-
Wataalamu: Malaria inaweza kutokomezwa kabisa duniani hadi kufikia mwaka 2050
Sep 09, 2019 15:14Wataalamu wa masuala ya afya wa kimataifa wamesema kuwa ugonjwa wa malaria unaweza kutokomezwa kabisa duniani hadi kufikia mwaka 2050.
-
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Waziri Mkuu wa Malaysia
Aug 30, 2019 03:39Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Alkhamisi alikutana na kufanya mazungumzo mjini Kuala Lumpur na Mahathir Muhammad Waziri Mkuu wa Malaysia.
-
Malaysia: Mashinikizo hayatatulazimisha kujiunga na ICC
Apr 06, 2019 07:47Waziri Mkuu wa Malaysia amesema mashinikizo hayataifanya nchi hiyo ijiunge na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla
Feb 17, 2019 05:04Safari ya Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Malaysia na Indonesia imearishwa ghfla bila kutolewa sababu.
-
Hamas yasifu msimamo wa Malaysia wa kupinga kuhuisha uhusiano na adui Mzayuni
Jan 17, 2019 08:02Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amepongeza msimamo wa Malaysia wa kupinga njia zote za kuhuisha uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.
-
Malaysia haitawaruhusu wanariadha wa Israel kuingia nchini humo
Jan 11, 2019 16:03Malaysia imesema haitawaruhusu wanariadha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi hiyo, ikiwa ni katika mwendelezo wa serikali ya Kuala Lumpur wa kupambana na utawala huo batili.
-
Asean yakosoa mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar
Nov 17, 2018 05:55Nchi zinazoshiriki katika mkutano wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) zimeikosoa vikali serikali ya Myanmar kutokana na mauaji yanayofanyika nchini humo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu Malaysia: Umepatikana mwamko wa ulimwengu mzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud
Oct 27, 2018 12:56Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu nchini Malaysia amesema umepatikana mwamko wa dunia nzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud kutokana na jinai ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji wa utawala huo.
-
Dkt Mahathir: Malaysia haitaruhusu ufuska wa ndoa za jinsia moja
Oct 25, 2018 13:46Waziri Mkuu wa Malaysia, Mahathir Mohamad amesema taifa lake halitakubali mashinikizo ya kuruhusu na kuheshimu eti haki za mashoga, wasagaji na watu waliobadilisha jinsia zao pamoja na ndoa za watu wa jinsia moja.
-
Malaysia yasitisha kikamilifu ushirikiano na Saudia katika vita dhidi ya Yemen
Aug 16, 2018 02:33Waziri Mkuu wa Malaysia amesema kuwa nchi yake imesitisha uhusiano wa aina zote na Saudi Arabia katika vita vya nchi hiyo dhidi ya taifa la Yemen.