-
Rais Rouhani: Jibu la wananchi wa Iran kwa vitisho vya adui litakuwa kali
Feb 10, 2017 15:56Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Iran kamwe hawajaondoka katika njia na harakati ya kuyaunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu na kutimiza malengo ya Imam Ruhullah Khomeini na Kiongozi wa sasa wa Mapinduzi, Ayatullah Ali Khamenei.
-
Mamilioni washiriki maandamano ya kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa Iran
Feb 10, 2017 08:18Mamilioni ya wananchi wa matabaka mbali mbali wa Iran wanashiriki maandamano ya amani katika kila pembe ya nchi, kuadhimisha sherehe za miaka 38 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchi hapa.
-
Dehqan: Taifa la Iran litaendelea kulinda malengo matukufu ya Mapinduzi ya Kiislamu
Aug 16, 2016 15:34Waziri wa Ulinzi Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema taifa la Iran lingali limesimama imara katika misimamo yake ya kulinda thamani na malengo matukufu ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Kiongozi Muadhamu ataja vipaumbele vya Bunge la Iran
Jun 05, 2016 15:27Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uchumi wa kimuqawama, utamaduni na kufuatilia siasa za ndani ya nchi, za kieneo na za kimataifa ndivyo vipaumbele vikuu vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran).
-
Richard Falk: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni tukio kubwa na la kipekee la karne ya 20
Jun 02, 2016 07:49Profesa Richard Falk, mhadhiri wa Sheria za Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Princeton na ripota maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu Palestina amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni tukio kubwa na la kipekee katika karne ya 20.
-
Chuo cha kidini Iran ni cha kimapinduzi
Mar 15, 2016 14:49Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Chuo cha kidini (Hawza) mjini Qum kinapaswa kubakia "Chuo cha Kimapinduzi na Chimbuko la Mapinduzi" na ili kufikia lengo hilo kuna haja ya kuwepo fikra, tadbiri na mpango wa kina."
-
Kiongozi Muadhamu aonana na matabaka mbalimbali ya wananchi wa mkoa wa Azerbaijan Mashariki
Feb 17, 2016 15:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi na kwa mwamko wananchi wa Iran katika chaguzi mbili zijazo za Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) na ule wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu la kumchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu kutabatilisha njama za maadui.