Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malaysia

  • Wataalamu: Malaria inaweza kutokomezwa kabisa duniani hadi kufikia mwaka 2050

    Wataalamu: Malaria inaweza kutokomezwa kabisa duniani hadi kufikia mwaka 2050

    Sep 09, 2019 15:14

    Wataalamu wa masuala ya afya wa kimataifa wamesema kuwa ugonjwa wa malaria unaweza kutokomezwa kabisa duniani hadi kufikia mwaka 2050.

  • Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Waziri Mkuu wa Malaysia

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran akutana na Waziri Mkuu wa Malaysia

    Aug 30, 2019 03:39

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Alkhamisi alikutana na kufanya mazungumzo mjini Kuala Lumpur na Mahathir Muhammad Waziri Mkuu wa Malaysia.

  • Malaysia: Mashinikizo hayatatulazimisha kujiunga na ICC

    Malaysia: Mashinikizo hayatatulazimisha kujiunga na ICC

    Apr 06, 2019 07:47

    Waziri Mkuu wa Malaysia amesema mashinikizo hayataifanya nchi hiyo ijiunge na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Feb 17, 2019 05:04

    Safari ya Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Malaysia na Indonesia imearishwa ghfla bila kutolewa sababu.

  • Hamas yasifu msimamo wa Malaysia wa kupinga kuhuisha uhusiano na adui Mzayuni

    Hamas yasifu msimamo wa Malaysia wa kupinga kuhuisha uhusiano na adui Mzayuni

    Jan 17, 2019 08:02

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amepongeza msimamo wa Malaysia wa kupinga njia zote za kuhuisha uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.

  • Malaysia haitawaruhusu wanariadha wa Israel kuingia nchini humo

    Malaysia haitawaruhusu wanariadha wa Israel kuingia nchini humo

    Jan 11, 2019 16:03

    Malaysia imesema haitawaruhusu wanariadha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi hiyo, ikiwa ni katika mwendelezo wa serikali ya Kuala Lumpur wa kupambana na utawala huo batili.

  • Asean yakosoa mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Asean yakosoa mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Nov 17, 2018 05:55

    Nchi zinazoshiriki katika mkutano wa Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) zimeikosoa vikali serikali ya Myanmar kutokana na mauaji yanayofanyika nchini humo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu Malaysia: Umepatikana mwamko wa ulimwengu mzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud

    Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu Malaysia: Umepatikana mwamko wa ulimwengu mzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud

    Oct 27, 2018 12:56

    Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu nchini Malaysia amesema umepatikana mwamko wa dunia nzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud kutokana na jinai ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji wa utawala huo.

  • Dkt Mahathir: Malaysia haitaruhusu ufuska wa ndoa za jinsia moja

    Dkt Mahathir: Malaysia haitaruhusu ufuska wa ndoa za jinsia moja

    Oct 25, 2018 13:46

    Waziri Mkuu wa Malaysia, Mahathir Mohamad amesema taifa lake halitakubali mashinikizo ya kuruhusu na kuheshimu eti haki za mashoga, wasagaji na watu waliobadilisha jinsia zao pamoja na ndoa za watu wa jinsia moja.

  • Malaysia yasitisha kikamilifu ushirikiano na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    Malaysia yasitisha kikamilifu ushirikiano na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    Aug 16, 2018 02:33

    Waziri Mkuu wa Malaysia amesema kuwa nchi yake imesitisha uhusiano wa aina zote na Saudi Arabia katika vita vya nchi hiyo dhidi ya taifa la Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS