-
Guterres atahadharisha kuhusu athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa
Sep 11, 2018 06:32Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mabadiliko ya hali ya hewa na gesi chafu ni tishio la moja kwa moja kwa walimwengu.
-
Joto lilivunja rekodi duniani mwaka 2017, wasiwasi kuhusu mustakabali
Jan 20, 2018 01:08Mwaka uliopita wa 2017 umetajwa kuwa mwaka uliovunja rekodi ya joto kali zaidi katika historia ya sayari ya dunia pasina kuwepo tukio la El Niño huku kukiwa na wasi wasi kuwa hali itazidi kuwa mbaya katika miaka ijayo.
-
Papa atuma salamu za Ramadhani, akosoa ukaidi wa Trump
Jun 03, 2017 02:51Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunia Papa Francis amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiondoa nchi yake katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa chakula barani Afrika
Jan 02, 2017 00:48Maeneo mengi ya bara la Afrika mwaka huu mpya wa 2017 yataendelea kusumbuliwa na uhaba wa chakula na hatari ya baa la njaa na ukame kwa kadiri kwamba, Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi kwamba karibu watu milioni 20 hawatakuwa na usalama wa chakula katika nchi za kaskazini na mashariki mwa Afrika.
-
FAO: Chakula na kilimo viende sanjari na mabadiliko ya tabia nchi
Oct 17, 2016 00:59Hali ya hewa duniani inabadilika, hivyo uzalishaji wa chakula na kilimo lazima vibadilike pia kwenda sanjari na mabadiliko hayo.
-
Mwezi Aprili wavunja rekodi ya joto kali zaidi duniani
May 21, 2016 23:51Mwezi Aprili mwaka huu umekuwa mwezi wenye joto zaidi katika historia ya dunia, limesema Shirika la Hali ya Hewa duniani WMO katika ripoti yake ya jana (Jumamosi).