Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malaysia

  • Hamas yapongeza hatua ya Malaysia kukataa kuanzisha uhusiano na Israel

    Hamas yapongeza hatua ya Malaysia kukataa kuanzisha uhusiano na Israel

    Oct 21, 2021 11:36

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza tamko la Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia ambaye amesema nchi yake katu haitaanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia apatikana na hatia ya ufisadi na kutumia vibaya madaraka

    Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia apatikana na hatia ya ufisadi na kutumia vibaya madaraka

    Jul 28, 2020 10:32

    Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak amepatikana na hatia katika tuhuma zinazomkabili ikiwa ni pamoja na kuhusika na ufisadi, kutumia vibaya madaraka na kutakatisha fedha chafu.

  • Bunge la Malaysia: Israel ifukuzwe katika Umoja wa Mataifa na asasi zake

    Bunge la Malaysia: Israel ifukuzwe katika Umoja wa Mataifa na asasi zake

    Jul 18, 2020 02:32

    Wawakilishi wa Bunge la Malaysia wametoa wito wa kufukuzwa utawala haramu wa Israel katika Umoja wa Mataifa.

  • Mahathir bin Mohamad: Marekani inauza duniani ndege zake za kivita zenye ubovu

    Mahathir bin Mohamad: Marekani inauza duniani ndege zake za kivita zenye ubovu

    May 19, 2020 02:26

    Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia amefichua kwamba serikali ya Marekani iliiuzia nchi hiyo ndege za kivita za F16 huku zikiwa hazina namba maalumu wala vifaa muhimu na kwamba Washington huwa inatekeleza siasa hizo kwa nchi zote za dunia isipokuwa utawala haramu wa Kizayuni.

  • Mfalme wa Malaysia amteua Muhyiddin Yassin kuwa Waziri Mkuu mpya

    Mfalme wa Malaysia amteua Muhyiddin Yassin kuwa Waziri Mkuu mpya

    Feb 29, 2020 13:40

    Mfalme wa Malaysia amemteua Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa nchi hiyo, Muhyiddin Yassin kuwa Waziri Mkuu mpya, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Mahathir Muhammad, ambaye alijiuzulu hivi karibuni.

  • Mahathir Muhammad apendekezwa tena kuwa Waziri Mkuu wa Malaysia

    Mahathir Muhammad apendekezwa tena kuwa Waziri Mkuu wa Malaysia

    Feb 29, 2020 08:13

    Mahathir Muhammad, Waziri Mkuu wa Malaysia ambaye alijiuzulu hivi karibuni na kukabidhi barua yake kwa mfalme wa nchi hiyo, amesema atawasilisha jina lake kwa ajili ya kushika tena wadhifa huo.

  • Waziri Mkuu wa Malaysia ajiuzulu, hitilafu zazusha mgawanyiko ndani ya serikali

    Waziri Mkuu wa Malaysia ajiuzulu, hitilafu zazusha mgawanyiko ndani ya serikali

    Feb 24, 2020 07:47

    Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohamad amejiuzulu wadhifa huo. Hatua hiyo ya Mahathir Mohamad inatayarisha uwanja wa kuundwa serikali mpya nchini Malaysia.

  • Waziri Mkuu wa Malaysia: Huwenda Marekani ikatuma droni na kunitungua

    Waziri Mkuu wa Malaysia: Huwenda Marekani ikatuma droni na kunitungua

    Jan 08, 2020 02:49

    Mahathir Mohamad Waziri Mkuu wa Malaysia ameikosoa na kuilaani vikali Marekani kwa kumuuwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kwa kutekeleza mauaji wakati wowote.

  • Malaysia: Marekani imetangaza vita kwa kumuua shahidi Soleimani

    Malaysia: Marekani imetangaza vita kwa kumuua shahidi Soleimani

    Jan 05, 2020 07:38

    Baraza la Shura la Jumuiya ya Waislamu Malaysia limelaani vikali hatua ya kigaidi ya Marekani ya kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC.

  • Msimamo wa Waziri Mkuu wa Malaysia kuhusu Waislamu wa Uyghur wa China

    Msimamo wa Waziri Mkuu wa Malaysia kuhusu Waislamu wa Uyghur wa China

    Dec 29, 2019 07:37

    Waziri Mkuu wa Malaysia amesisitiza kuwa, nchi yake haitawarejesha makwao Waislamu wa jamii ya Uyghur kutoka China iwapo wataomba hifadhi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS