-
Rais Rouhani:Nchi za Waislamu ziungane kukabiliana na jinai za Saudi Arabia
Sep 07, 2016 13:24Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Waislamu dunaini kuungana na kuuwajibisha utawala wa Saudia kutokana na jinai zake katika nchi za Waislamu eneo la Mashariki ya Kati.
-
Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu
Jul 21, 2016 11:02Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.
-
Iran kuishtaki Saudia katika mahakama ya kimataifa juu ya maafa ya Mina
Jun 09, 2016 14:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itaushtaki utawala wa Saudi Arabia katika mahakama ya kimataifa kutokana na vifo vya mamia ya mahujaji wa Kiiarani wakati wa maafa ya Mina mwaka jana.
-
Nigeria yaitaka Saudi Arabia itoe ripoti ya mwisho kuhusu Maafa ya Mina
Feb 29, 2016 02:37Rais wa Nigeria ameitaka Saudi Arabia iwasilishe ripoti ya mwisho kuhusu chunguzi zilizofanywa kuhusiana na Maafa ya Mina.