vituo vya kuwashikilia wakimbizi nchini Libya
Sep 04, 2020 22:05Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa Libya kuvifunga vituo vyote ambavyo wakimbizi wamekuwa wakishikiliwa nchini humo.
-
Utawala wa Kizayuni unawapatia silaha wanamgambo wa Khalifa Haftar huko Libya
Sep 03, 2020 06:56Maafisa wa jeshi la mashariki mwa Libya wameeleza kuwa mamluki wenye mfungamano na kundi linalojiita " Jeshi la Taifa la Libya" wamepokea maroketi kutoka kwa utawala wa Kizayuni kupitia Imarati.
-
Libya yapata hasara ya dola bilioni 9 kutokana na kufungwa taasisi zake za mafuta
Aug 31, 2020 01:58Shirika la Mafuta la Libya limetangaza kuwa nchi hiyo imepata hasara ya dola bilioni tisa kutokana na kufungwa taasisi za mafuta na kusitishwa uzalishaji na uuzaji wa bidhaa hiyo.
-
Khalifa Haftar afunguliwa mashtaka ICC kwa jinai za makaburi ya halaiki ya Tarhunah, Libya
Aug 28, 2020 07:24Wakili Mmarekani mwenye asili ya Palestina amefungua mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC dhidi ya Khalifa Haftar, kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA).
-
Serikali ya Libya yatangaza kafyu katika mji mkuu Tripoli
Aug 27, 2020 02:08Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imetangaza kuweka kafyu katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli kufuatia kushtadi maandamano ya wananchi.
-
Wanamgambo wa Haftar wakosoa pendekezo la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya
Aug 24, 2020 22:59Msemaji wa wanamgambo wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftari ambao wanajiita Jeshi la Kitaifa la Libya wamepinga pendekezo lililotolewa na kiongozi wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya na kulitaja kama la kuleta mshawasha kwa fikra za waliowengi nchini humo.