Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mapinduzi ya Kiislamu

  • Rais Rouhani: Jibu la wananchi wa Iran kwa vitisho vya adui litakuwa kali

    Rais Rouhani: Jibu la wananchi wa Iran kwa vitisho vya adui litakuwa kali

    Feb 10, 2017 15:56

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Iran kamwe hawajaondoka katika njia na harakati ya kuyaunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu na kutimiza malengo ya Imam Ruhullah Khomeini na Kiongozi wa sasa wa Mapinduzi, Ayatullah Ali Khamenei.

  • Mamilioni washiriki maandamano ya kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa Iran

    Mamilioni washiriki maandamano ya kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa Iran

    Feb 10, 2017 08:18

    Mamilioni ya wananchi wa matabaka mbali mbali wa Iran wanashiriki maandamano ya amani katika kila pembe ya nchi, kuadhimisha sherehe za miaka 38 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchi hapa.

  • Dehqan: Taifa la Iran litaendelea kulinda malengo matukufu ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Dehqan: Taifa la Iran litaendelea kulinda malengo matukufu ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Aug 16, 2016 15:34

    Waziri wa Ulinzi Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema taifa la Iran lingali limesimama imara katika misimamo yake ya kulinda thamani na malengo matukufu ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Kiongozi Muadhamu ataja vipaumbele vya Bunge la Iran

    Kiongozi Muadhamu ataja vipaumbele vya Bunge la Iran

    Jun 05, 2016 15:27

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uchumi wa kimuqawama, utamaduni na kufuatilia siasa za ndani ya nchi, za kieneo na za kimataifa ndivyo vipaumbele vikuu vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran).

  • Richard Falk: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni tukio kubwa na la kipekee la karne ya 20

    Richard Falk: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni tukio kubwa na la kipekee la karne ya 20

    Jun 02, 2016 07:49

    Profesa Richard Falk, mhadhiri wa Sheria za Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Princeton na ripota maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu Palestina amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni tukio kubwa na la kipekee katika karne ya 20.

  • Chuo cha kidini Iran ni cha kimapinduzi

    Chuo cha kidini Iran ni cha kimapinduzi

    Mar 15, 2016 14:49

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Chuo cha kidini (Hawza) mjini Qum kinapaswa kubakia "Chuo cha Kimapinduzi na Chimbuko la Mapinduzi" na ili kufikia lengo hilo kuna haja ya kuwepo fikra, tadbiri na mpango wa kina."

  • Kiongozi Muadhamu aonana na matabaka mbalimbali ya wananchi wa mkoa wa Azerbaijan Mashariki

    Kiongozi Muadhamu aonana na matabaka mbalimbali ya wananchi wa mkoa wa Azerbaijan Mashariki

    Feb 17, 2016 15:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi na kwa mwamko wananchi wa Iran katika chaguzi mbili zijazo za Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) na ule wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu la kumchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu kutabatilisha njama za maadui.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS