Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malaysia

  • Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China

    Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China

    Dec 27, 2019 12:44

    Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema kuwa nchi yake haitawarejesha makwao Waislamu wa jamii ya Uyghur kutoka China iwapo wataomba hifadhi nchini humo.

  • Rouhani: Kumefikiwa mapatano mazuri sana huko Malaysia na Japan

    Rouhani: Kumefikiwa mapatano mazuri sana huko Malaysia na Japan

    Dec 22, 2019 07:12

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye alielekea Malaysia na Japan kufuatia mwaliko rasmi wa Mawaziri Waku wa nchi hizo jana alasiri alirejea Tehran.

  • Nchi za Kiislamu zatafakari kutumia dinari ya dhahabu kukabiliana na vikwazo

    Nchi za Kiislamu zatafakari kutumia dinari ya dhahabu kukabiliana na vikwazo

    Dec 22, 2019 01:14

    Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema Iran, Malaysia, Uturuki na Qatar zinatafakari kutumia dinari ya dhahabu na mabadilishano ya bidhaa kwa bidhaa .

  • Erdogan: Mashinikizo ya Saudia ndiyo yaliyomfanya Imran Khan asihudhurie mkutano wa Kuala Lumpur

    Erdogan: Mashinikizo ya Saudia ndiyo yaliyomfanya Imran Khan asihudhurie mkutano wa Kuala Lumpur

    Dec 21, 2019 07:39

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, mashinikizo ya watawala wa Saudi Arabia kwa serikali ya Pakistan ndiyo yaliyomfanya waziri mkuu wa nchi hiyo Imran Khan asihudhurie mkutano wa "Kuala Lumpur 2019".

  • Erdogan: Inasikitisha taasisi za Kiislamu zimefeli kushughulikia matatizo ya Waislamu

    Erdogan: Inasikitisha taasisi za Kiislamu zimefeli kushughulikia matatizo ya Waislamu

    Dec 19, 2019 13:15

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameelezea kusikitishwa kwake na udhaifu wa taasisi na jumuiya za Kiislamu ambazo zimeshidnwa kupatia ufumbuzi changamoto na matatizo yanayozikabili nchi za Kiislamu.

  • Sisitizo la Waziri Mkuu wa Malaysia la kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Sisitizo la Waziri Mkuu wa Malaysia la kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Dec 19, 2019 11:07

    Waziri Mkuu wa Malaysia amesisitiza katika Mkutano wa Viongozi wa nchi za Kiislamu wa "Kuala Lumpur 2019" juu ya udharura wa kukabiliana na kampeni za chuki dhidi ya Uislamu.

  • Rouhani: Marekani ndio mzizi wa matatizo ya Waislamu duniani

    Rouhani: Marekani ndio mzizi wa matatizo ya Waislamu duniani

    Dec 19, 2019 04:08

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uingiliaji mambo wa Marekani ndilo chimbuko la matatizo na migogoro inayoukabili uliwemwengu wa Kiislamu hii leo.

  • Rais Rouhani: Iran imevibadilisha vikwazo na kuvifanya kuwa fursa

    Rais Rouhani: Iran imevibadilisha vikwazo na kuvifanya kuwa fursa

    Dec 18, 2019 08:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya wananchi wa taifa hili na kusema kuwa, Tehran imesimama kidete na kuvibadilisha vikwazo na mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya maadui na kuwa fursa.

  • Rais Rouhani: Iran inataka kuwa na uhusiano mkubwa na nchi muhimu za Asia

    Rais Rouhani: Iran inataka kuwa na uhusiano mkubwa na nchi muhimu za Asia

    Dec 17, 2019 08:14

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za kueleka mashariki na kuwa na uhusiano wa karibu zaidi na nchi muhimu za bara Asia ni miongoni mwa malengo ya siku zote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Waziri Mkuu wa Malaysia: Vikwazo vya US dhidi ya Iran ni haramu

    Waziri Mkuu wa Malaysia: Vikwazo vya US dhidi ya Iran ni haramu

    Dec 15, 2019 07:49

    Waziri Mkuu wa Malaysia amesema vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni batili na vya kidhalimu, na ambavyo vinakiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na sheria za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS